Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobae

1000016666.jpg
1000016665.jpg
 
Hiyo hela ya county si inakuwa imeshapangiwa bajeti ambayo imejumlishwa kwenye master budget.? Au wewe unajua bajeti iliyosomwa tarehe 12 /6 haikuwa na bajeti ndogo za counties? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Fedha zinazoenda kwenye counties zinafall under national government recurrent expenditure ambapo zaidi ya kitu 40% ya fedha hizo zinaenda kwenye development ndani ya counties
 
Haha kweli inaonekana shule kwenu ni nadra.
National budget inainclude departmental,ministerial, and every source of expenditure and income .
Unapoaandaa county bajeti lazima itabeba Kila kitu kinachohusiana na county husika ambayo baadae inapelekwa kuwa integrated kwenye master bajeti ya nchi, counties zote au matumizi na income zote za counties lazima ziwe integrated kwenye bajeti kuu ya serikali ili kupata bajeti husika ya taifa la kundustan .
Nyinyi mnajua kuandamana tu hakuna mnachojua
We ni fala county governments zinapata a certain percentage ya national revenues nazo zinajipangia matumizi
 
We ni fala county governments zinapata a certain percentage ya national revenues nazo zinajipangia matumizi
Huyo anaishi Tandale na anajifanya hapa anajua budget ya Kenya kutuzidi sisi wakenya!
 
Back
Top Bottom