Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We ni fala county governments zinapata a certain percentage ya national revenues nazo zinajipangia matumizi
Huyo anaishi Tandale na anajifanya hapa anajua budget ya Kenya kutuzidi sisi wakenya!
 
National budget inatokana na hela zinazokusanywa hasa taxes na income from public entities zinazomilikiwa na gov of Kenya. Sasa unavosema taifa halina hela zake unamaanisha nini.


Turkana kukosa economic activity ni upumbafu wa serikali yenu kushindwa kuendeleza au kuvutia watu wakawekeze huko .
Kuna mto turkwel ungefaaa kwa kilimo na lake turkana inafaa sana hata kama Ina salinity kubwa.
Mmeconcentrate na central Kenya tu

Sasa bajeti ya 19 bil kwa eneo lote hilo mbona kidogo sana ndo maana hapaendelei
Huko turkana wangejenga hata viwanda vya nyama kama kuna wafugaji na pia irrigation schemes wange expand huko kukuza uchumi wa kilimo
 
Mlianza kusema hivo 2017, we are now in 2025 and the gap keeps on widen. Do you remember the articles you shared here sometimes back of Uganda ditching Mombasa to Dar? What happened?
Now tunapeleka reli huko our freight cost tutaweka very low kwasababu tunatumia electricity ku operate treni nyie bakini na bei ya oil kwenye soko la dunia ndio mtajua ham*ui it will be way cheaper and nearer for Ugandans to pick up their cargo from Isaka or Mwanza kuliko mombass or Nairobi kaa kwa kutulia
 
Now we know why you have an ape’s mentality..😄😄
View attachment 3394208View attachment 3394209
markup_39781 (1).png
markup_41354.jpg

Brothers
 
Back
Top Bottom