Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuanzie hapa kiambu total revenue collection kwa mwaka mzima haijawahi zidi 6bil ya osr, kwahiyo inategemea allocation kwa kutoka serikali kuu kwa zaid ya 70% sasa tunapokuambia bajeti ya counties inategemea Iko integrated kwenye bajeti kuu ,ikitokea hakuna allocation kutoka serikali kuu watu wote wa kiambuu hawaendi choo🤣🤣🤣🤣

The county governments are not allowed to collect all taxes.
The national government also collects a lot of taxes from Kiambu. Probably only third after Nairobi and Mombasa.

If Kiambu was it's own country, it would probably be like the economy of Rwanda. Thika Town and Tatu city alone are probably richer than Bujumbura 😂
 
Kundurendas huwa wanajisahau. Judiciary building Dodoma
IMG_9555.jpeg
IMG_9556.jpeg
IMG_9557.jpeg
IMG_9552.jpeg
IMG_9553.jpeg
 
The county governments are not allowed to collect all taxes.
Reflection ya economic activity inaanzia kwenye osr maana huko ndo mnadili na watu wachini, idadi ya leseni,lodges and the like sasa kama unategemea allocation kutoka serikali kuu lazima utengeneze bajeti ambayo itaendana na mgawanyo ambao utatoka serikali kuu hapo ndo tunasema bajeti ya counties lazima iwe integrated na bajeti kuu ya serikali sababu 70% ya revenue inatola juu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
The national government also collects a lot of taxes from Kiambu. Probably only third after Nairobi and Mombasa.
Huwa mnafurahisha sana kiambu total budget hata baada ya allocation Iko 23bil almost 178mil usd wakati Rwanda Iko kwenye 4.usd bil 🤣🤣🤣🤣
If Kiambu was it's own country, it would probably be like the economy of Rwanda. Thika Town and Tatu city alone are probably richer than Bujumbura 😂
Kiambu hata kwa Burundi isingeweza ingia
 
Swahili itself is an Arabic word kwani hao watu WA Bantu hawakupata jina la kupeana hilo culture na language?
Kuna ubaya kutohoa neno kutoka lugha ya kigeni!?
Mbona kiingereza kimetohoa maneno mengi tu toka lugha ya kifaransa!?
 
Reflection ya economic activity inaanzia kwenye osr maana huko ndo mnadili na watu wachini, idadi ya leseni,lodges and the like sasa kama unategemea allocation kutoka serikali kuu lazima utengeneze bajeti ambayo itaendana na mgawanyo ambao utatoka serikali kuu hapo ndo tunasema bajeti ya counties lazima iwe integrated na bajeti kuu ya serikali sababu 70% ya revenue inatola juu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Huwa mnafurahisha sana kiambu total budget hata baada ya allocation Iko 23bil almost 178mil usd wakati Rwanda Iko kwenye 4.usd bil 🤣🤣🤣🤣

Kiambu hata kwa Burundi isingeweza ingia

The national budget has no money of its own.
Pesa inatoka kwa wananchi. You're speaking of the national government as this mythical money printing machine.
Counties give and take.. if you know what I mean.
Same way California subsidizes Mississippi.

Did you know Turkana county is bigger than Rwanda and Burundi combined?
About 1 million people contributing almost nothing to the GDP, mostly grazers spread out everywhere. What do you want to tax them?
With devolution they get an extra 19 billion, just to bring them up to the standards of the rest of the country.

Where do you think that money is coming from? From Kiambu and other rich counties.
 
Viwango vya Amani Afrika Mashariki (2025):
1. 🇹🇿 Tanzania (73)
2. 🇷🇼 Rwanda (91)
3. 🇺🇬 Uganda (113)
4. 🇰🇪 Kenya (127)
5. 🇧🇮 Burundi (133)
6. 🇨🇩 DRC (160)
7. 🇸🇸 Sudan Kusini (161)

 
Tuanzie hapa kiambu total revenue collection kwa mwaka mzima haijawahi zidi 6bil ya osr, kwahiyo inategemea allocation kwa kutoka serikali kuu kwa zaid ya 70% sasa tunapokuambia bajeti ya counties inategemea Iko integrated kwenye bajeti kuu ,ikitokea hakuna allocation kutoka serikali kuu watu wote wa kiambuu hawaendi choo🤣🤣🤣🤣
Nilijua atajichanganya alete hizo taarifa tuu 🤣🤣🤣
 
Mjinga mwengine huyu.
Wewe si umedharau mentalities za kiafrika kuhusu kutegemea foreign capital na expertise kwenye mining na oil and gas sasa nyie miaka zaidi ya kumi na kitu oil imekaa hapo chini na shida kibao mnazo mmeshindwa kuuza na bado top leadership yote including kasongo walienda France kubembeleza Macron to reign in on TOTAL mkifikiri biashara ya multinationals ni kama ku manufacture unga 🤣🤣🤣
 
Reflection ya economic activity inaanzia kwenye osr maana huko ndo mnadili na watu wachini, idadi ya leseni,lodges and the like sasa kama unategemea allocation kutoka serikali kuu lazima utengeneze bajeti ambayo itaendana na mgawanyo ambao utatoka serikali kuu hapo ndo tunasema bajeti ya counties lazima iwe integrated na bajeti kuu ya serikali sababu 70% ya revenue inatola juu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Huwa mnafurahisha sana kiambu total budget hata baada ya allocation Iko 23bil almost 178mil usd wakati Rwanda Iko kwenye 4.usd bil 🤣🤣🤣🤣

Kiambu hata kwa Burundi isingeweza ingia
Hizi ni ngombe tuu mkuu unapoteza muda kuwapa darsa.
 
Back
Top Bottom