President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,766
- 89,785
Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?
View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr
Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame anajeuri! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji1
View attachment 3408334
🤣 🤣 🤣 🤣 Brother unahangaika sana. Sukuma/Nyamwezi is a society and Language not a Tribe. Hapo kwenye maelezo yako Imeandikwa kabisa People of North lakini unajizima data hutaki kukubali.
Root ya Sukuma language is Bantu. But Sukuma Culture is not Bantu ni mkusanyiko wa Bantu, Nilotic and Kushite.
Mambo hayo ya Wacongo, Wanyarrwanda na Waburudi kuingia na kujichanganya na Watanzania kisha wanazamia kwenye kabila la wasukuma na kupotelea humo yapo Karne na Karne na yanaendelea.
Ngoja nikuulize Maswali matatu.
1. Je, Bantu People ni wafugaji?
2. Je, Nilotic ni Wakulima?
3. Je, Bantu and Nilotic are matrilineal?
Issue ya Lake zone siyo simple unavyodhani wewe, na ukiiendea kwa pupa itakuwa kama akina mchungaji Mtikila. Unatakiwa uielewe siyo kurukia kwenye jibu tu.
Karibu tujadili zaidi na leta hoja nipo tayari kujibu as long as unaongelea Sukuma/Nyamwezi people.