buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
So post ya nyuma hajui ipo wapi kwa map, post nyingine anajua kijiji.
Si ni typical kunyans ndio anabehave ujinga?
Kwamba Kenya hizo "machuma" hazipo? Au unajaribu kusema nini!Bado wanapima nyama na hizi machuma !!!!
Year 2004 indeed.
View: https://youtu.be/o29yjnCMCWM?si=QPJvPZej6n7dmaiX
MY TAKE
The kickstart of the construction of Jangwani bridge!
You are the dumbest and stupid.Thanks for confirming the project is incomplete.
Kenya ina mijitu ya ovyo sana.Bado wanapima nyama na hizi machuma !!!!
Year 2004 indeed.
Nyang'au.Bado wanapima nyama na hizi machuma !!!!
Year 2004 indeed.
Huyo huwa ni irrational siku zote, na huwa anatumia hisia kuliko uhalisia, kuna mda huwa nadhani ni demu huyo.Kwamba Kenya hizo "machuma" hazipo? Au unajaribu kusema nini!
Kwanza hilo bucha ni safi kuliko mabucha mengi yaliyok9 mjini hapo ukunyani.
Mkuu hakuna siku nilokupinga ila leo nakupinga.
Hapa mkuu kusema technology ya China inatoka Urusi umetuongopea.nyuma ya iran kuna binaadamu mwenye akili sana anaitwa mrusi ndio tishio la dunia nzima hata technology ya china inatoka russia
Kaka hii mada tuliiongea sana. Na sitaki kuirudia kaka. Yule aliyekuwa anabisha nilimuonesha investments za MeTL.Mkuu hakuna siku nilokupinga ila leo nakupinga.
Azam amefanya uwekezaji mkubwa kuliko Metl.
Pia uwekezaji wa Azam umeleta direct impact kwa taifa kuliko Metl.
-Mathalan mpira ameufufua Azam kwa kuwekeza bilioni 220 za kitanzania.
-Ngumi ameufufua Azam kwa kuwekeza pia.
-Azam ameleta mageuzi ya media nchini.
Uwekezaji mwingine mkubwa.
-Bagamoyo Sugar ni ya Azam,tafuta kiwanda kikubwa kama cha Bagamoyo sugar anachomiliki Mohammed Dewji kama utapata.
-Marine transport.
Itakuja kuona Azam amegusa Kila pembe ya hii nchi.
Pale bandarini kwenyewe mzigo wa Azam unaoingia ni mkubwa kuliko hata wa Metl.
Metl Wana uwekezaji wa chap kwa haraka wa ujanja ujanja tu.
Usisahau na Hotel Verde Zanzibar.
Usisahau na Fumbwe apartments Zanzibar.
Oyaaa hayo masuala ya revenue huwenda tu jamaa hayafuchui ila Azam ana uwekezaji mkubwa kuliko Metl.
Mwenye macho haambiwi tazama.
Leo hii Azam afirikisike watu watasaga meno kuliko akifirisika Metl.
Metl ni kama Quality groups tu ya Yusuph Manji.
Suswa kuna mizigo gani au miraaMnapeleka Burundi? Burundi na Mwanza ina mizigo gani?😂😂😂
The project is still incomplete, unapinga nini sasa. Na ndio testing imeanza yet Kenya completed it's section long time ago.You are the dumbest and stupid.
Hiyo video ina miaka 6.
Project ya miaka 6, iliyopita iwe incomplete, unafikiri tuko Kenya ambako kuna bunch of stalled projects.
Jaba ya Meru itakuuaThe project is still incomplete, unapinga nini sasa.
Usiwe mjinga, Naivasha Kuna dry port ya kupokea mizigo ya Uganda, Rwanda, DRC na South Sudan.Suswa kuna mizigo gani au miraa
Du, yale malori ya kina kasioki na loisiok bado yapo kenya 😂😂😂Mwenyekiti hii Ndinga si Toleo la mwaka huu June na tayari wakundustan wanayo? Duh, Hawa jamaa kweli wapo mbele kama mfuko wa shati 😂😂😂😂
View attachment 3386060
Ukimsikiliza huyu nyang'au nairobae unaweza kudhani ana akili😁
View: https://m.youtube.com/watch?v=TQyteo5gyd4
And the top 3 are Kenyan registered companies. Pole sana kama hukujua.