Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Another entrance into Mombasa port. 😎 Naona Southern Bypass imewapea wasiwasi.

Kenya Tuko Juu: KPA Share Key Sector That Makes Port of Mombasa Stand Out  in The Region -PHOTOS - TradeMark Africa
Hiki kibandari ni Kunyaland tu na Uganda zinakikeep alive
 
Dar haipiti 1 second hujaona truck barabarani, yaani trucks ni nyingi kuliko normal vehicles lakini Mombasa huoni chochote trucks ni chache kama idadi ya ndege

Waangalie wakundustan wenzio wanavyolalamika mlundikano wa trucks Tanzania


View: https://youtu.be/WMlEf2zkUHg?si=8tYWfuf5KbuXmqnZ


View: https://youtu.be/alhqlSbTrXs?si=IaCf8o8kxWuQDfMN

Kama hivi ndio munajenga intersections mbona kusikue na mrundikano.

Image


Hatuko level moja na nyinyi wanyonge hamjui kutengeneza interchanges.

Image
 
Zinapitia wapi sasa wakati hazionekani kwenye borders? 😂😂😂Nioneshe hiyo mizigo ikiingia Tanzania trucks 10 tu nikuoneshe trucks elfu 2 za Tanzania zikiingia Kunyaland
Unafanya kazi kwa border? Oooohhh unaropokwa tu kama kawaida yako.
 
Back
Top Bottom