ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hawa jamaa wamekomaa na capert la bandia kuzunguka uwanja halafu picha hakuna.Kwanza sijawahi ona kitu kama hiki popoteView attachment 3393520
Kasarani hao wahuni wanapaka rangi, tu majukwaa na viti.
Pitch ambayo ndio wachezaji wanatumia imetelekezwa.
Huyo anaishi Tandale na anajifanya hapa anajua budget ya Kenya kutuzidi sisi wakenya!We ni fala county governments zinapata a certain percentage ya national revenues nazo zinajipangia matumizi
Yes because your reasoning is below parYou're not worthy of my response. 🚮 🚮 🚮
Hapa tunashindana kwa hoja na data sio matusi na bullying kijana
Huko turkana wangejenga hata viwanda vya nyama kama kuna wafugaji na pia irrigation schemes wange expand huko kukuza uchumi wa kilimoNational budget inatokana na hela zinazokusanywa hasa taxes na income from public entities zinazomilikiwa na gov of Kenya. Sasa unavosema taifa halina hela zake unamaanisha nini.
Turkana kukosa economic activity ni upumbafu wa serikali yenu kushindwa kuendeleza au kuvutia watu wakawekeze huko .
Kuna mto turkwel ungefaaa kwa kilimo na lake turkana inafaa sana hata kama Ina salinity kubwa.
Mmeconcentrate na central Kenya tu
Sasa bajeti ya 19 bil kwa eneo lote hilo mbona kidogo sana ndo maana hapaendelei
View: https://www.facebook.com/patrick.mapulanga.7/videos/1958665941559186/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
MY TAKE
Kenya Airways majivuno ya Africa? Sounds arrogance! It supposed to be “fahari ya Africa!” as a right translation.
Now tunapeleka reli huko our freight cost tutaweka very low kwasababu tunatumia electricity ku operate treni nyie bakini na bei ya oil kwenye soko la dunia ndio mtajua ham*ui it will be way cheaper and nearer for Ugandans to pick up their cargo from Isaka or Mwanza kuliko mombass or Nairobi kaa kwa kutuliaMlianza kusema hivo 2017, we are now in 2025 and the gap keeps on widen. Do you remember the articles you shared here sometimes back of Uganda ditching Mombasa to Dar? What happened?
Ati wanajiita Mabingwa wa kiswahili!Ametumia tafsiri mbofu, fahari ndilo neno sahihi.
Eti they know English second to english people while their bantu language they are last to none 🤣🤣🤣🤣Ametumia tafsiri mbofu, fahari ndilo neno sahihi.
Nchi ya Mambathi!Some mabati churches ⛪️ in Nairobi state house 🏠 😂😂😂
View attachment 3394426View attachment 3394427View attachment 3394428
Majivuno - ArroganceHow does pride translate to fahari in
Aliyeandika hivo juzi alipost list fake ya Forbes. 😂😂😂Yes because your reasoning is below par
They will never wake up unfortunately😁...Wake up our mentally colonised neighbours 😠