Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi ningekuwa askari siwezi kamata watu wamechoka hivi, tena wanaenda kutafuta vibarua vya kulima mashamba kwa bei chee😢

Ya DRC Congo ni tofauti sana na hili. Watutsi na ardhi yao ilimegwa na wakoloni pande ikapelekwa Zaire na nyingine Dutch East Afrika present day Tanzania. Wakoloni wakamega tena sehemu za Tanzania na kuunda Rwanda na Burundi wakapewa Wakoloni wa Kibelgia. DRC hawataki kuwatambua na wanataka waondoke DRC bila ardhi yao, swala ambalo haliwezekani.
However, what you say inaweza pia kutokea if only a huge enthinic group fromoutside kuwa concentrated in one place.
si Dutch bali Deutsch! Huna uzalendo ndio maana unaona sawa tena sehemu ya Great Lakes Region yenye migogoro chungu nzima! Wahamiaji lazma wawe na vibali!
 
Enyewe wewe ni ng'ombe. Mnasikia tu $450 B hamjui hiyo ni pesa kiasi gani. Tulieni na hako ka GDP ka $85B mfanye bidii labda mtafika $100B by 2030.
Wacha nikupe mfano. Hii Iran ambayo wenzako wamekuwa wakiishobokea ina GDP ya $341B pekee. Iran yenyewe hiyo imetoa USA na Israel kijasho. Iran yenyewe ina population ya 91M which waay more than Bongoslum. Sasa kulingana na wewe hii bongoslum moja ambayo naijua imeishinda Iran kiuchumi? Hivi una akili wewe? 🤣 🤣

Hapa ona capital ya Iran. Unaweza linganisha Darislum na hii?.
1024px-North_Tehran_Towers.jpg


Tehran-1024x683.jpeg.webp


Mji wa pili wa Iran huu. Sasa useme Mwanza ulinganishe na Mashdad
1280px-Aerial_View_of_Koohsangi_street%2C_Mashhad%2C_Iran.png

Mji wa tatu huu, ati sasa Arusha ulinganishe na Isfahan
4517315.jpg


Nchi nyengine hii hapa ni Columbia. GDP $427B ingawa population kidogo chini ya Bongoslum but according to you, mko ligi moja na Columbia. 🤣🤣🤣
Bogota, Columbia
1280px-Bogota_SkyIine.jpg
92920BE9-2C5B-425F-9843732EB24D0A2D

Mji wa pili Medellin. Ati sasa ulinganishe na Mwanza.🤣🤣🤣
medellin-offers-a-higher-quality-of-life-than-other-cities-in-latin-america-1536x1024.jpg


Mji wa tatu huu Cali eti sasa ulinganishwe na Arusha.🤣🤣🤣
1280px-Santiago_de_Cali.jpg


Alafu nikikuita mwendawazimu uniita mbaya. mwaiofhawaii kuja uchukue hii ng'ombe uipeleke malishoni bwana. 🤣🤣🤣
Kwa miradi tuliyojenga tutaamua kuwekeza kwene facelifts za cities zetu, hakuna taifa la kushindana na Tz hapa EA.
 
Rwanda ina watu 14M

Burundi ina watu 14M+

Rwanda inalingana na mkoa wa Tanga, wenye watu 2M

Ukiruhusu watu kujaa tu, unnecessarily, utawahudumia vipi?
14 + 14 = 28
Population yetu almost 70m. Ukiongeza hao 28 tunafika 98M. Mimi naona haina shida. Tunapata nguvu kazi kubwa.
Mkoa wa Tabora Ukubwa wake ni 76,150 km²
Rwanda = 26,338 km²
Burundi = 27,834 km²

Mkoa wa Tabora pekee unazimeza Rwanda na Burundi. Huko Tanga hawafiki Kanda ya ziwa itawameza na hawana uwezo wa kufanya lolote. Tuongeze nguvu kazi ya taifa

Mpimbwe District Katavi = 7,704.8 km²

Hivi wewe ni mkazi wa Mpimbwe?
 
Enyewe wewe ni ng'ombe. Mnasikia tu $450 B hamjui hiyo ni pesa kiasi gani. Tulieni na hako ka GDP ka $85B mfanye bidii labda mtafika $100B by 2030.
Wacha nikupe mfano. Hii Iran ambayo wenzako wamekuwa wakiishobokea ina GDP ya $341B pekee. Iran yenyewe hiyo imetoa USA na Israel kijasho. Iran yenyewe ina population ya 91M which waay more than Bongoslum. Sasa kulingana na wewe hii bongoslum moja ambayo naijua imeishinda Iran kiuchumi? Hivi una akili wewe? 🤣 🤣

Hapa ona capital ya Iran. Unaweza linganisha Darislum na hii?.
1024px-North_Tehran_Towers.jpg


Tehran-1024x683.jpeg.webp


Mji wa pili wa Iran huu. Sasa useme Mwanza ulinganishe na Mashdad
1280px-Aerial_View_of_Koohsangi_street%2C_Mashhad%2C_Iran.png

Mji wa tatu huu, ati sasa Arusha ulinganishe na Isfahan
4517315.jpg


Nchi nyengine hii hapa ni Columbia. GDP $427B ingawa population kidogo chini ya Bongoslum but according to you, mko ligi moja na Columbia. 🤣🤣🤣
Bogota, Columbia
1280px-Bogota_SkyIine.jpg
92920BE9-2C5B-425F-9843732EB24D0A2D

Mji wa pili Medellin. Ati sasa ulinganishe na Mwanza.🤣🤣🤣
medellin-offers-a-higher-quality-of-life-than-other-cities-in-latin-america-1536x1024.jpg


Mji wa tatu huu Cali eti sasa ulinganishwe na Arusha.🤣🤣🤣
1280px-Santiago_de_Cali.jpg


Alafu nikikuita mwendawazimu uniita mbaya. mwaiofhawaii kuja uchukue hii ng'ombe uipeleke malishoni bwana. 🤣🤣🤣
Leta nchi zenye GDP chini ya $250B na orodhesha projects wanazofanya, otherwise utakuwa unaleta porojo tuu.
 
Rwanda ina watu 14M

Burundi ina watu 14M+

Rwanda inalingana na mkoa wa Tanga, wenye watu 2M

Ukiruhusu watu kujaa tu, unnecessarily, utawahudumia vipi?
Halafu mimi naona Burundi, Rwanda na Comoros tuongee nao Tuwe nchi moja wajiunga kwenye United Republic of Tanzania. Haya ni mawazo yangu na CCM kiwe chama Tawala.
 
mbona eastern DRC hawajawameza? Tangu Mbelgiji?
Brother huko Congo DRC hakuna Tribes strong zenye own Identity kama Tanzania. Tafuta kitu kinaitwa Sukuma Assimilation of Tutsi and Hutu. Wote hao wakivuka watamezwa na Sukuma Tribe na wanapoteza Identity yao na baada ya miaka kadhaa wanakuwa Wasukuma.

Mimi naona hakuna shida waje tu.

Sukuma/Nyamwezi Tribe ni Muunganiko wa Bantu, Nilotic and Kushite ndio unapata hiyo (Sukuma/Nyamwezi).
Nilotic = Datoga (Barabaig, Taturu) and Tutsi
Kushite = Nyaturu, Iragw and Rangi.
Hawa ndio walioungana na kutengeneza kabila la Wasukuma/Nyamwezi.

Kama unataka kuelewa soma ki undani zaidi kuhusu Sukuma.
1. Bantu Tribes siyo wafugaji, But Sukuma ni wafugaji Why?
2. Nilotic Tirbes siyo wakulima, But Sukuma ni wakulima Why?

Bantu and Nilotic are patrilineal. But Sukuma/Nyamwezi are Both patrilineal and matrilineal
Kushite are matrilineal

Namna gani Sukuma/Nyamwezi are Both patrilineal and matrilineal:

1. Surname ya Mwanamke ni ya Baba yake, Surname ya Mwanaume ni ya Mama yake (eg Neema Musa, John Mariam)
2. Inheritance: Mtoto wa Kiume huwa anarithi Mali, Mtoto wa Kike huwa anarith Utawala.

KWAHIYO HAO KUTOKA BURUNDI NA RWANDA HAWANA SHIDA YOYOTE Imekuwa ikifanyika hivyo miaka na miaka na hakuna shida
 
Brother huko Congo DRC hakuna Tribes strong zenye own Identity kama Tanzania. Tafuta kitu kinaitwa Sukuma Assimilation of Tutsi and Hutu. Wote hao wakivuka watamezwa na Sukuma Tribe na wanapoteza Identity yao na baada ya miaka kadhaa wanakuwa Wasukuma.

Mimi naona hakuna shida waje tu.

Sukuma/Nyamwezi Tribe ni Muunganiko wa Bantu, Nilotic and Kushite ndio unapata hiyo (Sukuma/Nyamwezi).
Nilotic = Datoga (Barabaig, Taturu) and Tutsi
Kushite = Nyaturu, Iragw and Rangi.
Hawa ndio walioungana na kutengeneza kabila la Wasukuma/Nyamwezi.

Kama unataka kuelewa soma ki undani zaidi kuhusu Sukuma.
1. Bantu Tribes siyo wafugaji, But Sukuma ni wafugaji Why?
2. Nilotic Tirbes siyo wakulima, But Sukuma ni wakulima Why?

Bantu and Nilotic are patrilineal. But Sukuma/Nyamwezi are Both patrilineal and matrilineal
Kushite are matrilineal

Namna gani Sukuma/Nyamwezi are Both patrilineal and matrilineal:

1. Surname ya Mwanamke ni ya Baba yake, Surname ya Mwanaume ni ya Mama yake (eg Neema Musa, John Mariam)
2. Inheritance: Mtoto wa Kiume huwa anarithi Mali, Mtoto wa Kike huwa anarith Utawala.

KWAHIYO HAO KUTOKA BURUNDI NA RWANDA HAWANA SHIDA YOYOTE Imekuwa ikifanyika hivyo miaka na miaka na hakuna shida
Unajua kwann Mkuu wa Majeshi aliongea haya?

View: https://youtu.be/Vmg2WtLsIY4?si=JS6Xhb1fUsnQoUZr

Hamna upuuzi wa assimilation wengi wao wana id cards za walipotoka! Ndio maana Kagame ana jeuri sasa! BTW Sukumas r Bantus msituletee ujinga! Nilotic tribes Tanzania wanajulikana! Tanzania haina cushites ni wahamiaji !!

Screenshot 2025-07-16 211316.png


Screenshot 2025-07-16 211627.png


Screenshot 2025-07-16 211718.png
 
Back
Top Bottom