Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Kibera man mmiliki wa lory mbili chakavu hapo US. 🤣🤣🤣Ati Manhattan Garden?..🤣🤣…Your hypocrisy has no boundaries… if you know, you know
Kibera man mmiliki wa lory mbili chakavu hapo US. 🤣🤣🤣Ati Manhattan Garden?..🤣🤣…Your hypocrisy has no boundaries… if you know, you know
Uko wapi ?.. Manhattan …. ?..I know you got my point and imekuingia that’s why ur throwing tantrums 🤣🤣Kibera man mmiliki wa lory mbili chakavu hapo US. 🤣🤣🤣
Haya tupe development budget ya county moja kuna kitu nataka kukufundisha kidogo kama hutajali.
Manhattan sahii ni takataka tu compared to 21st world’s standards.Uko wapi ?.. Manhattan …. ?..I know you got my point and imekuingia that’s why ur throwing tantrums 🤣🤣
Tuanzie hapa kiambu total revenue collection kwa mwaka mzima haijawahi zidi 6bil ya osr, kwahiyo inategemea allocation kwa kutoka serikali kuu kwa zaid ya 70% sasa tunapokuambia bajeti ya counties inategemea Iko integrated kwenye bajeti kuu ,ikitokea hakuna allocation kutoka serikali kuu watu wote wa kiambuu hawaendi choo🤣🤣🤣🤣
Ati Manhattan Garden?..🤣🤣…Your hypocrisy has no boundaries… if you know, you know
"At Kenya Power, 38 employees were left unpaid, while 25 workers at the Kenya Revenue Authority (KRA) were also affected."Sio kweli eti only in 2023 ndio wali miss salary. angalia hapo chini
![]()
PSC report exposes salary crisis in government institutions
A report by the Public Service Commission (PSC) has revealed that 2,078 workers missed out on Sh2.49 billion in salaries, with 2,066 of them not receiving any p...eastleighvoice.co.ke
![]()
Salary Delays Hit Nairobi County Staff
The announcement was made in a circular which explained the delays.www.kenyans.co.ke
Tuanzie hapa kiambu total revenue collection kwa mwaka mzima haijawahi zidi 6bil ya osr, kwahiyo inategemea allocation kwa kutoka serikali kuu kwa zaid ya 70% sasa tunapokuambia bajeti ya counties inategemea Iko integrated kwenye bajeti kuu ,ikitokea hakuna allocation kutoka serikali kuu watu wote wa kiambuu hawaendi choo🤣🤣🤣🤣
Mjinga mwengine huyu.How long ago have you discovered oil in Kenya why no oil exports till today? ukinijibu hilo swali utakuwa umejifanyia favour
Reflection ya economic activity inaanzia kwenye osr maana huko ndo mnadili na watu wachini, idadi ya leseni,lodges and the like sasa kama unategemea allocation kutoka serikali kuu lazima utengeneze bajeti ambayo itaendana na mgawanyo ambao utatoka serikali kuu hapo ndo tunasema bajeti ya counties lazima iwe integrated na bajeti kuu ya serikali sababu 70% ya revenue inatola juu.The county governments are not allowed to collect all taxes.
Huwa mnafurahisha sana kiambu total budget hata baada ya allocation Iko 23bil almost 178mil usd wakati Rwanda Iko kwenye 4.usd bil 🤣🤣🤣🤣The national government also collects a lot of taxes from Kiambu. Probably only third after Nairobi and Mombasa.
Kiambu hata kwa Burundi isingeweza ingiaIf Kiambu was it's own country, it would probably be like the economy of Rwanda. Thika Town and Tatu city alone are probably richer than Bujumbura 😂
Direct ur anger and energy towards “Manhattan” builders of Dar- is -a Slum 😆😆Manhattan sahii ni takataka tu compared to 21st world’s standards.
Kuna ubaya kutohoa neno kutoka lugha ya kigeni!?Swahili itself is an Arabic word kwani hao watu WA Bantu hawakupata jina la kupeana hilo culture na language?
Umekuja viuri, Actual revenue collection FY 2024 was KSh 19bn out of it 3.4bn (49% absorption) was for development. Sasa umeona development budget ya county ni insignificant it is peanut. See page 15 below.
Sasa kama turkana osr yake ni 0.26% ya total budget unaachaje kusema bajeti yenu inategemea allocation kutoka central gov.
Yaan nikipiga kwenye zile manispaa zetu yaan kwa own source revenue kwa Ile formula ya 5:4:1 bado wako nyuma sana hapo bado inayotoka serikali kuuUmekuja viuri, Actual revenue collection FY 2024 was KSh 19bn out of it 3.4bn (49% absorption) was for development. Sasa umeona development budget ya county ni insignificant it is peanut. See page 15 below.
Reflection ya economic activity inaanzia kwenye osr maana huko ndo mnadili na watu wachini, idadi ya leseni,lodges and the like sasa kama unategemea allocation kutoka serikali kuu lazima utengeneze bajeti ambayo itaendana na mgawanyo ambao utatoka serikali kuu hapo ndo tunasema bajeti ya counties lazima iwe integrated na bajeti kuu ya serikali sababu 70% ya revenue inatola juu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huwa mnafurahisha sana kiambu total budget hata baada ya allocation Iko 23bil almost 178mil usd wakati Rwanda Iko kwenye 4.usd bil 🤣🤣🤣🤣
Kiambu hata kwa Burundi isingeweza ingia