chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,309
- 45,108
GDP ya kuchorewa, hata kuchimba toilet chamber hawawezi bila mkopo
Structure yenu inatajirisha Wanasiasa tu, haina mantiki yoyote.Yet nchi yao Iko kwa mifumo za districts na mayor's bado!!! 😂
Kenya ya zama za kale iiiiiii
Wamejazana kkoo na huwezi kusikia mcomoro kakamatwa kwa uhamiaji haramu
Our Passenger SGR does 2.5M passengers yearly, yours did 1.4M between June last year to June this year.Kama imeweza kubeba 700 tonnes haijaingia bandarin na ni mzigo wa mtu mmoja itakuwaje ikiingia Port?
Ila kabla hatujafika huko tuanzie hapa kwenye passengers , yaan weekend kama hii pamoja na kuwa summertides festival Mombasa mmeshindwa kujaza treni hata mojaView attachment 3394774View attachment 3394775
Hata matajiri Wana njaa tupu yaan siti 10 tu ndo wameweza kununua🤣🤣🤣
View attachment 3394781
Versus tanzania
Tena hii ni kesho maana Leo hakuna hata nafasi ya kupita , imagine hizo ni safari nne kwa siku nyinyi tatu zinawatoa jashoView attachment 3394777
Hata unaelewa hii article kweli? This bond was purely subscribed by Kenyans. No foreigners is involved with the Talanta Stadium bond.GDP ya kuchorewa, hata kuchimba toilet chamber hawawezi bila mkopo
PAX trains started hae carried over 2 mln passengers!Our Passenger SGR does 2M passengers yearly, yours did 1.4M between June last year to June this year.
Hamna watu wanajiachia hapa Nchini kama Wacomoro, Waburundi na Wamalawi😂.
Hatuwez kupiga revenue ya cargo sababu kwanza jua bado sgr na kipande Cha mgr sasa hivi havinakamilikabkuingia bandarin.What about revenue?
Plus cargo?
Air traffic the same route?
Number of personal cars too?
Ndio ujue nani mbabe!
Ata mubebe 1m passengers kila siku still hakuna faida hapo
That's why Kenya waliongeza Bei kupunguza watu but revenue ikaongezeka by 37% though still not enough.
Kama inatajirika wanasiasa pekee then how come Kenya has more dollar millionaires mara nne ya Tanzania yet population ya Tanzania is almost 2 twice ya Kenya?Structure yenu inatajirisha Wanasiasa tu, haina mantiki yoyote
So zile za June zilikuwa zinabeba ng’ombe?PAX trains started in August!
Hata baada ya kuongeza fair bado haijazidi fair ya sgr Tanzania.What about revenue?
Plus cargo?
Air traffic the same route?
Number of personal cars too?
Ndio ujue nani mbabe!
Ata mubebe 1m passengers kila siku still hakuna faida hapo
That's why Kenya waliongeza Bei kupunguza watu but revenue ikaongezeka by 37% though still not enough.
PAX trains started in August 2024!
View attachment 3394787
View: https://x.com/ccttfaorg/status/1938933137259606343
According to who? Ama according to wewe beggar?Hata baada ya kuongeza fair bado haijazidi fair ya sgr Tanzania.
Labda premium coach zenu tu ambazo per trip huwa ziko mbili na mara chache hujaaa.
Premium kwa wiki Inaweza jaza maybe mara moja au twice lakini siku zote huwa Iko empty
According to your government statistics your SGR carried only 1.4M passengers in one year from June 2024 to June 2025. Hizi tweets za kutafuta engagements usiniletee hapa.
How does pride translate to fahari in Swahili?
Reli yetu inakwenda kote budaKwani siku hizi Burundi ni Uganda? Si reli yenu mnapeleka Burundi?
Kwani hujui Swahili is an Arabic culture?
zilianza June 2024!So zile za June zilikuwa zinabeba ng’ombe?
Hii ilikuwa may 6 yaan kwa mwaka mzima Toka mwaka jana may mlisafirisha 2.44mil passenger for twelve monthsOur Passenger SGR does 2.5M passengers yearly, yours did 1.4M between June last year to June this year.