Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hiyo, ukipanda mbegu leo itaota siku hiyo hiyo?
Nyerere alikuwa Rais Tanzania kwa miaka 24.

Aliweka msingi IMARA kweli kweli.
  • ARDHI
  • KISWAHILI
  • UMOJA
  • MAMBO YA NJE
  • URAIA
  • RASLIMALI


Alifanya SACRIFICES nyingi taifa hili kuwa kama lilivyo leo.
  • Kuua UCHIEF
  • Kuweka taifa hili bila Dini (SECULAR)
  • Muungano
  • Kuacha madaraka kwa Hiari
  • Vyama vingi

Siku ukitoka nje ya TZ, ndio utajua thamani kubwa ya haya MAMBO.
 
Kwani sisi hatutofautiani na wazanzibari?
Tatzio letu na Zanzibar ni dogo sana. Na kele mara nyingi ni wanasiasa wanaotafua ulaji tu.
Wewe umeuliza kuwa, kama CCM imewasaidia kunganisha vyama why Oromo wameuana? Nimekujibu, ilichofanya CCM ni first step ya national buildup project.
👇
South Africa wana Rainbow nation,
South Africa kumaliza matatizo ni almost imposible.

Watu mpaka wanajenga mji wa peke yao, Orania huwezi jua baadaye nini kitatokea.

Inaaweza kuja kuwa Israel 2.0 wakapewa silaha na pesa kwaajili ya kupambana na serikali ya afrika kusini na kujitanua.
Rwanda baada ya genocide wana yao pia. Ndivyo mchakato ulivyo, na ni project inayoweza chukua generations.
Rwanda haina future.

Watu wanaongezeka kila siku, nchi haitoshi
 
Kwa hivo aliyesema haya ni Teargass sindio? 🤣 🤣

Kama hujarukwa na akili then it's coming bro. Wacha nikuache.
Unatatizo la uelewa.

Nilikuwa naeleza kuwa miradi tunayofanya ni nchi zenye GDP zaidi ya $400B tuu ndo zinafanya.

Nikahoji tuonesheni nchi zenye GDP ya $250B zinazofanya hivyo lakini mpaka sasa mmeshindwa.

Ni simple logic tuu, kama hakuna nchi zenye GDP ya $250B zinazoweza kufanya miradi ya Tz isipokuwa zile za GDP zaidi ya $400B, basi Tanzania nayo ipo kwenye kundi hilo la $400B
 
Unachanganya kitu aisee bro.
Raia wa Rwanda Wana ideology tofauti na raia wa Tanzania.
Kuwachanganya watu wenye ideology tofauti chini ya bendera Moja ni ngumu sana.
Ndio hapo utajiuliza kwanini Kurdish hawakai chini ya bendera yeyote eidha Turkiye,Iran ama Syria.
Woga wako tu kaka yangu. Brother unawakuza sana watusi brother hawana ubavu wowote. Hiyo mentality uliyolishwa kichwani mwako ni vigumu sana kuitoa. Hao akina Kagame na Museven mafunzo yao wanapata hapa Tanzania. Taasisi yao ya Usalama hapo Rwanda mafunzo yao wanapata hapa Tanzania. Sijaelewa kwanini unawapa hao watusi umuhimu ambao hawana.

Huwezi kuwalinganisha huwezi kuwalinganisha Watusi na Kurds, ni mbingu la ardhi kaka. Hapa Afrika jamii yenye mtandao mkubwa na unaweza kuwaogopa ni Wasomali siyo watusi.

Makadirio ya Tutsi katika nchi 5 ni 4,847,000.
Burundi: 1,998,000
Rwanda: 1,468,000
DRC: 518,000
Uganda: 752,000
Tanzania: 111,000

Wakati Wasukuma/Nyamwezi ni zaidi ya 20,000,000.

ACHA WOGA KAKA YANGU, PIGA KAZI
 
dynests ndio nn?
Sasa brother naona unaanza sasa kushuka kiwango cha kujadili. Sasa tuanze kujadili herufi kwenye neno? Brother usitafute mistakes reja reja kwenye point nzito ili uweze kukimbia hoja zangu.

Hakuna hoja yangu hata moja uliyoijibu. Unaruka ruka tu mdogo wangu. Tupingane kwa hoja.
 
Unatatizo la uelewa.

Nilikuwa naeleza kuwa miradi tunayofanya ni nchi zenye GDP zaidi ya $400B tuu ndo zinafanya.

Nikahoji tuonesheni nchi zenye GDP ya $250B zinazofanya hivyo lakini mpaka sasa mmeshindwa.

Ni simple logic tuu, kama hakuna nchi zenye GDP ya 250 zinazoweza kufanya miradi ya Tz isipokuwa zile za GDP zaidi ya $400B, basi Tanzania nayo ipo kwenye kundi hilo la $400B
Wacha nikuquote vizuri niache ile sehemu ulisema. Unajua saa zingine wendazimu ukianza kuingia mtu anaweza hata mkana mamake mzazi. Wacha hata niweke kwa bright colour maanake ni kama una shida ya macho. 🤣 🤣 🤣 🤣

Kumbuka uhalisia wa uchumi wetu ni zaidi ya $400B,
 
Tanzania inaamini kwenye ukomunisti na Kenya kwenye ubepari.
Hata washirika ni tofauti, malengo ni tofauti.
Ndio ujue it is too late kuungana na tukafanya jambo.
Hilo lilitakiwa lifanyike kipindi nchi bado changa ziwekwe chini ya ideology moja na mtazamo mmoja.
Nchi zishakomaa na ideology zao binafsi uje uzibadili kwa kuziweka sehemu moja!?
Acheni utani,we huoni hata China anavyohangaika kwa Taiwan!?
Watu sijui hawalioni hili!
Brother unatukosea sana watanzania. Tanzania hatuamini katika ukomunisti. SInce the begining Tanzania ni socialist.
Unatakiwa kaka ujifunza tofauti ya Communism, Socialisim and Capitalism.
1. Ubepari: Mfumo wa Soko Huria na Umiliki Binafsi.
2. Ujamaa(Socialism): Umiliki wa Umma na Jukumu la Serikali.
3. Ukomunisti: Jamii Isiyo na Matabaka na Umiliki wa Pamoja.

Kaka usichanganye madesa. Sisi Tanzania ni wajamaa
 
Hayo mambo yana rekebishikaa sio msahafu alafu ukichunguza kwa makini hapa EA Kenya pekee ndio pro west wengine wote ni against
Wengine kama kina nani?

Rwanda ana beef na kila jirani, Uganda, Burundi, DRC,

Uganda haeleweki. Na hivi sasa Museven maji ya jioni huyo Muhoozi akili yake anawaza vita muda wote.

DRC ni chaka la wahuni, hakuna serikali pale.

Ndio maana TZ iko busy na SADC tu.
 
Wacha nikuquote vizuri niache ile sehemu ulisema. Unajua saa zingine wendazimu ukianza kuingia mtu anaweza hata mkana mamake mzazi. Wacha hata niweke kwa bright colour maanake ni kama una shida ya macho. 🤣 🤣 🤣 🤣
Kumbuka uhalisia wa uchumi wetu ni zaidi ya $400B, japo kwenye makaratasi hauoneshi. Mambo tunayo yafanya hakuna nchi yenye GPD ya 250B iliyowahi kufanya.
Mbona humalizii nilichokiandika, unaogopa nini?
 
Mbona humalizii nilichokiandika, unaogopa nini?
"Kumbuka uhalisia wa uchumi wetu ni zaidi ya $400B...."

I'm done bro. I won't be responding to you on this topic anymore. You can't be denying the obvious and still dragging me along.
 
Wengine kama.kina nani?

Rwanda ana beef na kila jirani, Uganda, Burundi, DRC,

Uganda haeleweki. Na hivi sasa Museven maji ya jioni huyo Muhoozi akili yake anawaza vita kuda wote.

DRC ni chaka la wahuni, hakuna serikali pale.

Ndio maana TZ iko busy na SADC tu.
Si kweli kaka yangu. Tafuta taarifa sahihi. Ndio maana Wizara yetu ya mambo ya nje inaitwa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Na siyo ushirikiano wa SADC. Tanzania imeipa umuhimu mkubwa EAC ni wewe tu usiyeelewa.

Wizara hiyo ipo na Naibu waziri anayeshughulikia masuala ya EAC pekee.
Deputy Minister - EAC
Hon. Dennis Lazaro Londo (MP)


Na kuna katibu anayeshughulikia masuala ya EAC pekee
Permanent Secretary - EAC
Amb. Stephen P. Mbundi


Hii yote ni ushahidi kuwa Tanzania imechukulia kwa umuhimu mkubwa EAC


Pitia hapa:
 
"Kumbuka uhalisia wa uchumi wetu ni zaidi ya $400B...."

I'm done bro. I won't be responding to you on this topic anymore. You can't be denying the obvious and still dragging me along.
You are done because you are running out of gas, you can't produce any evidence of $250B GDP country that do what we do in Tz.
Ni simple logic tuu, kama hakuna nchi zenye GDP ya 250 zinazoweza kufanya miradi ya Tz isipokuwa zile za GDP zaidi ya $400B, basi Tanzania nayo ipo kwenye kundi hilo la $400B
NairobiWalker Unaelewa maana ya logic hii hapa juu au hata "Githafu" za logic hujui?
 
Tunaanza kurusha mashambulizi. Wakenya mpaka wachanganyikiwe.

1752781091098.png
 
Yaanza kutatuliwa hayo ndio mengine yaje.
HUWEZI jitia msafi kwa kuvaa nguo na kupuliza manukano ilhali huogi Wala huchambi,harufu itatokeza tu.
Oneni wenzenu Algeria,Misri wao wameendelea kivipi?
Botswana wao wameendelea vipi?
Seychelles

Mkuu Kuna international organization,tutatue matatizo yetu na tuungane kupitia hizo internatio
Inaonekana ufahamu umuhimu wa muungano enywey tuishie hapo
 
Back
Top Bottom