Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanini 84% ya wawekezaji ni ya kipindi chote cha uchimbaji?? Huu uwekezaji unaofanywa kwanini usigharamikiwe na kinachozalishwa kwanza halafu baadaye Serikali ipate hata 80% ya faida?? Hapo ndo wajanja wakaja na akili kwamba always wanapata hasara lakini hawaondoki..
Na kama wanapata faida siye ndo wajinga..
Afrika tuna shida kubwa ya:
  • Teknolojia
  • Mitaji mikubwa na
  • Masoko.

Hata wakisema watuachie madini yote utashindwa cha kufanya.

Jambo la maingi ni kwenda nao mdogo mdogo, mpaka tuwamudu.

Ukiangalia mikataba aliyowapa Mkapa, kina GGM ni ya ovyo sana, ilikuwa 3%.

Lakini tuanpanda nao kidogo kidogo. Na Magufuli aliwakaba balaa, tukapata,
  • Local content (kampuni zinazotoa huduma za kusaodoa migodi ziwe za TZ
  • Serikali kiwa na hisa 16% za lazima (ambapo serikali inaweza kuongeza hisa kwa kununua kadri inavyopenda)
  • Kodi za kawaida
  • Mirabaha Halmashauri

Na sasa hivi serikali imetunga sheria, angalau 20% ya dhahabu isafishwe hapa kuongeza thamani na kuuzwa BoT.

Tukiweza hapo, tunapanda kwenda 50%, ++
 

View:

Juu huoni kenya iko 16% na Tanzania 53%.
But because its a kenyan newspaper unaandika paper gdp.
This is why this forum is becoming tedious. Its like arguing with children

Screenshot_20250703_162224_Facebook.jpg
 
So much money has been raised, they might be there.

Though, nadhani hawa investors watakula hasara.

How are they going to make money (RETURNS) kwa mechi moja tu ya FINALI.
Bond is not PPP you idiot, they are not going to recoup their money from the stadium but the government will be paying them interest for 15yrs at a rate of 15%, at the end of 15yrs the government will return to them the principle amount they way it was.

Do you even know how bonds work?
 
'Kenya bila pesa' still collects more revenue than bongolala and your LDC slum neighbors combined.

The last time the US balanced a budget was over 20 years ago.
In the same period, their GDP has almost tripled.

Show me a country that doesn't borrow, and I'll show you an uneducated bongolala liar.

Speaking of nurses:
Kenya nurses: 82,000
Tanzania nurses + midwives: 47,000

Average monthly nurse salary (USD)

Kenya: $700
Tanzania: $220

If you were to pay your employees even half of what Kenya pay theirs, your budget would have a 80% deficit.

We are not the same. Please compare yourselves to fellow low income earners in Burundi.
Our money is bigger and our problems bigger.
You correct more kulipa Madini makubwa mnayoborrow
 
Umesahau mara hii kuwa East and Central Africa cardiovascular center of excellence iko Tanzania au unajifanya hamnazo?
Maybe kwa akili yako, none of your cardiovascular centers come close to Nairobi Hospital, Aga Khan University Hospital, Nairobi West Hospital, MP Shah Hospital, Coptic Hospital, Karen Hospital, Kenyatta University Hospital, Eldoret National Hospital, Tenwek Hospital etc.

That's why East African leaders including your late Presidents always scramble for treatment opportunities in Kenya.
 
Bond is not PPP you idiot, they are not going to recoup their money from the stadium but the government will be paying them interest for 15yrs at a rate of 15%, at the end of 15yrs the government will return to them the principle amount they way it was.

Do you even know how bonds work?
😂😂😂

So, Kenyans should expect new taxes to repay bond subscribers.

That stadium won't make any returns.
 
Maybe kwa akili yako, none of your cardiovascular centers come close to Nairobi Hospital, Aga Khan University Hospital, Nairobi West Hospital, MP Shah Hospital, Coptic Hospital, Karen Hospital, Kenyatta University Hospital, Eldoret National Hospital, Tenwek Hospital etc.

That's why East African leaders including your late Presidents always scramble for treatment opportunities in Kenya.
Acha uongo wa kisenge wewe.
Hakuna kiongozi wa serikali wa TZ alikuja kutibiwa Kenya.
Magufuli alitibiwa Mzena na akafia Mzena.

East and Central Afrika hakuna hospitali kubwa ya Moyo kama ya JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE MUHIMBILI.
Ndio maana hata raia wenu huvuka boda kuja kutibiwa huku.
Narudia tena,hakuna hospitali kubwa ya moyo Afrika mashariki na kati kama JKCI MUHIMBILI.
 
Maybe kwa akili yako, none of your cardiovascular centers come close to Nairobi Hospital, Aga Khan University Hospital, Nairobi West Hospital, MP Shah Hospital, Coptic Hospital, Karen Hospital, Kenyatta University Hospital, Eldoret National Hospital, Tenwek Hospital etc.
What's so special about their medical services?
That's why East African leaders including your late Presidents always scramble for treatment opportunities in Kenya.
Hizi stori za Jaba hamuachi?
 
😂😂😂

So, Kenyans should expect new taxes to repay bond subscribers.

That stadium won't make any returns.
Kenya has been giving out bonds without adding taxes, obviously you don't understand how bonds work. Yani Tanzania kila mtu ni mjinga?
 
Back
Top Bottom