Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Burundi ina watu 14M

Rwanda ina watu 14M

Burundi inalingana ukubwa na Tanga, yenye watu 2M

Nchi karibu zote za Sourthen africa, East Africa isipokiwa TZ na Ugamda zina tatizo kubwa sana la ardhi.

Ukiruhusu watafuta vibarua wajae, utawafanyaje??

TZ tu kuna kundi kibwa la vijana hawana kazi, wanafanya bodaboda mijini, mawinga, wametapakaza vibanda kila kona mjini kufanya umachinga ili waishi.

Huwezi kuruhusu tena kubeba mzigo wa watu wa aina hiyo hiyo.

Kama ni wahamiaji, labda SKILLED IMMIGRANTS.

Huwezi kuwa una matatizo chungu nzima then unataka kubeba matatizo mengine.

Kwa mifumo ipi, Hospitaki zako zenyewe mpaka leo unapambana na matibabu bure, shule, zimezidiwa, mikopo elimu ya juu, uzalama haueleweki halafu inadhani unaweza kumimiliki kundi kubwa la wahamiaji.

Kwanza nchi kama Rwanda hawana urafiki na wowote.
Kuna watu wapuuzi sana humu ndani! Yaani watu wanjitamba ku-assimilate makabila mengine yaliyoingia nchini kinyemela! Huo ni uzalendo kweli? Ndio maana serikali inakaza sana kuwapa vitambulisho watu wa pande zile! Wapuuzi sana na kama tatizo litatokea Tanzania ni rahisi kuona litaanzia wapi!
 
Enyewe wewe ni ng'ombe. Mnasikia tu $450 B hamjui hiyo ni pesa kiasi gani. Tulieni na hako ka GDP ka $85B mfanye bidii labda mtafika $100B by 2030.
Wacha nikupe mfano. Hii Iran ambayo wenzako wamekuwa wakiishobokea ina GDP ya $341B pekee. Iran yenyewe hiyo imetoa USA na Israel kijasho. Iran yenyewe ina population ya 91M which waay more than Bongoslum. Sasa kulingana na wewe hii bongoslum moja ambayo naijua imeishinda Iran kiuchumi? Hivi una akili wewe? 🤣 🤣

Hapa ona capital ya Iran. Unaweza linganisha Darislum na hii?.
1024px-North_Tehran_Towers.jpg


Tehran-1024x683.jpeg.webp


Mji wa pili wa Iran huu. Sasa useme Mwanza ulinganishe na Mashdad
1280px-Aerial_View_of_Koohsangi_street%2C_Mashhad%2C_Iran.png

Mji wa tatu huu, ati sasa Arusha ulinganishe na Isfahan
4517315.jpg


Nchi nyengine hii hapa ni Columbia. GDP $427B ingawa population kidogo chini ya Bongoslum but according to you, mko ligi moja na Columbia. 🤣🤣🤣
Bogota, Columbia
1280px-Bogota_SkyIine.jpg
92920BE9-2C5B-425F-9843732EB24D0A2D

Mji wa pili Medellin. Ati sasa ulinganishe na Mwanza.🤣🤣🤣
medellin-offers-a-higher-quality-of-life-than-other-cities-in-latin-america-1536x1024.jpg


Mji wa tatu huu Cali eti sasa ulinganishwe na Arusha.🤣🤣🤣
1280px-Santiago_de_Cali.jpg


Alafu nikikuita mwendawazimu uniita mbaya. mwaiofhawaii kuja uchukue hii ng'ombe uipeleke malishoni bwana. 🤣🤣🤣
Wewe sasa ndiyo ng'ombe pro, kwahiyo wewe unaamini Iran ina GDP ya $341B? Ok, ngoja nikuulize tena, hv unaamini North Korea ina GDP ya $23B? Kwnn nyie wakenya hamna akili kiasi hiki? Wewe kwa akili zako za king'ombe unaamini Kenya inaikaribia NK kwa GDP?
 
Wewe sasa ndiyo ng'ombe pro, kwahiyo wewe unaamini Iran ina GDP ya $341B? Ok, ngoja nikuulize tena, hv unaamini North Korea ina GDP ya $23B? Kwnn nyie wakenya hamna akili kiasi hiki? Wewe kwa akili zako za king'ombe unaamini Kenya inaikaribia NK kwa GDP?
Waambie mradi wa kuunda nuke weapons unagharimu kiasi gani.
 
Wakiingia bongo watakutana na mifumo ambayo ipo established karne na karne. Watamezwa na mfumo huo na baada ya miaka watapotelea kwenye mfumo huo.
Mkuu mbn mnaongea mambo makubwa na mazito in a very simple way? Hivi unaijua hatari ya kuruhusu wageni kuingia nchini kwetu na kuishi pasipo kufuata utaratibu? Hizo nchi ulizozitaja zinasifika kwa fujo na ushenzi wa kila aina, je unataka walete damu yao ya ushetani huku kwetu na tuwaache tu? Leo hii ukienda pale taifa kuna lundo la watoto wa mitaani na wananusa gundi pia ni wezi kama wale chokoraa wa Kenya, na hao watoto wanatokea Burundi kupitia kigoma. Wageni wasiruhusiwe kuingia kiholela, wabaki kwao wasituletee tabia zao za ajabu ajabu huku kwetu.
 
Kwa miradi tuliyojenga tutaamua kuwekeza kwene facelifts za cities zetu, hakuna taifa la kushindana na Tz hapa EA.
Mfano tuu tuweke dollar 3bn za julius nyerere hydro power unapata gorofa ngapi za 50 floors Dar es salaam pamoja na miundombinu yake? Chukua pia USD 300m za daraja la magufuli unapata majengo mangapi na miundombinu mji wa Mwanza? Bado hatujaweka hela zilizoenda kwenye SGR, Tanga, Mwanza, Kigoma na Lake nyasa ports pamoja na meli zake kwenye hesabu. Hawa kima wasituchezee sisi sio level yao kabisa.
 
Mkuu mbn mnaongea mambo makubwa na mazito in a very simple way? Hivi unaijua hatari ya kuruhusu wageni kuingia nchini kwetu na kuishi pasipo kufuata utaratibu? Hizo nchi ulizozitaja zinasifika kwa fujo na ushenzi wa kila aina, je unataka walete damu yao ya ushetani huku kwetu na tuwaache tu? Leo hii ukienda pale taifa kuna lundo la watoto wa mitaani na wananusa gundi pia ni wezi kama wale chokoraa wa Kenya, na hao watoto wanatokea Burundi kupitia kigoma. Wageni wasiruhusiwe kuingia kiholela, wabaki kwao wasituletee tabia zao za ajabu ajabu huku kwetu.
Jamaa anazingua sana, kawa mjuaji kwenye hilo swala hadi anaharibu.
Kuna jamii hazifai kuungana nazo hasa hizi zinazoendekeza ukabila, hiyo RW ni swala la muda tu kurudi kwenye ujinga tena kwa sababu kiongozi wa sasa anapendelea kabila lake na kutesa lile kabila lingine.
Wazee waliona ndio maana hawakuangaika kutaka kuungana.
Jamii zingine hazisahau asili zao.
Tena ajue nchi itafanya operesheni kimbunga ni swala la muda tu, kama ana wahamiaji haramu awatoe haraka sana. 😂😂😂
 
Burundi ina watu 14M

Rwanda ina watu 14M

Burundi inalingana ukubwa na Tanga, yenye watu 2M

Nchi karibu zote za Sourthen africa, East Africa isipokiwa TZ na Ugamda zina tatizo kubwa sana la ardhi.

Ukiruhusu watafuta vibarua wajae, utawafanyaje??

TZ tu kuna kundi kibwa la vijana hawana kazi, wanafanya bodaboda mijini, mawinga, wametapakaza vibanda kila kona mjini kufanya umachinga ili waishi.

Huwezi kuruhusu tena kubeba mzigo wa watu wa aina hiyo hiyo.

Kama ni wahamiaji, labda SKILLED IMMIGRANTS.

Huwezi kuwa una matatizo chungu nzima then unataka kubeba matatizo mengine.

Kwa mifumo ipi, Hospitaki zako zenyewe mpaka leo unapambana na matibabu bure, shule, zimezidiwa, mikopo elimu ya juu, uzalama haueleweki halafu inadhani unaweza kumimiliki kundi kubwa la wahamiaji.

Kwanza nchi kama Rwanda hawana urafiki na wowote.
Mbona mnawapa sifa sana hawa watu? Hao watu ni mdebwedo. Hata ule mgogoro ndani ya DRC aliuanzisha Mobutu.
1. Hakutaka kulitambua kabila lao kuwa ni part of Zaire
2. Alianza kuwafukuza waondoke warudi kwao. Nao walimwambia wanarudi kwao na ardhi yao.

Halafu nawashangaa sana. Kati ya mipaka ambayo haina security kubwa ni hiyo mipaka ya Burundi. Rwanda na DRC kila siku maelfu ya watu hao wanakuja TZ.

Hizo za juzi ni mbwembwe tu za Uhamiaji.

Mimi sioni shida tukiungana nao na kuwa nchi moja hata migogoro inayoendelea itaisha.
 
wewe ni mtu wa Anthropology sio?

View: https://youtu.be/447-YsIHdZI?si=i6-qg_OuzLxw12jc

Cushites Great Lakes Region ni Wahamiaji1 Pia Tanzania ni wahamiaji!

Brother upo na hasira zisizo na maana. Nimekuwekea hoja nyingi sana mezani lakini unazikwepa kuzijibu. Hii ni discussion ya wazi kila mtu yupo na uhuru wa kutoa maoni.

1. Hakuna kabila linaloitwa watanzania ni kama nilivyoongea kuhusu Sukuma/Nyamwezi kuwa ni society and language but not a tribe. Ungekuwa muungwana ungenisifu kwa kukufundisha hili.

2. Nimekuiliza ulete ushahidi kuwa Tutsi ni bantu people hujaleta. Nikakueleza Nilotic ndio wenye asili ya ufugaji. Tutsi is the same, Bantu asili yao ni wakulima ushahidi upo hapa TZ 98% ya Bantu ni wakulima.

Hoja zipo nyingi tu nimeziweka mezani hujazijibu hata moja.

KAKA HII NI DISCUSSION YA WAZI KILA MTU YUPO HURU KUTOA MAONI.

Karibu
 
Kiuhalisia panua ubongo wako.
Kwa project anazofanya Iran ni ya kuwa na GDP ya $300 billions!?
Panua ubongo kidogo.
Miradi anayofanya Iran ni mara mbili ya hiyo GDP ama mara 3,kuanzia Air defense system projects, military drones projects, nuclear projects, missiles projects ni zaidi ya hiyo GDP.
Na Iran haikopi popote pesa haikopi ng'oo,hapo hapo inafadhili Hizbollah zaidi ya $50 billions kwa mwaka, inafadhili Houthi zaidi ya $ 50 billions kwa mwaka.
Mkiambiwa mfikirie out of box hamtaki.
For them what mzungus says is always right. Iran haitegemei WB wala IMF na economy yao hawalazimiki ku share data same with North Korea chumi zao ziko juu than what is being portrayed by WB and IMF.
 
Mkuu mbn mnaongea mambo makubwa na mazito in a very simple way? Hivi unaijua hatari ya kuruhusu wageni kuingia nchini kwetu na kuishi pasipo kufuata utaratibu? Hizo nchi ulizozitaja zinasifika kwa fujo na ushenzi wa kila aina, je unataka walete damu yao ya ushetani huku kwetu na tuwaache tu? Leo hii ukienda pale taifa kuna lundo la watoto wa mitaani na wananusa gundi pia ni wezi kama wale chokoraa wa Kenya, na hao watoto wanatokea Burundi kupitia kigoma. Wageni wasiruhusiwe kuingia kiholela, wabaki kwao wasituletee tabia zao za ajabu ajabu huku kwetu.
Lengo la Umoja wa East Afrika ni kuelekea kwenye East Africa Federation. Sasa kama hamuwataki hao watu kwanini mliwaruhusu kuwa kwenye EAC? Halafu ijulikane aliyeasisi EAC ni Tanzania. Mkapa aliwashawishi wenzake na kuanzishwa EAC baadae Burundi na Rwanda zikaongezwa.

Nadhani hapa mnakuwa na woga wa kitu ambacho hakipo.

Naomba unijibu umuhimu wa hao watu kuwa kwenye EAC.
 
Wewe sasa ndiyo ng'ombe pro, kwahiyo wewe unaamini Iran ina GDP ya $341B? Ok, ngoja nikuulize tena, hv unaamini North Korea ina GDP ya $23B? Kwnn nyie wakenya hamna akili kiasi hiki? Wewe kwa akili zako za king'ombe unaamini Kenya inaikaribia NK kwa GDP?
watakuambia Kenya GDP yake ni 6 times ya North Korea 😂😂😂njoo kwa ground sasa hata kutengeneza mzinga mmoja wa kuruka 5km hawawezi halafu linganisha miji ya NK na Kenya uone kituko. Wealth is visible sio kwenye makaratasi.
 
Aaah hapana Rwanda na Burundi hapana,iwe tu Comoros.
Hizo Rwanda na Burundi ni vizazi korofi sishauri hata kidogo.
Comoros hawako wengi sana kwahiyo hata biashara sio kivile sana.
Kwangu Rwanda hapana ila Burundi Inaweza kuwa na manufaa sana kuliko comoro na rwanda.
Burundi Iko na population kubwa ya wahutu ambao kihali halisi huwa ni wanyonge sana hivyo tunaweza watumia kwa kazi nyingi za kilimo kwa manufaa yetu na watu wa kazi saana.
Kwa wale watu wa kigoma kuna watu huwa wanawachukua kwa vibali maalum kwa mikataba ya kulima mpaka kuvuna kwa eka kuanzia 100,000 mpaka 150,000 hapo chakula Cha bosi.
Ila ukienda Rwanda ni watuts wengi ambao mara nyingi hujiona ni watu classic hivyo hata kazi sio sana ( wavivu ) ingawa biashara wanaweza.
Burundi Ina borderline kubwa na congo tofauti na rwanda ambayo eneo kubwa limepakana na ziwa kivu, hivyo tukiboresha miundombinu bado tunaweza Teka soko la Kongo kupitia Burundi.
Ingekuwa ni Mimi ni kuimega Burundi na kivu ambako hakuna waasi wengi kama Rwanda.
Rwanda ni bomu linalosubiri kulipuka
 
Back
Top Bottom