President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,719
- 89,729
Mji wote unachukuliwa na one shotOnly South African and Egyptian Cities can compete Nairobi in terms of tall building.
![]()
Mji wote unachukuliwa na one shotOnly South African and Egyptian Cities can compete Nairobi in terms of tall building.
![]()
Hakuna namna wakawa na yadi pia Morogoro Dodoma kama ya pugu ili kuwe na vichwa kule pia, moja ikifika nyingine inageuza.Nahisi kwa Yale ya locomotive mabehewa hayatoshi maana yalikuwa 59 hapo Kuna mpaka lile la rais na lile la escort ya mizigo kwenye treni ya mizigo.
Kwa sasa zinazofanya kazi ni treni 3 , mbili zinaenda Dodoma kwa na moja ni Ile ya Moro dar , nadhani kuna reserve ya mabehewa kwa ajili matengenezo pale au kuyapa shift.
Mimi naona wabalansi muda tu zile treni tatu zipige trip nne kwa siku , yaan Kila treni iongezewe trip moja badala ya tatu za sasa hivi
Na keshokutwa pia ile mida ya kimkakati unakuta fullFikiria hata leo kutoka Dodoma mpaka kesho zimejaa
Ni noma kabisa.We need to expand Morogoro road. Sijui kwa nini wanasitasita
😂😂😂😂 Halafu sio hata chokoraa mpaka wenye magari wanapaki pembeni kwenda kuiba tikiti zilizodondoka lakini Tanzania hamna mtu mwenye muda as nothing happened watu wanakimbia kuokoa maisha ya watu sio kuiba gasHakingebaki kitu hapo 🤣🤣🤣 scenerios ni nyingi sana kuna ile ya Mchele nayo hamna aliyejisumbua ila haoa tuna ya Matikiti 😂😂😂
Hilo siku hizi hata sio la kutegemea wiki nzima huwa liko full tu , trc washazidiwa na watejaNa keshokutwa pia ile mida ya kimkakati unakuta full
Malori yamekua mengi bandari ina mzigo mkubwa mno ICDs zote zimejaa containers mpaka wameamua kupeleka mzigo Kwala, kwala ina zaidi ya miaka 6 ilishakamilika miundombinu yote lakini hawajawahi kupeleka mzigo sababu wenye ICDs Dar waliona watakosa biashara, lakini containers zimewazidia mpaka jangwani wamejaza lakini wapi.Dah! Wanangu for first time mambo ya government yalinigusa kunako moyoni.
Nilikua na dharura Morogoro majuzi SGR hamna tiketi kabisa 2 days ahead, damn.
Niliishia kutumia siku nzima Barabarani Kisa malori tele.
Hakuna namna kweli waongeze vichwa vya treni maana hali si poa, 2 days ahead dah hata hiyo siku ya 3 unakuta ile mida strategic ipo booked wanakuachia mida tight.
So sad, badala ya kuchukulia kama sifa walitakiwa kuchukulia kama fursa ya kupiga pesa nyingi na kufanya Reli isaidie kusukuma kasi ya uchumi, maana hawa wanaopoteza masaa Barabarani wangeyatumia kufanya kweli mambo yangekua mbali.Hilo siku hizi hata sio la kutegemea wiki nzima huwa liko full tu , trc washazidiwa na wateja
Wanunue mabehewa Yale ya kubeba abiria na magari. Watapata wateja kibao tu, kuna watu wanaotoka dar mpaka Dodoma wakifika Dodoma inawabidi wakodi magari kwa ajili ya shughuliHawa watu wa serikali na Magari yao nyambafu mnaonaje SGR wapewe train moja ina mchanganyiko wa flat bed na behewa la abiria wakae humo kuletwa Dar na kurudishwa Dom, kuliko kiongozi anachukua SGR alafu Dereva kutusumbua Barabarani.
Ni miaka minne sasa toka hizo story zianzeKuna project ya PPP inapita hapo, toll road.
Kibaha to Dodoma.
😂😂😂 Wenyewe wanashangaa hata huku wanajua ila kukubali ndio issue lakini deep down wanaelewa walivyo hovyo.Aisee hii ingetokea Kenya wallahi watu wangekufa wanagombania hiyo mitungi, tofauti ya maisha na maadili baina ya Tanzania na Kenya ni kubwa sanaaaa, video nyingi tume share humu za ajali baina ya hizi nchi mbili na tumeona walivyo na njaa isiyo na kipimo. Kenya ni mavi.
Imagine mpaka lile la mchongoko leo limekosekana hapa kulikuwa na emergence ya dar ikabidi tutafute ya Moro kwa gharama yoyote tumekula za mbavuSo sad, badala ya kuchukulia kama sifa walitakiwa kuchukulia kama fursa ya kupiga pesa nyingi na kufanya Reli isaidie kusukuma kasi ya uchumi, maana hawa wanaopoteza masaa Barabarani wangeyatumia kufanya kweli mambo yangekua mbali.
Jambo la msingi ni mkataba mzuri.Ni miaka minne sasa toka hizo story zianze
Ile inayofanya dar Moro naona hata haifanyi kazi sana.Hakuna namna wakawa na yadi pia Morogoro Dodoma kama ya pugu ili kuwe na vichwa kule pia, moja ikifika nyingine inageuza.
Mfano Dar Moro ni 1hrs waweke ziwe mbili Dar Moro, yaani ya kwanza Moro ikifika tu, nyingine inapakia kuanza Dar same time. Or Interval time na zingine kukutania kwenye mapishano.
Ili hata kwa siku ziwe safari nyingi.
Maoni tu, unaweza nirekebisha.
Malori yamekua mengi bandari ina mzigo mkubwa mno ICDs zote zimejaa containers mpaka wameamua kupeleka mzigo Kwala, kwala ina zaidi ya miaka 6 ilishakamilika miundombinu yote lakini hawajawahi kupeleka mzigo sababu wenye ICDs Dar waliona watakosa biashara, lakini containers zimewazidia mpaka jangwani wamejaza lakini wapi.
View: https://youtu.be/MeQgU7Q8RXw?si=gGPNnxELbEOlMPU4
Damn unajiuliza nani anawashauri asee, hii nayo inaweza leta pesa nyingi, yaani hata pikipiki za watu wa mikoani.mzigo unawekwa huko badala ya kwenye malori.Wanunue mabehewa Yale ya kubeba abiria na magari. Watapata wateja kibao tu, kuna watu wanaotoka dar mpaka Dodoma wakifika Dodoma inawabidi wakodi magari kwa ajili ya shughuli
Walitakiwa waanze ujenzi miaka mitano nyuma!! Hiyo barabara hali ni mbaya sana!!Kuna project ya PPP inapita hapo, toll road.
Kibaha to Dodoma.