Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Walikuwa wanacheka DL yetu ilivyokuwa inasubiri engine pale malaysia last year ilikaa karibia 8months wakawa wanatucheka sana wanaita ya mtumba huku wakiwa hawajui yanayoenda kuwapata sasa hizi DL zote za air tanzania zinafanya kazi wao wanahangaika
Aisee kama si EU kutuzuia ingekuwa muda muafaka kuanza routes huko! Ila kama kawaida tunakosa fursa kwasababu ya watu flani kutotimiza majukumu!
 
Nakumbuka niliiweka mm wa kwanza humu Nairobiwoker akanijia juu
Sasa wameenda kuediti wajipe furaha du kazi ipo kwa jirani
Kwa nini mnapenda kucreate your own happiness 😊
1750414644451.jpg


Yaani mnapenda uongo kuliko ukweli. Hii list mmeedit. Leta link
1750414644451.jpg
 
Huo umeme ni mainily for Arusha maybe na Kilimanjaro cause hakuna Power line ya 400kv kutoka Chalinze to Arusha thats my understanding . Kujenga power lines ni very expensive so it might take time hata kama mna production ya kutosha
Inaonekana mahitaji ya umeme Tanzania ni makubwa sana kuliko Kenya, maana kwa sasa umeme unaozalisha ni zaid ya 4000 huku bado tukihitaji na umeme kutoka ethiopia
 
Aisee kama si EU kutuzuia ingekuwa muda muafaka kuanza routes huko! Ila kama kawaida tunakosa fursa kwasababu ya watu flani kutotimiza majukumu!
Duh ndo hivyo , Nadhani mpka 2026 waharakishe haraka maana European cities zinaleta toursit wengi
London
Rome/Milan should be on plans tukipata kibali

Kwa sasa tupate african routes kwanza
Lagos this August itaanza
Tukipata uwezo as in if TCH will be back , Accra via Abidjan would be a good route to consider and possibly Maputo
Pia SSH aligusia Luanda Angola


Kuna Q400 inakuja probably end of year or mwaka ujao mwanzoni
Kuna plans za Dzadouzi,Goma via Bujumbura,
Kigali and Mombasa would make sense pia kuzianza

No plans for Juba and Mogadishu yet but i think they will be considered in few years
 
Duh ndo hivyo , Nadhani mpka 2026 waharakishe haraka maana European cities zinaleta toursit wengi
London
Rome/Milan should be on plans tukipata kibali

Kwa sasa tupate african routes kwanza
Lagos this August itaanza
Tukipata uwezo as in if TCH will be back , Accra via Abidjan would be a good route to consider and possibly Maputo
Pia SSH aligusia Luanda Angola


Kuna Q400 inakuja probably end of year or mwaka ujao mwanzoni
Kuna plans za Dzadouzi,Goma via Bujumbura,
Kigali and Mombasa would make sense pia kuzianza

No plans for Juba and Mogadishu yet but i think they will be considered in few years
Route ya Maputo dar haina abiria kabisa labda ingekuwa ni nampula- pemba- dar
 
Route ya Maputo dar haina abiria kabisa labda ingekuwa ni nampula- pemba- dar
Probably itakuwa hivi i think kitu kama hichi kinaweza kufanya kazin
i think Maputo is political reasons
Ni kama Lagos ambavyo natamani waijoin na accra lakini inaweza isiwe suitable for better conncetion times

Dar-Pemba-Maputo- Dar would probably work kama LAM walivyofanya
Wanaweza wakajoin
Nampula na Lilongwe/Blantyre
Iwe Dar- Blantyre-Nampula - Dar
 
I can see my African brother you are living your American dream well. How about Kenyan football do you even make a follow up?
Hata ya Bongo Najua … I love Yanga ( Young Africans) …Hata Nikiwa Mdogo back in the days I still remember a player named Zamoyoni Mogera terrorizing Harambee Stars defense on the radio . Trust me I never forget my roots . You can take that to the bank .
 
Don't misuse the word infanticide since when sperms became infants? Enjoy your dream my brainwashed mentally colonized African brother😁
Thank You for your kindness. Looking forward to breaking bread with you one day in your dream house in Tandale and we can continue the conversation and you can show me how African your soul is. And be cautious now, don’t let technology colonize you . 🤣🤣🤣
 
Nakumbuka niliiweka mm wa kwanza humu Nairobiwoker akanijia juu
Sasa wameenda kuediti wajipe furaha du kazi ipo kwa jirani
View attachment 3391406
Asilmia kubwa ya wakenya hawahoji habari, wanachukua habari jinsi ilivyo.
Ni watu wa kukalili kwa sababu wana akili ndogo walio wengi.

Ndo maana hata wakija Dar wanataka ifanane na Nairobi. Hawaapreciate diversity of the city.
Kimsingi ni rahisi kutapeliwa, kuuzwa na kudanganywa
 
Back
Top Bottom