Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mbona eastern DRC hawajawameza? Tangu Mbelgiji?
Brother huko Congo DRC hakuna Tribes strong zenye own Identity kama Tanzania. Tafuta kitu kinaitwa Sukuma Assimilation of Tutsi and Hutu. Wote hao wakivuka watamezwa na Sukuma Tribe na wanapoteza Identity yao na baada ya miaka kadhaa wanakuwa Wasukuma.

Mimi naona hakuna shida waje tu.

Sukuma/Nyamwezi Tribe ni Muunganiko wa Bantu, Nilotic and Kushite ndio unapata hiyo (Sukuma/Nyamwezi).
Nilotic = Datoga (Barabaig, Taturu) and Tutsi
Kushite = Nyaturu, Iragw and Rangi.
Hawa ndio walioungana na kutengeneza kabila la Wasukuma/Nyamwezi.

Kama unataka kuelewa soma ki undani zaidi kuhusu Sukuma.
1. Bantu Tribes siyo wafugaji, But Sukuma ni wafugaji Why?
2. Nilotic Tirbes siyo wakulima, But Sukuma ni wakulima Why?

Bantu and Nilotic are patrilineal. But Sukuma/Nyamwezi are Both patrilineal and matrilineal
Kushite are matrilineal

Namna gani Sukuma/Nyamwezi are Both patrilineal and matrilineal:

1. Surname ya Mwanamke ni ya Baba yake, Surname ya Mwanaume ni ya Mama yake (eg Neema Musa, John Mariam)
2. Inheritance: Mtoto wa Kiume huwa anarithi Mali, Mtoto wa Kike huwa anarith Utawala.

KWAHIYO HAO KUTOKA BURUNDI NA RWANDA HAWANA SHIDA YOYOTE Imekuwa ikifanyika hivyo miaka na miaka na hakuna shida
 
Brother huko Congo DRC hakuna Tribes strong zenye own Identity kama Tanzania. Tafuta kitu kinaitwa Sukuma Assimilation of Tutsi and Hutu. Wote hao wakivuka watamezwa na Sukuma Tribe na wanapoteza Identity yao na baada ya miaka kadhaa wanakuwa Wasukuma.

Mimi naona hakuna shida waje tu.

Sukuma/Nyamwezi Tribe ni Muunganiko wa Bantu, Nilotic and Kushite ndio unapata hiyo (Sukuma/Nyamwezi).
Nilotic = Datoga (Barabaig, Taturu) and Tutsi
Kushite = Nyaturu, Iragw and Rangi.
Hawa ndio walioungana na kutengeneza kabila la Wasukuma/Nyamwezi.

Kama unataka kuelewa soma ki undani zaidi kuhusu Sukuma.
1. Bantu Tribes siyo wafugaji, But Sukuma ni wafugaji Why?
2. Nilotic Tirbes siyo wakulima, But Sukuma ni wakulima Why?

Bantu and Nilotic are patrilineal. But Sukuma/Nyamwezi are Both patrilineal and matrilineal
Kushite are matrilineal

Namna gani Sukuma/Nyamwezi are Both patrilineal and matrilineal:

1. Surname ya Mwanamke ni ya Baba yake, Surname ya Mwanaume ni ya Mama yake (eg Neema Musa, John Mariam)
2. Inheritance: Mtoto wa Kiume huwa anarithi Mali, Mtoto wa Kike huwa anarith Utawala.

KWAHIYO HAO KUTOKA BURUNDI NA RWANDA HAWANA SHIDA YOYOTE Imekuwa ikifanyika hivyo miaka na miaka na hakuna shida
Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?

View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr

Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame ana jeuri sasa! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji !!

Screenshot 2025-07-16 211316.png


Screenshot 2025-07-16 211627.png


Screenshot 2025-07-16 211718.png
 
Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?

View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr

Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame anajeuri! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji1

View attachment 3408334

🤣 🤣 🤣 🤣 Brother unahangaika sana. Sukuma/Nyamwezi is a society and Language not a Tribe. Hapo kwenye maelezo yako Imeandikwa kabisa People of North lakini unajizima data hutaki kukubali.

Root ya Sukuma language is Bantu. But Sukuma Culture is not Bantu ni mkusanyiko wa Bantu, Nilotic and Kushite.

Mambo hayo ya Wacongo, Wanyarrwanda na Waburudi kuingia na kujichanganya na Watanzania kisha wanazamia kwenye kabila la wasukuma na kupotelea humo yapo Karne na Karne na yanaendelea.

Ngoja nikuulize Maswali matatu.
1. Je, Bantu People ni wafugaji?
2. Je, Nilotic ni Wakulima?
3. Je, Bantu and Nilotic are matrilineal?

Issue ya Lake zone siyo simple unavyodhani wewe, na ukiiendea kwa pupa itakuwa kama akina mchungaji Mtikila. Unatakiwa uielewe siyo kurukia kwenye jibu tu.

Karibu tujadili zaidi na leta hoja nipo tayari kujibu as long as unaongelea Sukuma/Nyamwezi people.
 
Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?

View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr

Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame ana jeuri sasa! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji !!

View attachment 3408334

View attachment 3408339

View attachment 3408340

Hizo unaweka Prompt za AI kaka. Sukuma/Nyamwezi is not a tribe. Ni kama kusema Waswahili ni tribe.
Akina Hamisa Mobetto, Kajara Masanja, Wema Sepetu, Flaviana Matata nk wote hao ni jamii ya (Sukuma/Nyamwezi).

Kwenye mila za kisukuma/Kinyamwezi datoga(Wataturu, Barabaig) Wanaheshimika sana. Mang'ati ni neno la kimasai maana yake Adui
Datoga na Sukuma/Nyamwezi ni kitu kimoja. But Massai na Sukuma/Nyamwezi hawapikiki kwenye chungu kimoja ni maadui.

Kama unataka uelewe zaidi. Majina ya Wasukuma/Wanyamwezi utakuta ni ya makabila mengine kabisa hayana maana kwenye lugha ya Kisukuma/Nyamwezi.

HII ISSUE NI NGUMU HUWEZI KUILEWA KAKA.
 
Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?

View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr

Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame ana jeuri sasa! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji !!

View attachment 3408334

View attachment 3408339

View attachment 3408340

Ndio maana Sukuma/Nyamwezi japo kuwa ni more than 20% ya popluation ya Tanzania hawana ubaguzi wala kutaka kutumia population yao kama fimbo katika Taifa kama walivyo huko Kenya kwa wakikuyu.

Unajua kwanini? Karibia Makabila mengi sana hapa nchini Tanzania yana mchango katika kutengeneza Society hiyo.
Ngoja nikupatie jambo jingine uweze kujifunza kuhusu Uhusiano wa Wangoni na Wasukuma.

Sitaki niielezee MFACANE War yote na Nguni Migration naanzia kati kati:

Baada ya kifo cha Zwangedaba mnamo mwaka 1848 karibu na Ziwa Tanganyika (eneo la Ufipa), wafuasi wake waligawanyika. Mojawapo ya makundi yaliyogawanyika lilielekea kaskazini kuelekea maeneo ya Wasukuma/Nyamwezi

Kundi hili la Ngoni lililojitenga lilielekea na kuingia katika maeneo ya kusini mwa Mwanza, na kufikia maeneo ya sasa kama: Nzega, Bukene na Igunga (Baadhi ya koo za Wasukuma huko zinahusisha urithi wa asili ya Wangoni), Kahama, Usule, Ndala nk
Nakuachia mtihani huu uweze kufanya utafiti.
 
Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?

View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr

Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame ana jeuri sasa! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji !!

View attachment 3408334

View attachment 3408339

View attachment 3408340

Hakuna Batu Tribe yenye System hii: Ndio maana Mama Samia imekuwa rahisi sana kukubalika kwa Wasukuma/Nyamwezi

1752697009707.png
 
Back
Top Bottom