Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,274
- 33,580
Sio akili yako,stress za njaa hizoMakaratasi kama gdp yenu ya 250 billion usd.
Sio akili yako,stress za njaa hizoMakaratasi kama gdp yenu ya 250 billion usd.
Dar haipiti 1 second hujaona truck barabarani, yaani trucks ni nyingi kuliko normal vehicles lakini Mombasa huoni chochote trucks ni chache kama idadi ya ndegeMakaratasi kama gdp yenu ya 250 billion usd.
Hiki kibandari ni Kunyaland tu na Uganda zinakikeep aliveAnother entrance into Mombasa port. 😎 Naona Southern Bypass imewapea wasiwasi.
![]()
Dar haipiti 1 second hujaona truck barabarani, yaani trucks ni nyingi kuliko normal vehicles lakini Mombasa huoni chochote trucks ni chache kama idadi ya ndege
Waangalie wakundustan wenzio wanavyolalamika mlundikano wa trucks Tanzania
View: https://youtu.be/WMlEf2zkUHg?si=8tYWfuf5KbuXmqnZ
View: https://youtu.be/alhqlSbTrXs?si=IaCf8o8kxWuQDfMN
Munatumia our port na unaongea ufala, jiheshimu wewe primary school dropout.Hiki kibandari ni Kunyaland tu na Uganda zinakikeep alive
Niliziona mbaya sana.Mwambie NairobiWalker alikua Benjamin Mkapa, hakuona hizo Uswazi?
🤣 🤣 🤣Kama hivi ndio munajenga intersections mbona kusikue na mrundikano.
![]()
Hatuko level moja na nyinyi wanyonge hamjui kutengeneza interchanges.
![]()
We Kenge ukome kuleta kidomo domo kwa BRT pumbavu sana. Linchi gani developed lina upumbavu huu?Bypass sio? 🤣 🤣 🤣
Si huwa wanasema tunaimport through kwao. 🤣 🤣Munatumia our port na unaongea ufala, jiheshimu wewe primary school dropout.
![]()
Pale Githurai! Jamaa wa kuchomelea mageti wakichomelea magari!We Kenge ukome kuleta kidomo domo kwa BRT pumbavu sana. Linchi gani developed lina upumbavu huu?
View attachment 3420883
Rwanda itumie bandari za Tanzania kwa 80 percent, Tanzania ndio watumie ya Kunyaland? 😂😂😂Munatumia our port na unaongea ufala, jiheshimu wewe primary school dropout.
![]()
Nchi zote developed zikona industries kama hizi. Nyinyi mumeshindwa hata kubembeleza wachina wawafungulie kiwanda cha kupaka hizo mabasi zao rangi.We Kenge ukome kuleta kidomo domo kwa BRT pumbavu sana. Linchi gani developed lina upumbavu huu?
View attachment 3420883
"Inefficiency" ever heard of it? Ooohhh pole, wewe ni primary school dropout.Rwanda itumie bandari za Tanzania kwa 80 percent, Tanzania ndio watumie ya Kunyaland? 😂😂😂
Halafu kwanini tutumie bandari yenu na tuna zetu?
View attachment 3420884
Mno tena kwa ushahidi sio fake cooked data kama ninyiSi huwa wanasema tunaimport through kwao. 🤣 🤣
Ndoto za mchana hizo. 🤣Si huwa wanasema tunaimport through kwao. 🤣 🤣
The fact that imeandikwa RHD, hio tayari inaonyesha inapita past bongoslum hadi nchi ambazo magari zao ni LHD.Mno tena kwa ushahidi sio fake cooked data kama ninyi View attachment 3420886
Zinapitia wapi sasa wakati hazionekani kwenye borders? 😂😂😂Nioneshe hiyo mizigo ikiingia Tanzania trucks 10 tu nikuoneshe trucks elfu 2 za Tanzania zikiingia Kunyaland"Inefficiency" ever heard of it? Ooohhh pole, wewe ni primary school dropout.
We kichaa kweli 😂😂😂 hiyo imeingia Dar, unataka kusema Dar kuna njia ya kwenda kwenye hizo nchi unazosema?The fact that imeandikwa RHD, hio tayari inaonyesha inapita past bongoslum hadi nchi ambazo magari zao ni LHD.
Kwa hivyo mzigo haiwezi kupitia Dar and proceed to another destination, kama hii ndio akili unatumia kuvuka barabara utakufa mapema.We kichaa kweli 😂😂😂 hiyo imeingia Dar, unataka kusema Dar kuna njia ya kwenda kwenye hizo nchi unazosema?
Unafanya kazi kwa border? Oooohhh unaropokwa tu kama kawaida yako.Zinapitia wapi sasa wakati hazionekani kwenye borders? 😂😂😂Nioneshe hiyo mizigo ikiingia Tanzania trucks 10 tu nikuoneshe trucks elfu 2 za Tanzania zikiingia Kunyaland