Kheri wewe kaka Umeongea point.Comoros hawako wengi sana kwahiyo hata biashara sio kivile sana.
Kwangu Rwanda hapana ila Burundi Inaweza kuwa na manufaa sana kuliko comoro na rwanda.
Burundi Iko na population kubwa ya wahutu ambao kihali halisi huwa ni wanyonge sana hivyo tunaweza watumia kwa kazi nyingi za kilimo kwa manufaa yetu na watu wa kazi saana.
Kwa wale watu wa kigoma kuna watu huwa wanawachukua kwa vibali maalum kwa mikataba ya kulima mpaka kuvuna kwa eka kuanzia 100,000 mpaka 150,000 hapo chakula Cha bosi.
Ila ukienda Rwanda ni watuts wengi ambao mara nyingi hujiona ni watu classic hivyo hata kazi sio sana ( wavivu ) ingawa biashara wanaweza.
Burundi Ina borderline kubwa na congo tofauti na rwanda ambayo eneo kubwa limepakana na ziwa kivu, hivyo tukiboresha miundombinu bado tunaweza Teka soko la Kongo kupitia Burundi.
Ingekuwa ni Mimi ni kuimega Burundi na kivu ambako hakuna waasi wengi kama Rwanda.
Rwanda ni bomu linalosubiri kulipuka
Japo mie bado sijaafiki hao kuwa chini ya bendera yetu.