President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,057
- 93,451
Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?
View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr
Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame ana jeuri sasa! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji !!
View attachment 3408334
View attachment 3408339
View attachment 3408340
Nakuongezea. Tutsi are Nilotic lakini wanazungumza Kibantu why? And why Tutsi are sometimes mixed with Kushite and Nilotic? Katika maeneo wanaokaa Watutsi hakuna jamii ya Kushite, Jamii ya Kushite unakuja kuipata Cetral Tanzania (Iraqw, Rangi and Nyaturu).
But majirani wa hao Kushite ni Nilotic ambao ni Masai na Datoga. Upande wa Magharibi Utakutana na Nyiramba, Sukuma and Nyamwezi wanaozungumza Kibantu.
Baada ya Kuwamaliza wasukuma Ukiwa unaelekea Magharibi unakutana na Tutsi. Tueleze sasa hapa.