Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Viwango vya Amani Afrika Mashariki (2025):
1. 🇹🇿 Tanzania (73)
2. 🇷🇼 Rwanda (91)
3. 🇺🇬 Uganda (113)
4. 🇰🇪 Kenya (127)
5. 🇧🇮 Burundi (133)
6. 🇨🇩 DRC (160)
7. 🇸🇸 Sudan Kusini (161)

 
Tuanzie hapa kiambu total revenue collection kwa mwaka mzima haijawahi zidi 6bil ya osr, kwahiyo inategemea allocation kwa kutoka serikali kuu kwa zaid ya 70% sasa tunapokuambia bajeti ya counties inategemea Iko integrated kwenye bajeti kuu ,ikitokea hakuna allocation kutoka serikali kuu watu wote wa kiambuu hawaendi choo🤣🤣🤣🤣
Nilijua atajichanganya alete hizo taarifa tuu 🤣🤣🤣
 
Mjinga mwengine huyu.
Wewe si umedharau mentalities za kiafrika kuhusu kutegemea foreign capital na expertise kwenye mining na oil and gas sasa nyie miaka zaidi ya kumi na kitu oil imekaa hapo chini na shida kibao mnazo mmeshindwa kuuza na bado top leadership yote including kasongo walienda France kubembeleza Macron to reign in on TOTAL mkifikiri biashara ya multinationals ni kama ku manufacture unga 🤣🤣🤣
 
Reflection ya economic activity inaanzia kwenye osr maana huko ndo mnadili na watu wachini, idadi ya leseni,lodges and the like sasa kama unategemea allocation kutoka serikali kuu lazima utengeneze bajeti ambayo itaendana na mgawanyo ambao utatoka serikali kuu hapo ndo tunasema bajeti ya counties lazima iwe integrated na bajeti kuu ya serikali sababu 70% ya revenue inatola juu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Huwa mnafurahisha sana kiambu total budget hata baada ya allocation Iko 23bil almost 178mil usd wakati Rwanda Iko kwenye 4.usd bil 🤣🤣🤣🤣

Kiambu hata kwa Burundi isingeweza ingia
Hizi ni ngombe tuu mkuu unapoteza muda kuwapa darsa.
 
Now we know why you have an ape’s mentality..😄😄
IMG_7128.jpeg
IMG_7129.jpeg
 
The national budget has no money of its own.
National budget inatokana na hela zinazokusanywa hasa taxes na income from public entities zinazomilikiwa na gov of Kenya. Sasa unavosema taifa halina hela zake unamaanisha nini.

Pesa inatoka kwa wananchi. You're speaking of the national government as this mythical money printing machine.
Counties give and take.. if you know what I mean.
Same way California subsidizes Mississippi.

Did you know Turkana county is bigger than Rwanda and Burundi combined?
About 1 million people contributing almost nothing to the GDP, mostly grazers spread out everywhere. What do you want to tax them?
Turkana kukosa economic activity ni upumbafu wa serikali yenu kushindwa kuendeleza au kuvutia watu wakawekeze huko .
Kuna mto turkwel ungefaaa kwa kilimo na lake turkana inafaa sana hata kama Ina salinity kubwa.
Mmeconcentrate na central Kenya tu
With devolution they get an extra 19 billion, just to bring them up to the standards of the rest of the country.
Sasa bajeti ya 19 bil kwa eneo lote hilo mbona kidogo sana ndo maana hapaendelei
Where do you think that money is coming from? From Kiambu and other rich counties.
 
Tell us more about your new shoes…🤣🤣🤣🤣……Ati Mzee Mzima anatangaza kwa mtandao amenunua kiatu … Poverty is really a bad place to be… anyways, congratulations on ur new buy …🤣🤣🤣
Screenshot_20250621-090932.png
20250626_101237.jpg
 
Back
Top Bottom