Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?

View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr

Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame anajeuri! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji1

View attachment 3408334

🤣 🤣 🤣 🤣 Brother unahangaika sana. Sukuma/Nyamwezi is a society and Language not a Tribe. Hapo kwenye maelezo yako Imeandikwa kabisa People of North lakini unajizima data hutaki kukubali.

Root ya Sukuma language is Bantu. But Sukuma Culture is not Bantu ni mkusanyiko wa Bantu, Nilotic and Kushite.

Mambo hayo ya Wacongo, Wanyarrwanda na Waburudi kuingia na kujichanganya na Watanzania kisha wanazamia kwenye kabila la wasukuma na kupotelea humo yapo Karne na Karne na yanaendelea.

Ngoja nikuulize Maswali matatu.
1. Je, Bantu People ni wafugaji?
2. Je, Nilotic ni Wakulima?
3. Je, Bantu and Nilotic are matrilineal?

Issue ya Lake zone siyo simple unavyodhani wewe, na ukiiendea kwa pupa itakuwa kama akina mchungaji Mtikila. Unatakiwa uielewe siyo kurukia kwenye jibu tu.

Karibu tujadili zaidi na leta hoja nipo tayari kujibu as long as unaongelea Sukuma/Nyamwezi people.
 
Using Occam’s razor theory, I know you wanna me talk about your new shoes . Ok there you go . We all know you bought new shoes. Happy now?.. I hope that floats your boat..🤣🤣🤣🤣
markup_39781 (1).png
kama kawaida na shati lako over size 😃
grok_image_5u9ja3~2.jpg
 
Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?

View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr

Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame ana jeuri sasa! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji !!

View attachment 3408334

View attachment 3408339

View attachment 3408340

Hizo unaweka Prompt za AI kaka. Sukuma/Nyamwezi is not a tribe. Ni kama kusema Waswahili ni tribe.
Akina Hamisa Mobetto, Kajara Masanja, Wema Sepetu, Flaviana Matata nk wote hao ni jamii ya (Sukuma/Nyamwezi).

Kwenye mila za kisukuma/Kinyamwezi datoga(Wataturu, Barabaig) Wanaheshimika sana. Mang'ati ni neno la kimasai maana yake Adui
Datoga na Sukuma/Nyamwezi ni kitu kimoja. But Massai na Sukuma/Nyamwezi hawapikiki kwenye chungu kimoja ni maadui.

Kama unataka uelewe zaidi. Majina ya Wasukuma/Wanyamwezi utakuta ni ya makabila mengine kabisa hayana maana kwenye lugha ya Kisukuma/Nyamwezi.

HII ISSUE NI NGUMU HUWEZI KUILEWA KAKA.
 
Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?

View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr

Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame ana jeuri sasa! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji !!

View attachment 3408334

View attachment 3408339

View attachment 3408340

Ndio maana Sukuma/Nyamwezi japo kuwa ni more than 20% ya popluation ya Tanzania hawana ubaguzi wala kutaka kutumia population yao kama fimbo katika Taifa kama walivyo huko Kenya kwa wakikuyu.

Unajua kwanini? Karibia Makabila mengi sana hapa nchini Tanzania yana mchango katika kutengeneza Society hiyo.
Ngoja nikupatie jambo jingine uweze kujifunza kuhusu Uhusiano wa Wangoni na Wasukuma.

Sitaki niielezee MFACANE War yote na Nguni Migration naanzia kati kati:

Baada ya kifo cha Zwangedaba mnamo mwaka 1848 karibu na Ziwa Tanganyika (eneo la Ufipa), wafuasi wake waligawanyika. Mojawapo ya makundi yaliyogawanyika lilielekea kaskazini kuelekea maeneo ya Wasukuma/Nyamwezi

Kundi hili la Ngoni lililojitenga lilielekea na kuingia katika maeneo ya kusini mwa Mwanza, na kufikia maeneo ya sasa kama: Nzega, Bukene na Igunga (Baadhi ya koo za Wasukuma huko zinahusisha urithi wa asili ya Wangoni), Kahama, Usule, Ndala nk
Nakuachia mtihani huu uweze kufanya utafiti.
 
Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?

View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr

Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame ana jeuri sasa! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji !!

View attachment 3408334

View attachment 3408339

View attachment 3408340

Hakuna Batu Tribe yenye System hii: Ndio maana Mama Samia imekuwa rahisi sana kukubalika kwa Wasukuma/Nyamwezi

1752697009707.png
 
Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?

View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr

Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame ana jeuri sasa! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji !!

View attachment 3408334

View attachment 3408339

View attachment 3408340

Nakuongezea. Tutsi are Nilotic lakini wanazungumza Kibantu why? And why Tutsi are sometimes mixed with Kushite and Nilotic? Katika maeneo wanaokaa Watutsi hakuna jamii ya Kushite, Jamii ya Kushite unakuja kuipata Cetral Tanzania (Iraqw, Rangi and Nyaturu).

But majirani wa hao Kushite ni Nilotic ambao ni Masai na Datoga. Upande wa Magharibi Utakutana na Nyiramba, Sukuma and Nyamwezi wanaozungumza Kibantu.

Baada ya Kuwamaliza wasukuma Ukiwa unaelekea Magharibi unakutana na Tutsi. Tueleze sasa hapa.
 
Enyewe wewe ni ng'ombe. Mnasikia tu $450 B hamjui hiyo ni pesa kiasi gani. Tulieni na hako ka GDP ka $85B mfanye bidii labda mtafika $100B by 2030.
Wacha nikupe mfano. Hii Iran ambayo wenzako wamekuwa wakiishobokea ina GDP ya $341B pekee. Iran yenyewe hiyo imetoa USA na Israel kijasho. Iran yenyewe ina population ya 91M which waay more than Bongoslum. Sasa kulingana na wewe hii bongoslum moja ambayo naijua imeishinda Iran kiuchumi? Hivi una akili wewe? 🤣 🤣

Hapa ona capital ya Iran. Unaweza linganisha Darislum na hii?.
1024px-North_Tehran_Towers.jpg


Tehran-1024x683.jpeg.webp


Mji wa pili wa Iran huu. Sasa useme Mwanza ulinganishe na Mashdad
1280px-Aerial_View_of_Koohsangi_street%2C_Mashhad%2C_Iran.png

Mji wa tatu huu, ati sasa Arusha ulinganishe na Isfahan
4517315.jpg


Nchi nyengine hii hapa ni Columbia. GDP $427B ingawa population kidogo chini ya Bongoslum but according to you, mko ligi moja na Columbia. 🤣🤣🤣
Bogota, Columbia
1280px-Bogota_SkyIine.jpg
92920BE9-2C5B-425F-9843732EB24D0A2D

Mji wa pili Medellin. Ati sasa ulinganishe na Mwanza.🤣🤣🤣
medellin-offers-a-higher-quality-of-life-than-other-cities-in-latin-america-1536x1024.jpg


Mji wa tatu huu Cali eti sasa ulinganishwe na Arusha.🤣🤣🤣
1280px-Santiago_de_Cali.jpg


Alafu nikikuita mwendawazimu uniita mbaya. mwaiofhawaii kuja uchukue hii ng'ombe uipeleke malishoni bwana. 🤣🤣🤣
Kiuhalisia panua ubongo wako.
Kwa project anazofanya Iran ni ya kuwa na GDP ya $300 billions!?
Panua ubongo kidogo.
Miradi anayofanya Iran ni mara mbili ya hiyo GDP ama mara 3,kuanzia Air defense system projects, military drones projects, nuclear projects, missiles projects ni zaidi ya hiyo GDP.
Na Iran haikopi popote pesa haikopi ng'oo,hapo hapo inafadhili Hizbollah zaidi ya $50 billions kwa mwaka, inafadhili Houthi zaidi ya $ 50 billions kwa mwaka.
Mkiambiwa mfikirie out of box hamtaki.
 
Nakuongezea. Tutsi are Nilotic lakini wanazungumza Kibantu why? And why Tutsi are sometimes mixed with Kushite and Nilotic? Katika maeneo wanaokaa Watutsi hakuna jamii ya Kushite, Jamii ya Kushite unakuja kuipata Cetral Tanzania (Iraqw, Rangi and Nyaturu).

But majirani wa hao Kushite ni Nilotic ambao ni Masai na Datoga. Upande wa Magharibi Utakutana na Nyiramba, Sukuma and Nyamwezi wanaozungumza Kibantu.

Baada ya Kuwamaliza wasukuma Ukiwa unaelekea Magharibi unakutana na Tutsi. Tueleze sasa hapa.
Tutsi r Bantus wacha ujinga! Ethnicity ni kitu hujui!
 
Tutsi r Bantus wacha ujinga! Ethnicity ni kitu hujui!
No. Tutsi are not Bantu kwa sifa zote lakini wanazungumza lugha ya kibantu. Taja sifa moja kuthibitisha kuwa Tutsi are Bantu. Tutsi are Nilotic mixed kwa mbali na Cushite. Huu ni ukweli mchungu watu hawataki kuukubali. Ndugu zao ni Datoga.
 
Wadachi ni Waholanzi!
Wewe ungekuwa timu ya taifa ya mpira, unge tuheshimisha sana. Ligi zako ni za kipekee sana 😂 😂

  • "The term "Dutch" has roots in the Proto-Germanic word *þiudiskaz, which evolved into Old Dutch "Dietsch" and Old English "þeodisc," all meaning "(of the) common (Germanic) people"
  • "Both German and Dutch are Germanic languages, meaning they share a common ancestor and have some similarities. The word "Dutch" in English actually derives from a Proto-Germanic word meaning "of the people," which is also related to the German word "Deutsch".
  • "Historically, the areas that are now the Netherlands and Germany were part of a larger region with fluid borders, and the term "Dutch" was sometimes used more broadly to refer to people from Germanic-speaking areas"
 
Back
Top Bottom