Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni vizuri umeshare hii data hapa. Sasa ni hivi huo mzigo wa Uganda tunaenda kugawana pasupasu SGR ya umeme itapeleka moto huko soon 😁
Mlianza kusema hivo 2017, we are now in 2025 and the gap keeps on widen. Do you remember the articles you shared here sometimes back of Uganda ditching Mombasa to Dar? What happened?
 
Haha kweli inaonekana shule kwenu ni nadra.
National budget inainclude departmental,ministerial, and every source of expenditure and income .
Unapoaandaa county bajeti lazima itabeba Kila kitu kinachohusiana na county husika ambayo baadae inapelekwa kuwa integrated kwenye master bajeti ya nchi, counties zote au matumizi na income zote za counties lazima ziwe integrated kwenye bajeti kuu ya serikali ili kupata bajeti husika ya taifa la kundustan .
Nyinyi mnajua kuandamana tu hakuna mnachojua
Wewe ni fala Sana. Obviously you don't know what you are talking about.
 
Kasarani Stadium

1000016664.jpg
1000016663.jpg
1000016662.jpg
 
Hiyo hela ya county si inakuwa imeshapangiwa bajeti ambayo imejumlishwa kwenye master budget.? Au wewe unajua bajeti iliyosomwa tarehe 12 /6 haikuwa na bajeti ndogo za counties? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Fedha zinazoenda kwenye counties zinafall under national government recurrent expenditure ambapo zaidi ya kitu 40% ya fedha hizo zinaenda kwenye development ndani ya counties
 
Haha kweli inaonekana shule kwenu ni nadra.
National budget inainclude departmental,ministerial, and every source of expenditure and income .
Unapoaandaa county bajeti lazima itabeba Kila kitu kinachohusiana na county husika ambayo baadae inapelekwa kuwa integrated kwenye master bajeti ya nchi, counties zote au matumizi na income zote za counties lazima ziwe integrated kwenye bajeti kuu ya serikali ili kupata bajeti husika ya taifa la kundustan .
Nyinyi mnajua kuandamana tu hakuna mnachojua
We ni fala county governments zinapata a certain percentage ya national revenues nazo zinajipangia matumizi
 
Back
Top Bottom