Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dah! Wanangu for first time mambo ya government yalinigusa kunako moyoni.

Nilikua na dharura Morogoro majuzi SGR hamna tiketi kabisa 2 days ahead, damn.

Niliishia kutumia siku nzima Barabarani Kisa malori tele.

Hakuna namna kweli waongeze vichwa vya treni maana hali si poa, 2 days ahead dah hata hiyo siku ya 3 unakuta ile mida strategic ipo booked wanakuachia mida tight.
Malori yamekua mengi bandari ina mzigo mkubwa mno ICDs zote zimejaa containers mpaka wameamua kupeleka mzigo Kwala, kwala ina zaidi ya miaka 6 ilishakamilika miundombinu yote lakini hawajawahi kupeleka mzigo sababu wenye ICDs Dar waliona watakosa biashara, lakini containers zimewazidia mpaka jangwani wamejaza lakini wapi.


View: https://youtu.be/MeQgU7Q8RXw?si=gGPNnxELbEOlMPU4
 
Hilo siku hizi hata sio la kutegemea wiki nzima huwa liko full tu , trc washazidiwa na wateja
So sad, badala ya kuchukulia kama sifa walitakiwa kuchukulia kama fursa ya kupiga pesa nyingi na kufanya Reli isaidie kusukuma kasi ya uchumi, maana hawa wanaopoteza masaa Barabarani wangeyatumia kufanya kweli mambo yangekua mbali.
 
Hawa watu wa serikali na Magari yao nyambafu mnaonaje SGR wapewe train moja ina mchanganyiko wa flat bed na behewa la abiria wakae humo kuletwa Dar na kurudishwa Dom, kuliko kiongozi anachukua SGR alafu Dereva kutusumbua Barabarani.
Wanunue mabehewa Yale ya kubeba abiria na magari. Watapata wateja kibao tu, kuna watu wanaotoka dar mpaka Dodoma wakifika Dodoma inawabidi wakodi magari kwa ajili ya shughuli
 
Aisee hii ingetokea Kenya wallahi watu wangekufa wanagombania hiyo mitungi, tofauti ya maisha na maadili baina ya Tanzania na Kenya ni kubwa sanaaaa, video nyingi tume share humu za ajali baina ya hizi nchi mbili na tumeona walivyo na njaa isiyo na kipimo. Kenya ni mavi.
😂😂😂 Wenyewe wanashangaa hata huku wanajua ila kukubali ndio issue lakini deep down wanaelewa walivyo hovyo.
 
So sad, badala ya kuchukulia kama sifa walitakiwa kuchukulia kama fursa ya kupiga pesa nyingi na kufanya Reli isaidie kusukuma kasi ya uchumi, maana hawa wanaopoteza masaa Barabarani wangeyatumia kufanya kweli mambo yangekua mbali.
Imagine mpaka lile la mchongoko leo limekosekana hapa kulikuwa na emergence ya dar ikabidi tutafute ya Moro kwa gharama yoyote tumekula za mbavu
chrome_screenshot_Jul 27, 2025 3_14_31 PM GMT+03_00.png
 
Hakuna namna wakawa na yadi pia Morogoro Dodoma kama ya pugu ili kuwe na vichwa kule pia, moja ikifika nyingine inageuza.

Mfano Dar Moro ni 1hrs waweke ziwe mbili Dar Moro, yaani ya kwanza Moro ikifika tu, nyingine inapakia kuanza Dar same time. Or Interval time na zingine kukutania kwenye mapishano.

Ili hata kwa siku ziwe safari nyingi.

Maoni tu, unaweza nirekebisha.
Ile inayofanya dar Moro naona hata haifanyi kazi sana.
Ukitoka saa tatu Moro kwenda dar inarudi saa kumi.
Ile ilitakiwa iwe na ruti ya dar Moro zaid hata ya Tano kwa siku.
Mfano tu wangeweza zuia zile treni za Dodoma zisichukie abiria wa Moro ila zenyewe kuanzia kilosa kwenda mbele na kukawa na programme ambayo abiria akiwa anashukia njian dereva anaweza ona kuwa kuna kituo flan atashusha na kupakia badala ya Kila kituo kusimama
 
Malori yamekua mengi bandari ina mzigo mkubwa mno ICDs zote zimejaa containers mpaka wameamua kupeleka mzigo Kwala, kwala ina zaidi ya miaka 6 ilishakamilika miundombinu yote lakini hawajawahi kupeleka mzigo sababu wenye ICDs Dar waliona watakosa biashara, lakini containers zimewazidia mpaka jangwani wamejaza lakini wapi.


View: https://youtu.be/MeQgU7Q8RXw?si=gGPNnxELbEOlMPU4

Ila hao watu wa serikali wana matatizo sometimes, tatizo kuu ni.kuona sifa kupitia changamoto.

Hivi vitu ni opportunity kubwa sana.
Mfano mmoja hizo nchi zinazotuzunguka wanaotumia bandari ya Dar watajisikiaje siku wakijua tumepunguza muda wa usafirishaji mizigo yao kutoka siku sijui 2 hadi masaa 10? Si watakuja wengi wengi kupelekea mapato kuwa mengi, kuongeza soft influence in this region, ambayo inaweza fungua madili zaidi kama ya EACOP.

Plus hizo nchi zote kila kukicha zinatafuta investors wa uchumi wao na investors anaangalia logistics pia, ikiwa sisi tumeonekana tupo seriously we double mapato na mizigo ya investors.

Yaani unapata hasira, kuna mipesa kila sehemu hata utalii cha mtoto ambayo effects ni kubwa sana.

Ila kwa kua sifa ipo wakiona eti imejaa wanaanza jisifu mwisho hiyo jaa inakua kero watu wanakimbia tunarudi nyuma.

SGR imefika Dodoma yes, ni jambo safi ya mizigo imeanza ni kheri, kwa kua hawataki heavy Cargo, wangeanza na soft cargo kwenye palletes, watu wanazichukulia Dodoma or Pugu.

Ila ndio hivyo sijui hata wanaona.


MAMBO YA KUCHUKULIA VITU VIKIJAA KAMA SIFA KUA MRADI UNAFANYA KAZI, MWISHOWE HIYO JAA INAGEUKA KERO TUACHE. BADALA YAKE TUENDELEZE NAMNA YA KUTUMIA FURSA HIYO YA KUJAA KUWA MORE CONVENIENCE.

Mwendokasi ilianza kwa kujaa Makofi mengi watu wakasema mradi bomba ila naona nyie wote ni mashahidi hiyo jaa imekua kero.

Vivuko hivyo hivyo.

Barabara hivyo hivyo

Now tupo Huko SGR wasipoamka inaweza kua kero na kero mara nyingi inapelekea kuharibika hatua zisipochukuliwa.


Mtu atoke nje kuja kuexperince SGR akute 3 days Full inakuaje hapo.
 
Wanunue mabehewa Yale ya kubeba abiria na magari. Watapata wateja kibao tu, kuna watu wanaotoka dar mpaka Dodoma wakifika Dodoma inawabidi wakodi magari kwa ajili ya shughuli
Damn unajiuliza nani anawashauri asee, hii nayo inaweza leta pesa nyingi, yaani hata pikipiki za watu wa mikoani.mzigo unawekwa huko badala ya kwenye malori.

Hata hao watu wa malori, wanaweza weka mizigo yao ya makontena kule wakifika sehemu wanachukua na malori, saves time na mafuta. Plus wanapanua companies kuwa na presence maeneo mengine.


Yaani unaona hapo tu tunapata faida kem kem.

1. Kusave petrol and diesel consumption hivyo baadae tunakua na low consumption ambayo itasevu foreign reserves, na foreign reserves ikiongezeka unakua na msuli wa kupiga development kali. Imagine kuokoa dola 1bn kwa mwaka kwa SGR, hizo 1bn utoe 500m kupanua barabara to Moro.

2. Inasaidia kuongeza business Dodoma, kwa kua serikali inahamia huko, diversification ni nzuri Dodoma itaacha kutegemea serikali shughuli zake ikiwa SGR inaleta office na watu.mbali mbali kupitia mizigo hivyo hata ajira zisizo rasmi dodoma kua himilivu.

3. EAC Logistics hub, Nimeona malori ya DRC, RWANDA, ZAMBIA, BURUNDI mengi njia Ya Morogoro na naweza fikiri wanatoka Huku saa 12, Dodoma tu wakafika hata saa 10 au usiku, kisa foleni na kwenda polepole, lakini SGR inavuta via 4hrs damn umeokoa saa nyingi, hizo nchi zinaweza ongeza volume ya mizigo hata utegemezi Tz, hivyo trade ikwa kubwa pamoja na soft powers siku wakiwa na mradi kama EACOP unaula safi.


Ukiona hayo yote yanawezekana kwa maamuzi madogo tu.

Ila sasa utasikia upuuzi mwingi.KUUZA KOROSHO SGR
 
Tena hii volume imeshuka baada ya issue ya M23 huko DRC na majeshi yetu ya SADC lakini ilikua zaidi ya 95%

Ngoja ukutane na statistics za Mombasa wakuambie wanahudumia Rwanda by 100% 😂😂😂 Sasa kama Rwanda mbali hivyo na northern Tanzania wanatumia bandari za Tanzania and specifically Tanga, northern Tanzania ndio watatatumia bandari ya Mombasa? 😂😂 Wakundustan na sense 🫲.................🫱

Screenshot_20250727-153346.jpg



View: https://youtu.be/Me0bo2iMaEA?si=GgttZWZvIr3pOpG_
 
Kuna project ya PPP inapita hapo, toll road.

Kibaha to Dodoma.
Sisi wa kusimamisha JNHPP ndio wa kufanya PPP hiyo route ya 1bn?

Ndio yale yale Kigamboni bridge ulipie, Tanzanite bure, Busisi Bridge bure na yana thamani kuliko la PPP toll kule Kigamboni.

Tuwe seriously bana, PPP iwe huko kwenye hard project kama Gas na madini adimu sasa.

Sipingi ila ikiwa unaonekana unaweza why usifanye,

Sababu hiyo Road ya Kibaha - Dodoma haikamiliki mwaka inachukua hata 9, 10 years, na ikiwa kila mwezi serikali inakusanya $13bn kwa mwaka mmoja wa fedha via TRA, almost Trillions 32 Tsh, mwaka mmoja wa fedha.

Road inajengwa miaka 10 estimate amount ni $1bn to $2bn.

Hivyo kwa mwaka mmoja unaweza Tenga 100m kulipia miaka 10, barabara hii hapa Full funded by Government, ndio hiyo model ilifanya kazi JNHPP bwawa tupo nalo tunatamba nalo.

At the same time unaweza kuza mapato kupitia SGR, TPDC (CNG), Madini (STAMICO), Exports ya kilimo.

Yaani KUMAMAKE DAMN
 
Ila hao watu wa serikali wana matatizo sometimes, tatizo kuu ni.kuona sifa kupitia changamoto.

Hivi vitu ni opportunity kubwa sana.
Mfano mmoja hizo nchi zinazotuzunguka wanaotumia bandari ya Dar watajisikiaje siku wakijua tumepunguza muda wa usafirishaji mizigo yao kutoka siku sijui 2 hadi masaa 10? Si watakuja wengi wengi kupelekea mapato kuwa mengi, kuongeza soft influence in this region, ambayo inaweza fungua madili zaidi kama ya EACOP.
Kiukweli sasa hivi bandari Inaweza kuwa fursa kwetu kwa kuangalia TU yanayoendelea afrika kusini na Mozambique tunaweza vutia watu wengi sana kutumia bandari yetu mpaka tukasahau kabisa masuala ya madeni .
Vurugu za afrika kusini kwetu ni neema sababu tukiimarisha bandari yetu na kupunguza kero zote za barabarani Inaweza kuwa fursa kubwa sana
Plus hizo nchi zote kila kukicha zinatafuta investors wa uchumi wao na investors anaangalia logistics pia, ikiwa sisi tumeonekana tupo seriously we double mapato na mizigo ya investors.

Yaani unapata hasira, kuna mipesa kila sehemu hata utalii cha mtoto ambayo effects ni kubwa sana.

Ila kwa kua sifa ipo wakiona eti imejaa wanaanza jisifu mwisho hiyo jaa inakua kero watu wanakimbia tunarudi nyuma.

SGR imefika Dodoma yes, ni jambo safi ya mizigo imeanza ni kheri, kwa kua hawataki heavy Cargo, wangeanza na soft cargo kwenye palletes, watu wanazichukulia Dodoma or Pugu.
Kiukweli kwala ilipaswa iwe kwa ajili ya mizigo ya Zambia, Malawi na Lubumbashi na nchi zote za uelekeo huo.
Ila kwa mizigo ya Rwanda Burundi ,Uganda na eastern congo ,hawa wangekuwa Wanachukulia Dodoma tu , hata kama tungewashawishi kwa kuweka bei ndogo sana ambayo itawashawishi matajiri kuona ni kero kupeleka lorri dar.
Mfano tunaweza kuweka charge ya 20ft container dar Dom ikawa hata 350 kwa treni ya behewa 50 Inaweza beba hata container 100 , pia na mzigo wa return ukawa hivyo, naamini hata wale wenye macontainer ya copper wataenda shusha Dodoma ili wabebe mzigo mwingine kurudi Kongo kuliko kuchoma mafuta mpaka dar
Ila ndio hivyo sijui hata wanaona.


MAMBO YA KUCHUKULIA VITU VIKIJAA KAMA SIFA KUA MRADI UNAFANYA KAZI, MWISHOWE HIYO JAA INAGEUKA KERO TUACHE. BADALA YAKE TUENDELEZE NAMNA YA KUTUMIA FURSA HIYO YA KUJAA KUWA MORE CONVENIENCE.

Mwendokasi ilianza kwa kujaa Makofi mengi watu wakasema mradi bomba ila naona nyie wote ni mashahidi hiyo jaa imekua kero.

Vivuko hivyo hivyo.

Barabara hivyo hivyo

Now tupo Huko SGR wasipoamka inaweza kua kero na kero mara nyingi inapelekea kuharibika hatua zisipochukuliwa.


Mtu atoke nje kuja kuexperince SGR akute 3 days Full inakuaje hapo.
 
Sisi wa kusimamisha JNHPP ndio wa kufanya PPP hiyo route ya 1bn?
1b ni lami kilometa moja. Nadhani hofu yao ni kufikia stage kama ya Kenya, ya madeni makubwa.

Ujue SGR, Nyerere bridge, Mtumba, Outering Dodoma zimetafuna sana pesa.

Ethiopia wanazo mbili za kulipia.

Barabara za kulipia zitakuwepo na nyingine za kawaida kama kawaida.
Ndio yale yale Kigamboni bridge ulipie,
Kigamboni kuna pesa za NSSF wanataka kurudisha pesa za wastaafu.
Tanzanite bure, Busisi Bridge bure na yana thamani kuliko la PPP toll kule Kigamboni.

Tuwe seriously bana, PPP iwe huko kwenye hard project kama Gas na madini adimu sasa.

Sipingi ila ikiwa unaonekana unaweza why usifanye,

Sababu hiyo Road ya Kibaha - Dodoma haikamiliki mwaka inachukua hata 9, 10 years, na ikiwa kila mwezi serikali inakusanya $13bn kwa mwaka mmoja wa fedha via TRA, almost Trillions 32 Tsh, mwaka mmoja wa fedha.

Road inajengwa miaka 10 estimate amount ni $1bn to $2bn.

Hivyo kwa mwaka mmoja unaweza Tenga 100m kulipia miaka 10, barabara hii hapa Full funded by Government, ndio hiyo model ilifanya kazi JNHPP bwawa tupo nalo tunatamba nalo.

At the same time unaweza kuza mapato kupitia SGR, TPDC (CNG), Madini (STAMICO), Exports ya kilimo.

Yaani KUMAMAKE DAMN
Una wazo kama langu. Tusie dekeze sana PPP kwenye barabara.

Huko ndio kama hatuna pesa tukope tu.

Miradi kama kujenga arena za burudani na miradi mikubwa kama ya madini ndio kunatakiwa PPP
 
Back
Top Bottom