Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,954
- 27,946
Just show me any place in Tanzania that can compete Kisumu tuanze battle saa hii.Amka ndotoni utajinyea budaa
Just show me any place in Tanzania that can compete Kisumu tuanze battle saa hii.Amka ndotoni utajinyea budaa
Narudia tena aya mambo yanerekebishika ata ulaya mika miaka 70 iliyopita zilikua haziivi ila leo ni sautii moja na ndio nguvu yao kubwa sana hvi vibifu vya hapa na pake ni suala la maslai tuu na ndio maana wamejiinga EAC ,umoja wetu ndio utatoa hapa na kutuweka sawa na nchi kama china nkWengine kama.kina nani?
Rwanda ana beef na kila jirani, Uganda, Burundi, DRC,
Uganda haeleweki. Na hivi sasa Museven maji ya jioni huyo Muhoozi akili yake anawaza vita kuda wote.
DRC ni chaka la wahuni, hakuna serikali pale.
Ndio maana TZ iko busy na SADC tu.
Orania ni private property ambapo wenye nayo wameamua kuishi hivyo na ni swala lipo kwenye katiba yao.Tatzio letu na Zanzibar ni dogo sana. Na kele mara nyingi ni wanasiasa wanaotafua ulaji tu.
👇
South Africa kumaliza matatizo ni almost imposible.
Watu mpaka wanajenga mji wa peke yao, Orania huwezi jua baadaye nini kitatokea.
Inaaweza kuja kuwa Israel 2.0 wakapewa silaha na pesa kwaajili ya kupambana na serikali ya afrika kusini na kujitanua.
Rwanda haina future.
Watu wanaongezeka kila siku, nchi haitoshi
Dah hilo swali gumu kujibu mkuu,huwenda labda hizo nchi zilikua na mfumo wa capitalism nadhani ikawa rahisi kwao kumechi na Western world.Nachomekea tuu.
Hivi nchi za mashariki ziliweza vipi kubadili mitazamo yao na kuwa ya kimagharibi (Ujerumsni mashariki, Poland, Bulgaria, Hungary.k)
Si kweli kaka. Ideologies zinabadilika.Dah hilo swali gumu kujibu mkuu,huwenda labda hizo nchi zilikua na mfumo wa capitalism nadhani ikawa rahisi kwao kumechi na Western world.
Hata mie naona napoteza muda maana hapa naona hakuna mtu wa mjadala Kuna mbishani tu.Baadhi ya hizi inshu muwe mnazipotezea kama hamtaki kujifunza.
Hili sio swali la mtu mzima mwenye uelewa wa haya mambo. Kuna tofauti kati ya nchi "country" na "Nation" taifa. Kuna a lot of countries kwenye dunia yetu hii ya leo, ila tuna few nations, Tanzania ni moja wapo. Kenya ni country "nchi" na sio nation "taifa".
Taifa linajengwa na nchi ni mrundikano tu wa watu in partucular geographical location wakicheza kamari ya kuishi pamoja.
Sasa kama huna ufahamu wa tofauti hizo mbili, kuongelea hili jambo hasa kiujuaji ni kupotezeana muda. 🚮 🚮
Nimemkuza wapi mtutsi mkuu!?Woga wako tu kaka yangu. Brother unawakuza sana watusi brother hawana ubavu wowote. Hiyo mentality uliyolishwa kichwani mwako ni vigumu sana kuitoa. Hao akina Kagame na Museven mafunzo yao wanapata hapa Tanzania. Taasisi yao ya Usalama hapo Rwanda mafunzo yao wanapata hapa Tanzania. Sijaelewa kwanini unawapa hao watusi umuhimu ambao hawana.
Huwezi kuwalinganisha huwezi kuwalinganisha Watusi na Kurds, ni mbingu la ardhi kaka. Hapa Afrika jamii yenye mtandao mkubwa na unaweza kuwaogopa ni Wasomali siyo watusi.
Makadirio ya Tutsi katika nchi 5 ni 4,847,000.
Burundi: 1,998,000
Rwanda: 1,468,000
DRC: 518,000
Uganda: 752,000
Tanzania: 111,000
Wakati Wasukuma/Nyamwezi ni zaidi ya 20,000,000.
ACHA WOGA KAKA YANGU, PIGA KAZI
Umeelewa alichouliza mkuu kaka?Si kweli kaka. Ideologies zinabadilika.
Mimi kuna kitu kimoja nashangaa, hawa Wasukuma, Waha na Wahaya ndio wamekosa uzalendo namna hii? Mbona suala la wahamiaji haramu huliskii kwa Wakurya wa Tarime, Wachagga na haya Wamasai? Hivi mnajua pamoja na Wamasai kuwa kabila moja, wanachungiana tu mifugo na wale wa Kenya na Bongo wanajulikana? Mbona Wanyakyusa pia wapo Wazalendo? Kwann mipaka ya Magharibi tu ndio tatizo?Nimemkuza wapi mtutsi mkuu!?
Embu nioneshe pahala nilipomkuza mtutsi?
Nimeelezea silka yao ikoje sijamsifu mtu mimi hapa.
Pia naona Wacha hii mada iishe it's over Kila mtu abaki na mtazamo wake.
Kheri nitakufa kabla haya hayajatokea.
Kinachokusumbua brother ni roho ya ubaguzi tu si kitu kingine. Tukikuuliza sababu ya kuwachukiwa watusi huna. Tunakuuliza je, hao watusi wanauwezo kutuzidi wewe mwenyewe unasema hujawakuza maana yake hawana uwezo huo.Nimemkuza wapi mtutsi mkuu!?
Embu nioneshe pahala nilipomkuza mtutsi?
Nimeelezea silka yao ikoje sijamsifu mtu mimi hapa.
Pia naona Wacha hii mada iishe it's over Kila mtu abaki na mtazamo wake.
Kheri nitakufa kabla haya hayajatokea.
Hilo hata mimi nakosa jibu kwakweli.Mimi kuna kitu kimoja nashanhaa, hawa Wasukuma, Waha na Wahaya ndio wamekoda uzalendo namna hii? Mbona suala la wahamiaji haramu huliskii kwa Wakurya wa Tarime, Wachagga na haya Wamasai? Hibi mnajua pamoja na Wamasai kiwa kabila moja wanachungiana tu mifugo na wale wa Kenya na Bongo wanajulikana? Mbona Wanyakyusa pia wapo Wazalendo? Kwann mipaka ya Magharibi tu ndio tatizo?
Wasukuma, Waha na Wahaya ndio wamekoda. 🤣🤣🤣🤣🤣 Brother jibu hoja acha kuhangaika.Mimi kuna kitu kimoja nashanhaa, hawa Wasukuma, Waha na Wahaya ndio wamekoda uzalendo namna hii? Mbona suala la wahamiaji haramu huliskii kwa Wakurya wa Tarime, Wachagga na haya Wamasai? Hibi mnajua pamoja na Wamasai kiwa kabila moja wanachungiana tu mifugo na wale wa Kenya na Bongo wanajulikana? Mbona Wanyakyusa pia wapo Wazalendo? Kwann mipaka ya Magharibi tu ndio tatizo?
Brother unasumbuliwa na ingnorace and separatism. Dunia sasa wanahubiri umoja. BRICS wanaendelea kuongeza umoja wao na sasa wanampango wa kuwa na currency yao. Europian Union unaweza kwenda kuajiriwa nchi yoyote.Hilo hata mimi nakosa jibu kwakweli.
Muda mwingine ni kupoteza muda tu, hakuna Madai utaweza shindana na huyo mtuHata mie naona napoteza muda maana hapa naona hakuna mtu wa mjadala Kuna mbishani tu.
Wether iwe country ama nation hakuna kinacho exist vizuri kama hamtembei na ideology moja.
Nimemaliza mada end of discussion.
Hapa hatushindani tunajadiliana. Tatizo lako umekuja kushindana. Unapozidiwa hoja unajificha kwenye kivuli cha kushindana. Usilazimishe mawazo yako hayo ya kihafidhina yawe sahihi.Muda mwingine ni kupoteza muda tu, hakuna Madai utaweza shindana na huyo mtu
Mitazamo hubadilika, inafanyiwa propaganda kizazi kimoja tuu, kazi imeisha. kizazi kijacho kinaendeleza mapokeo. Ndicho kilichotokea nchi za Ulaya mashariki kutoka ujamaa kwenda ubepari ambao sasa umekuwa ufashisti.Dah hilo swali gumu kujibu mkuu,huwenda labda hizo nchi zilikua na mfumo wa capitalism nadhani ikawa rahisi kwao kumechi na Western world.
Hajatajwa mtu hapoHapa hatushindani tunajadiliana. Tatizo lako umekuja kushindana. Unapozidiwa hoja unajificha kwenye kivuli cha kushindana. Usilazimishe mawazo yako hayo ya kihafidhina yawe sahihi.
Leta hoja zenye mashiko utasikilizwa.