Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya tupe development budget ya county moja kuna kitu nataka kukufundisha kidogo kama hutajali.
kia.JPG


tur.JPG
 
Tuanzie hapa kiambu total revenue collection kwa mwaka mzima haijawahi zidi 6bil ya osr, kwahiyo inategemea allocation kwa kutoka serikali kuu kwa zaid ya 70% sasa tunapokuambia bajeti ya counties inategemea Iko integrated kwenye bajeti kuu ,ikitokea hakuna allocation kutoka serikali kuu watu wote wa kiambuu hawaendi choo🤣🤣🤣🤣
 
Sio kweli eti only in 2023 ndio wali miss salary. angalia hapo chini
"At Kenya Power, 38 employees were left unpaid, while 25 workers at the Kenya Revenue Authority (KRA) were also affected."

Sounds more like a HR/accounting hiccup.
Also, many universities are restructuring to the new financing system. Expect operational delays.
 
Tuanzie hapa kiambu total revenue collection kwa mwaka mzima haijawahi zidi 6bil ya osr, kwahiyo inategemea allocation kwa kutoka serikali kuu kwa zaid ya 70% sasa tunapokuambia bajeti ya counties inategemea Iko integrated kwenye bajeti kuu ,ikitokea hakuna allocation kutoka serikali kuu watu wote wa kiambuu hawaendi choo🤣🤣🤣🤣

The county governments are not allowed to collect all taxes.
The national government also collects a lot of taxes from Kiambu. Probably only third after Nairobi and Mombasa.

If Kiambu was it's own country, it would probably be like the economy of Rwanda. Thika Town and Tatu city alone are probably richer than Bujumbura 😂
 
The county governments are not allowed to collect all taxes.
Reflection ya economic activity inaanzia kwenye osr maana huko ndo mnadili na watu wachini, idadi ya leseni,lodges and the like sasa kama unategemea allocation kutoka serikali kuu lazima utengeneze bajeti ambayo itaendana na mgawanyo ambao utatoka serikali kuu hapo ndo tunasema bajeti ya counties lazima iwe integrated na bajeti kuu ya serikali sababu 70% ya revenue inatola juu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
The national government also collects a lot of taxes from Kiambu. Probably only third after Nairobi and Mombasa.
Huwa mnafurahisha sana kiambu total budget hata baada ya allocation Iko 23bil almost 178mil usd wakati Rwanda Iko kwenye 4.usd bil 🤣🤣🤣🤣
If Kiambu was it's own country, it would probably be like the economy of Rwanda. Thika Town and Tatu city alone are probably richer than Bujumbura 😂
Kiambu hata kwa Burundi isingeweza ingia
 
Swahili itself is an Arabic word kwani hao watu WA Bantu hawakupata jina la kupeana hilo culture na language?
Kuna ubaya kutohoa neno kutoka lugha ya kigeni!?
Mbona kiingereza kimetohoa maneno mengi tu toka lugha ya kifaransa!?
 
Reflection ya economic activity inaanzia kwenye osr maana huko ndo mnadili na watu wachini, idadi ya leseni,lodges and the like sasa kama unategemea allocation kutoka serikali kuu lazima utengeneze bajeti ambayo itaendana na mgawanyo ambao utatoka serikali kuu hapo ndo tunasema bajeti ya counties lazima iwe integrated na bajeti kuu ya serikali sababu 70% ya revenue inatola juu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Huwa mnafurahisha sana kiambu total budget hata baada ya allocation Iko 23bil almost 178mil usd wakati Rwanda Iko kwenye 4.usd bil 🤣🤣🤣🤣

Kiambu hata kwa Burundi isingeweza ingia

The national budget has no money of its own.
Pesa inatoka kwa wananchi. You're speaking of the national government as this mythical money printing machine.
Counties give and take.. if you know what I mean.
Same way California subsidizes Mississippi.

Did you know Turkana county is bigger than Rwanda and Burundi combined?
About 1 million people contributing almost nothing to the GDP, mostly grazers spread out everywhere. What do you want to tax them?
With devolution they get an extra 19 billion, just to bring them up to the standards of the rest of the country.

Where do you think that money is coming from? From Kiambu and other rich counties.
 
Back
Top Bottom