Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania inaamini kwenye ukomunisti na Kenya kwenye ubepari.
Hata washirika ni tofauti, malengo ni tofauti.
Ndio ujue it is too late kuungana na tukafanya jambo.
Hilo lilitakiwa lifanyike kipindi nchi bado changa ziwekwe chini ya ideology moja na mtazamo mmoja.
Nchi zishakomaa na ideology zao binafsi uje uzibadili kwa kuziweka sehemu moja!?
Acheni utani,we huoni hata China anavyohangaika kwa Taiwan!?
Watu sijui hawalioni hili!
Brother unatukosea sana watanzania. Tanzania hatuamini katika ukomunisti. SInce the begining Tanzania ni socialist.
Unatakiwa kaka ujifunza tofauti ya Communism, Socialisim and Capitalism.
1. Ubepari: Mfumo wa Soko Huria na Umiliki Binafsi.
2. Ujamaa(Socialism): Umiliki wa Umma na Jukumu la Serikali.
3. Ukomunisti: Jamii Isiyo na Matabaka na Umiliki wa Pamoja.

Kaka usichanganye madesa. Sisi Tanzania ni wajamaa
 
Hayo mambo yana rekebishikaa sio msahafu alafu ukichunguza kwa makini hapa EA Kenya pekee ndio pro west wengine wote ni against
Wengine kama kina nani?

Rwanda ana beef na kila jirani, Uganda, Burundi, DRC,

Uganda haeleweki. Na hivi sasa Museven maji ya jioni huyo Muhoozi akili yake anawaza vita muda wote.

DRC ni chaka la wahuni, hakuna serikali pale.

Ndio maana TZ iko busy na SADC tu.
 
Wacha nikuquote vizuri niache ile sehemu ulisema. Unajua saa zingine wendazimu ukianza kuingia mtu anaweza hata mkana mamake mzazi. Wacha hata niweke kwa bright colour maanake ni kama una shida ya macho. 🤣 🤣 🤣 🤣
Kumbuka uhalisia wa uchumi wetu ni zaidi ya $400B, japo kwenye makaratasi hauoneshi. Mambo tunayo yafanya hakuna nchi yenye GPD ya 250B iliyowahi kufanya.
Mbona humalizii nilichokiandika, unaogopa nini?
 
Mbona humalizii nilichokiandika, unaogopa nini?
"Kumbuka uhalisia wa uchumi wetu ni zaidi ya $400B...."

I'm done bro. I won't be responding to you on this topic anymore. You can't be denying the obvious and still dragging me along.
 
Wengine kama.kina nani?

Rwanda ana beef na kila jirani, Uganda, Burundi, DRC,

Uganda haeleweki. Na hivi sasa Museven maji ya jioni huyo Muhoozi akili yake anawaza vita kuda wote.

DRC ni chaka la wahuni, hakuna serikali pale.

Ndio maana TZ iko busy na SADC tu.
Si kweli kaka yangu. Tafuta taarifa sahihi. Ndio maana Wizara yetu ya mambo ya nje inaitwa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Na siyo ushirikiano wa SADC. Tanzania imeipa umuhimu mkubwa EAC ni wewe tu usiyeelewa.

Wizara hiyo ipo na Naibu waziri anayeshughulikia masuala ya EAC pekee.
Deputy Minister - EAC
Hon. Dennis Lazaro Londo (MP)


Na kuna katibu anayeshughulikia masuala ya EAC pekee
Permanent Secretary - EAC
Amb. Stephen P. Mbundi


Hii yote ni ushahidi kuwa Tanzania imechukulia kwa umuhimu mkubwa EAC


Pitia hapa:
 
"Kumbuka uhalisia wa uchumi wetu ni zaidi ya $400B...."

I'm done bro. I won't be responding to you on this topic anymore. You can't be denying the obvious and still dragging me along.
You are done because you are running out of gas, you can't produce any evidence of $250B GDP country that do what we do in Tz.
Ni simple logic tuu, kama hakuna nchi zenye GDP ya 250 zinazoweza kufanya miradi ya Tz isipokuwa zile za GDP zaidi ya $400B, basi Tanzania nayo ipo kwenye kundi hilo la $400B
NairobiWalker Unaelewa maana ya logic hii hapa juu au hata "Githafu" za logic hujui?
 
Tunaanza kurusha mashambulizi. Wakenya mpaka wachanganyikiwe.

1752781091098.png
 
Yaanza kutatuliwa hayo ndio mengine yaje.
HUWEZI jitia msafi kwa kuvaa nguo na kupuliza manukano ilhali huogi Wala huchambi,harufu itatokeza tu.
Oneni wenzenu Algeria,Misri wao wameendelea kivipi?
Botswana wao wameendelea vipi?
Seychelles

Mkuu Kuna international organization,tutatue matatizo yetu na tuungane kupitia hizo internatio
Inaonekana ufahamu umuhimu wa muungano enywey tuishie hapo
 
Wengine kama.kina nani?

Rwanda ana beef na kila jirani, Uganda, Burundi, DRC,

Uganda haeleweki. Na hivi sasa Museven maji ya jioni huyo Muhoozi akili yake anawaza vita kuda wote.

DRC ni chaka la wahuni, hakuna serikali pale.

Ndio maana TZ iko busy na SADC tu.
Narudia tena aya mambo yanerekebishika ata ulaya mika miaka 70 iliyopita zilikua haziivi ila leo ni sautii moja na ndio nguvu yao kubwa sana hvi vibifu vya hapa na pake ni suala la maslai tuu na ndio maana wamejiinga EAC ,umoja wetu ndio utatoa hapa na kutuweka sawa na nchi kama china nk
 
Tatzio letu na Zanzibar ni dogo sana. Na kele mara nyingi ni wanasiasa wanaotafua ulaji tu.

👇

South Africa kumaliza matatizo ni almost imposible.

Watu mpaka wanajenga mji wa peke yao, Orania huwezi jua baadaye nini kitatokea.

Inaaweza kuja kuwa Israel 2.0 wakapewa silaha na pesa kwaajili ya kupambana na serikali ya afrika kusini na kujitanua.

Rwanda haina future.

Watu wanaongezeka kila siku, nchi haitoshi
Orania ni private property ambapo wenye nayo wameamua kuishi hivyo na ni swala lipo kwenye katiba yao.
Rwanda watakuwa wamemaliza swala la utaifa na kuingia kwenye swala la udogo wa ardhi.
 
Nachomekea tuu.

Hivi nchi za mashariki ziliweza vipi kubadili mitazamo yao na kuwa ya kimagharibi (Ujerumsni mashariki, Poland, Bulgaria, Hungary.k)
Dah hilo swali gumu kujibu mkuu,huwenda labda hizo nchi zilikua na mfumo wa capitalism nadhani ikawa rahisi kwao kumechi na Western world.
 
Baadhi ya hizi inshu muwe mnazipotezea kama hamtaki kujifunza.


Hili sio swali la mtu mzima mwenye uelewa wa haya mambo. Kuna tofauti kati ya nchi "country" na "Nation" taifa. Kuna a lot of countries kwenye dunia yetu hii ya leo, ila tuna few nations, Tanzania ni moja wapo. Kenya ni country "nchi" na sio nation "taifa".
Taifa linajengwa na nchi ni mrundikano tu wa watu in partucular geographical location wakicheza kamari ya kuishi pamoja.

Sasa kama huna ufahamu wa tofauti hizo mbili, kuongelea hili jambo hasa kiujuaji ni kupotezeana muda. 🚮 🚮
Hata mie naona napoteza muda maana hapa naona hakuna mtu wa mjadala Kuna mbishani tu.
Wether iwe country ama nation hakuna kinacho exist vizuri kama hamtembei na ideology moja.
Nimemaliza mada end of discussion.
 
Back
Top Bottom