Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 MeTL kaka ni kubwa sana. Labda Bakhresa asubiri 20 yrs

View attachment 3382138
Mkuu hakuna siku nilokupinga ila leo nakupinga.
Azam amefanya uwekezaji mkubwa kuliko Metl.
Pia uwekezaji wa Azam umeleta direct impact kwa taifa kuliko Metl.
-Mathalan mpira ameufufua Azam kwa kuwekeza bilioni 220 za kitanzania.
-Ngumi ameufufua Azam kwa kuwekeza pia.
-Azam ameleta mageuzi ya media nchini.

Uwekezaji mwingine mkubwa.
-Bagamoyo Sugar ni ya Azam,tafuta kiwanda kikubwa kama cha Bagamoyo sugar anachomiliki Mohammed Dewji kama utapata.
-Marine transport.
Itakuja kuona Azam amegusa Kila pembe ya hii nchi.
Pale bandarini kwenyewe mzigo wa Azam unaoingia ni mkubwa kuliko hata wa Metl.

Metl Wana uwekezaji wa chap kwa haraka wa ujanja ujanja tu.
Usisahau na Hotel Verde Zanzibar.
Usisahau na Fumbwe apartments Zanzibar.

Oyaaa hayo masuala ya revenue huwenda tu jamaa hayafuchui ila Azam ana uwekezaji mkubwa kuliko Metl.
Mwenye macho haambiwi tazama.
Leo hii Azam afirikisike watu watasaga meno kuliko akifirisika Metl.
Metl ni kama Quality groups tu ya Yusuph Manji.
 
nyuma ya iran kuna binaadamu mwenye akili sana anaitwa mrusi ndio tishio la dunia nzima hata technology ya china inatoka russia
Hapa mkuu kusema technology ya China inatoka Urusi umetuongopea.
Iran ina teknolojia yake ya silaha na mambo mengine.
Pia China ni vivyo hivyo.
Ila Kuna wakati wanakutana kuchangiana teknolojia.
Mathalan nuclear technology ya China ni kubwa kuliko ya hao wawili.
Missile tech ya Russia ni kubwa kuliko hao wawili.
Drone tech ya Iran ni kubwa kushinda ya hao wawili waliobaki.
Huwa Wana share tu tech ambayo mmoja hana.
Muajemi ana historia yake ya uvumbuzi na ugunduzi duniani.
Miongoni mwa vizazi vyenye akili duniani muajemi lazima umuweke.
 
Mkuu hakuna siku nilokupinga ila leo nakupinga.
Azam amefanya uwekezaji mkubwa kuliko Metl.
Pia uwekezaji wa Azam umeleta direct impact kwa taifa kuliko Metl.
-Mathalan mpira ameufufua Azam kwa kuwekeza bilioni 220 za kitanzania.
-Ngumi ameufufua Azam kwa kuwekeza pia.
-Azam ameleta mageuzi ya media nchini.

Uwekezaji mwingine mkubwa.
-Bagamoyo Sugar ni ya Azam,tafuta kiwanda kikubwa kama cha Bagamoyo sugar anachomiliki Mohammed Dewji kama utapata.
-Marine transport.
Itakuja kuona Azam amegusa Kila pembe ya hii nchi.
Pale bandarini kwenyewe mzigo wa Azam unaoingia ni mkubwa kuliko hata wa Metl.

Metl Wana uwekezaji wa chap kwa haraka wa ujanja ujanja tu.
Usisahau na Hotel Verde Zanzibar.
Usisahau na Fumbwe apartments Zanzibar.

Oyaaa hayo masuala ya revenue huwenda tu jamaa hayafuchui ila Azam ana uwekezaji mkubwa kuliko Metl.
Mwenye macho haambiwi tazama.
Leo hii Azam afirikisike watu watasaga meno kuliko akifirisika Metl.
Metl ni kama Quality groups tu ya Yusuph Manji.
Kaka hii mada tuliiongea sana. Na sitaki kuirudia kaka. Yule aliyekuwa anabisha nilimuonesha investments za MeTL.

MeTL ni kampuni kubwa sana kaka hususani kwenye kilimo na viwanda vya nguo.

Azam hawezi hata kukaribia nusu ya MeTL.

Tafuta taarifa sahihi kaka. Mimi nikiweka kitu ujue nimefanyia utafiti.

MeTL inachangia 5% ya GDP ya Tanzania. Imeajiri watu direct more than 37k.
 
You are the dumbest and stupid.

Hiyo video ina miaka 6.

Project ya miaka 6, iliyopita iwe incomplete, unafikiri tuko Kenya ambako kuna bunch of stalled projects.
The project is still incomplete, unapinga nini sasa. Na ndio testing imeanza yet Kenya completed it's section long time ago.
 
WINE FESTIVAL 🍾🍷 Tanzania Raha Leo Leo
1751123567620.png

1751123678404.png

1751123972669.png
 
So, this is the same dumbest shit who said he doesn't know where TZ is on the map.

Then all of sudden he is in Southern part of Tanzania, playing gayish wandering why meat is cooked on gas cylinder instead of electric stoves.

Too many dumb people on the internet.
content creator hao! Hawana cha kufanya na maisha yao
 
USHIRIKIANO WA BURUNDI NA TANZANIA LEO KIWANDA KIKUBWA CHA MBOLEA KIMEZINDULIWA

1751127590052.png


1751127608805.png


1751127633624.png


Kazi kubwa tuliyoifanya kwa miaka minne ya kuboresha sera, sheria na kuvutia uwekezaji nchini imeendelea kuleta matokeo chanya ambapo leo nimeungana na kaka yangu, Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mheshimiwa Évariste Ndayishimiye katika uzinduzi wa kiwanda cha kuzalisha mbolea, ITRACOM Fertilizers Limited, jijini Dodoma.

Kiwanda hiki kikubwa zaidi Afrika Mashariki kinathibitisha nia ya nchi zetu ya kukuza uwekezaji wenye manufaa kwa wote. Aidha, kinaongeza chachu katika mageuzi ya kilimo tunayoendelea nayo, mathalani kuongeza matumizi ya mbolea ili kukuza uzalishaji, kuimarisha usalama wa chakula na mchango wa kilimo kwenye uchumi wetu.

Uwekezaji wa kiwanda hiki utatoa ajira 3,000 za moja kwa moja. Pia, nimeielekeza Wizara ya Kilimo kuimarisha usambazaji wa mbolea hadi vijijini ili wananchi waone tija ya uwekezaji kwenye nchi yao.
 
USHIRIKIANO WA BURUNDI NA TANZANIA LEO KIWANDA KIKUBWA CHA MBOLEA KIMEZINDULIWA

View attachment 3387088

View attachment 3387089

View attachment 3387091

Kazi kubwa tuliyoifanya kwa miaka minne ya kuboresha sera, sheria na kuvutia uwekezaji nchini imeendelea kuleta matokeo chanya ambapo leo nimeungana na kaka yangu, Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mheshimiwa Évariste Ndayishimiye katika uzinduzi wa kiwanda cha kuzalisha mbolea, ITRACOM Fertilizers Limited, jijini Dodoma.

Kiwanda hiki kikubwa zaidi Afrika Mashariki kinathibitisha nia ya nchi zetu ya kukuza uwekezaji wenye manufaa kwa wote. Aidha, kinaongeza chachu katika mageuzi ya kilimo tunayoendelea nayo, mathalani kuongeza matumizi ya mbolea ili kukuza uzalishaji, kuimarisha usalama wa chakula na mchango wa kilimo kwenye uchumi wetu.

Uwekezaji wa kiwanda hiki utatoa ajira 3,000 za moja kwa moja. Pia, nimeielekeza Wizara ya Kilimo kuimarisha usambazaji wa mbolea hadi vijijini ili wananchi waone tija ya uwekezaji kwenye nchi yao.
Aliyesema hakuna mzigo wa sgr Dodoma aje aone, maana huo mzigo wa mbolea lazima uende Kenya kupitia bandari ya dar
 
Back
Top Bottom