Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Comoros hawako wengi sana kwahiyo hata biashara sio kivile sana.
Kwangu Rwanda hapana ila Burundi Inaweza kuwa na manufaa sana kuliko comoro na rwanda.
Burundi Iko na population kubwa ya wahutu ambao kihali halisi huwa ni wanyonge sana hivyo tunaweza watumia kwa kazi nyingi za kilimo kwa manufaa yetu na watu wa kazi saana.
Kwa wale watu wa kigoma kuna watu huwa wanawachukua kwa vibali maalum kwa mikataba ya kulima mpaka kuvuna kwa eka kuanzia 100,000 mpaka 150,000 hapo chakula Cha bosi.
Ila ukienda Rwanda ni watuts wengi ambao mara nyingi hujiona ni watu classic hivyo hata kazi sio sana ( wavivu ) ingawa biashara wanaweza.
Burundi Ina borderline kubwa na congo tofauti na rwanda ambayo eneo kubwa limepakana na ziwa kivu, hivyo tukiboresha miundombinu bado tunaweza Teka soko la Kongo kupitia Burundi.
Ingekuwa ni Mimi ni kuimega Burundi na kivu ambako hakuna waasi wengi kama Rwanda.
Rwanda ni bomu linalosubiri kulipuka
Kheri wewe kaka Umeongea point.
Japo mie bado sijaafiki hao kuwa chini ya bendera yetu.
 
Brother unaposhindwa kujibu hoja zangu usikimbilie kuniita mjuaji. Hiyo ni dalili ya kushindwa hoja. Hapa naona unajitandika risasi kwenye miguu yako. Hao Rwanda unaowakataa wapo kwenye EAC. Na lengo la EAC ni kuwa nchi moja. Mwanzilishi wa EAC ni Tanzania.

Pili zaidi ya 30% kwenye vyombo vya usalama wamejaa hao watu. Sijui unaongelea nini.
Tuliza akili brother usinijibu kwa emotions. Mimi naandika facts. Hata hao wakenya soon or later tutakuwa nao kwenye nchi moja. Ni muhimu kuelewa hayo kuliko kubaki na mawazo ya kizamani.
Bora ibaki kuwa international organization kuliko kuunda serikali Moja hilo litaleta mtifuano balaa.
Embu karudi usome reasons for the collapse of EAC kabla haijafufuliwa tena.
 
Burundi ina watu 14M
Burundi sawa
Rwanda ina watu 14M
Rwanda hapana bado wanabomu linahitaji kulipuka
Burundi inalingana ukubwa na Tanga, yenye watu 2M

Nchi karibu zote za Sourthen africa, East Africa isipokiwa TZ na Ugamda zina tatizo kubwa sana la ardhi.
Nchi zenye matatizo ya ardhi ni Rwanda, Burundi, Kenya ila kwa Kenya ni tatizo lao
Ukiruhusu watafuta vibarua wajae, utawafanyaje??

TZ tu kuna kundi kibwa la vijana hawana kazi, wanafanya bodaboda mijini, mawinga, wametapakaza vibanda kila kona mjini kufanya umachinga ili waishi.
Ajira kwa Tanzania ni mfumo wetu wa ccm, laiti ingekuwa baadhi ya mambo wanaachilia hii keki ya taifa haitutoshelezi.
Mfano tu Leo ukitaka safirisha mchele kwenda nje tu vibali vyake si vya Dunia hii laiti ingekuwa kuna free market au kuna sera za kuwanufaisha wananchi Tanzania hatukupaswa kuwa na tatizo la ajira.
Leo hii ukizunguka karibia Kila shule za kijijin mahitaji ya waalimu ni zaid ya nusu ya walliopo, same to manesi,madaktari,wahasibu ila serikali inaajiri kidogokidogo sana.
Hivi kwa mfano wakisema wapunguzze import duty kutoka 25% mpaka 20% then hii Tano ikaingizwa kwenye mfuko wa ajira then kwenye mazao yote ( ushuru) ukaweka introduce 20% kwenye ushuru uliokuwa unatozwa kwa ajili ya mfuko wa ajira then baada ya hapo ukaajiri maeneo yote yenye uhaba.
Maana utakapoongeza watu na mapato lazima yaongezeka.
Mfano ukiajiri vijana 200 kwa ajili kuhangaikia mapato kwa jiji kama dar es salaam tegemea mapato kupanda twice
Huwezi kuruhusu tena kubeba mzigo wa watu wa aina hiyo hiyo.

Kama ni wahamiaji, labda SKILLED IMMIGRANTS.

Huwezi kuwa una matatizo chungu nzima then unataka kubeba matatizo mengine.

Kwa mifumo ipi, Hospitaki zako zenyewe mpaka leo unapambana na matibabu bure, shule, zimezidiwa, mikopo elimu ya juu, uzalama haueleweki halafu inadhani unaweza kumimiliki kundi kubwa la wahamiaji.

Kwanza nchi kama Rwanda hawana urafiki na wowote.
 
Bora ibaki kuwa international organization kuliko kuunda serikali Moja hilo litaleta mtifuano balaa.
Embu karudi usome reasons for the collapse of EAC kabla haijafufuliwa tena.
Kaka hiyo Collapse ya zamani mno. Ndio maana ilianzishwa tena. Changamoto zilizosababisha kuanguka zitatafutiwa ufumbuzi.
Soma hapa 👇 👇 👇
The East African Community (EAC) Political Federation, the fourth pillar and ultimate stage of the EAC integration agenda, has seen both progress and challenges over the past 25 years. This initiative aims to integrate the EAC Partner States into a single federated political entity to enhance regional stability, facilitate cooperation, and create a unified voice on the global stage.

Kaka usikimbie ukweli
East Africa Federation

1752737739891.png
 
Brother unaposhindwa kujibu hoja zangu usikimbilie kuniita mjuaji. Hiyo ni dalili ya kushindwa hoja. Hapa naona unajitandika risasi kwenye miguu yako. Hao Rwanda unaowakataa wapo kwenye EAC. Na lengo la EAC ni kuwa nchi moja. Mwanzilishi wa EAC ni Tanzania.

Pili zaidi ya 30% kwenye vyombo vya usalama wamejaa hao watu. Sijui unaongelea nini.
Tuliza akili brother usinijibu kwa emotions. Mimi naandika facts. Hata hao wakenya soon or later tutakuwa nao kwenye nchi moja. Ni muhimu kuelewa hayo kuliko kubaki na mawazo ya kizamani.
Wewe andika kila kitu ila kuhusu kuungana na hizo nchi sahau brother.
 
Wewe andika kila kitu ila kuhusu kuungana na hizo nchi sahau brother.
Kaka mambo ya kuungana siyo ya utashi wako. Ni mwelekeo wa EAC. Na huu Muungano siyo kila mmoja ataupenda but jiandae kaka soon. Soma hapa

 
Kaka hiyo Collapse ya zamani mno. Ndio maana ilianzishwa tena. Changamoto zilizosababisha kuanguka zitatafutiwa ufumbuzi.
Soma hapa 👇 👇 👇
The East African Community (EAC) Political Federation, the fourth pillar and ultimate stage of the EAC integration agenda, has seen both progress and challenges over the past 25 years. This initiative aims to integrate the EAC Partner States into a single federated political entity to enhance regional stability, facilitate cooperation, and create a unified voice on the global stage.

Kaka usikimbie ukweli
East Africa Federation

View attachment 3408624
wcha ushamba wewe Congo Basin ni Bantu origin other ethnicities ni wahamiaji! End of story!
 
Wangetengeneza vituo vya LNG badala ya CNG hii ingeweza wafanya watu wa mabasi na malori kuanza kukimbilia kununua magari ya gesi, sababu LNG unaweza tembea mpaka km1000 kwa tenk moja kuliko CNG ambayo wastan ni km500.
tungefanikiwa kujenga hata vituo 4 kwa Kila mkoa kwa hii njia ya kati mpaka bukoba,kigoma na mwanza basi naamini tungeweza punguza manunuzi ya mafuta na matumizi ya dollar walau hata kwa 1/4 ya sasa.
Lakini Tpdc ibadilike na kaunza kufikiria kufungua vituo hata nje ya Tanzania kama Malawi,Zambia ,Rwanda na Burundi ili kutanua soko letu la gesi kama hawana mitaji wauze hisa watu wawekeze hela zao hapo
LNG mradi mdogo utaanza hivi kaributi surely wataweka tuu huko mbeleni.
 
wcha ushamba wewe Congo Basin ni Bantu origin other ethnicities ni wahamiaji! End of story!
Haja kuandika bullying words. Wewe kama unahoja leta. Mimi hapo nilikuwa naongelea EAC Federation je, majibu yako hayo yanahusiana na hoja yangu?

Acha hasira kaka, nimekuwekea link kutoka kwenye trusted source naomba ujibu hoja.
 
Kaka hiyo Collapse ya zamani mno. Ndio maana ilianzishwa tena. Changamoto zilizosababisha kuanguka zitatafutiwa ufumbuzi.
Soma hapa 👇 👇 👇
The East African Community (EAC) Political Federation, the fourth pillar and ultimate stage of the EAC integration agenda, has seen both progress and challenges over the past 25 years. This initiative aims to integrate the EAC Partner States into a single federated political entity to enhance regional stability, facilitate cooperation, and create a unified voice on the global stage.

Kaka usikimbie ukweli
East Africa Federation

View attachment 3408624
Hadi sasa Kuna changamoto chungumzima katika hii community still bado EAC Ina mianya kibao ya kurekebisha na haitakua healthy kuanzisha dola Moja na nchi zote hizo.
Matatizo ya hayo mataifa yatahamia kwetu tu.
 
Kaka mambo ya kuungana siyo ya utashi wako. Ni mwelekeo wa EAC. Na huu Muungano siyo kila mmoja ataupenda but jiandae kaka soon. Soma hapa

Hatuzungumzi kuhusu kupenda ama kutokupenda, tunazungumzia kuhusu aftermath ya huo muungano.
Tusichukulie vitu kiwepesi aisee.
Hizo nchi unazozitaja zina matatizo lukuki ambayo wenyewe yamewashinda,kama tukiwakaribisha chini ya bendera Moja basi mzozo utakua mkali sana.
 
Mmegundua nini kwenye hii video?
 
Hadi sasa Kuna changamoto chungumzima katika hii community still bado EAC Ina mianya kibao ya kurekebisha na haitakua healthy kuanzisha dola Moja na nchi zote hizo.
Matatizo ya hayo mataifa yatahamia kwetu tu.
Wahamie Tanzania na waache kuhamia DRC? Kaka hebu nakuomba uwe serious. Hebu nitajie akina nani hao.
Just Imagine, Mozambique, Angola, Sudan, Ethiopia zipo kwenye federation hii. Unadhani akina nani watahamia Tanzania na kuijaza na sisi tukakosa? Je, unawaogopa Luo? je, unawaogopa Tutsi? Unawaogopa Kikuyu?

WOGA WAKO NI NINI HASA?
 
Mmegundua nini kwenye hii video?
Nitafurahi sana siku boat za Bakhresa na Zanfast ferries zitaanza kwenda Mombasa!
 
Hatuzungumzi kuhusu kupenda ama kutokupenda, tunazungumzia kuhusu aftermath ya huo muungano.
Tusichukulie vitu kiwepesi aisee.
Hizo nchi unazozitaja zina matatizo lukuki ambayo wenyewe yamewashinda,kama tukiwakaribisha chini ya bendera Moja basi mzozo utakua mkali sana.
Haya ni mawazo yako. Lakini huo ndio mpango wa EAC mimi nimekuwekea maelezo official ambayo viongozi wa Tanzania wameyaridhia. Huo woga wako binafsi hauwezi kuzuia mpango. Unachotakiwa ni kujiandaa tu usije kukutwa hujajiweka sawa.
 
Back
Top Bottom