Enyewe wewe ni ng'ombe. Mnasikia tu $450 B hamjui hiyo ni pesa kiasi gani. Tulieni na hako ka GDP ka $85B mfanye bidii labda mtafika $100B by 2030.
Wacha nikupe mfano. Hii Iran ambayo wenzako wamekuwa wakiishobokea ina GDP ya $341B pekee. Iran yenyewe hiyo imetoa USA na Israel kijasho. Iran yenyewe ina population ya 91M which waay more than Bongoslum. Sasa kulingana na wewe hii bongoslum moja ambayo naijua imeishinda Iran kiuchumi? Hivi una akili wewe? 🤣 🤣
Hapa ona capital ya Iran. Unaweza linganisha Darislum na hii?.
Mji wa pili wa Iran huu. Sasa useme Mwanza ulinganishe na Mashdad
Mji wa tatu huu, ati sasa Arusha ulinganishe na Isfahan
Nchi nyengine hii hapa ni Columbia. GDP $427B ingawa population kidogo chini ya Bongoslum but according to you, mko ligi moja na Columbia. 🤣🤣🤣
Bogota, Columbia
Mji wa pili Medellin. Ati sasa ulinganishe na Mwanza.🤣🤣🤣
Mji wa tatu huu Cali eti sasa ulinganishwe na Arusha.🤣🤣🤣
Alafu nikikuita mwendawazimu uniita mbaya.
mwaiofhawaii kuja uchukue hii ng'ombe uipeleke malishoni bwana. 🤣🤣🤣