Nyerere alikuwa Rais Tanzania kwa miaka 24.Kwa hiyo, ukipanda mbegu leo itaota siku hiyo hiyo?
Aliweka msingi IMARA kweli kweli.
- ARDHI
- KISWAHILI
- UMOJA
- MAMBO YA NJE
- URAIA
- RASLIMALI
Alifanya SACRIFICES nyingi taifa hili kuwa kama lilivyo leo.
- Kuua UCHIEF
- Kuweka taifa hili bila Dini (SECULAR)
- Muungano
- Kuacha madaraka kwa Hiari
- Vyama vingi
Siku ukitoka nje ya TZ, ndio utajua thamani kubwa ya haya MAMBO.