Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bado wanapima nyama na hizi machuma !!!!
Year 2004 indeed.
Nyang'au.

Ovyooooo

Screenshot_20250628_155615_X.jpg
 
🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 MeTL kaka ni kubwa sana. Labda Bakhresa asubiri 20 yrs

View attachment 3382138
Mkuu hakuna siku nilokupinga ila leo nakupinga.
Azam amefanya uwekezaji mkubwa kuliko Metl.
Pia uwekezaji wa Azam umeleta direct impact kwa taifa kuliko Metl.
-Mathalan mpira ameufufua Azam kwa kuwekeza bilioni 220 za kitanzania.
-Ngumi ameufufua Azam kwa kuwekeza pia.
-Azam ameleta mageuzi ya media nchini.

Uwekezaji mwingine mkubwa.
-Bagamoyo Sugar ni ya Azam,tafuta kiwanda kikubwa kama cha Bagamoyo sugar anachomiliki Mohammed Dewji kama utapata.
-Marine transport.
Itakuja kuona Azam amegusa Kila pembe ya hii nchi.
Pale bandarini kwenyewe mzigo wa Azam unaoingia ni mkubwa kuliko hata wa Metl.

Metl Wana uwekezaji wa chap kwa haraka wa ujanja ujanja tu.
Usisahau na Hotel Verde Zanzibar.
Usisahau na Fumbwe apartments Zanzibar.

Oyaaa hayo masuala ya revenue huwenda tu jamaa hayafuchui ila Azam ana uwekezaji mkubwa kuliko Metl.
Mwenye macho haambiwi tazama.
Leo hii Azam afirikisike watu watasaga meno kuliko akifirisika Metl.
Metl ni kama Quality groups tu ya Yusuph Manji.
 
nyuma ya iran kuna binaadamu mwenye akili sana anaitwa mrusi ndio tishio la dunia nzima hata technology ya china inatoka russia
Hapa mkuu kusema technology ya China inatoka Urusi umetuongopea.
Iran ina teknolojia yake ya silaha na mambo mengine.
Pia China ni vivyo hivyo.
Ila Kuna wakati wanakutana kuchangiana teknolojia.
Mathalan nuclear technology ya China ni kubwa kuliko ya hao wawili.
Missile tech ya Russia ni kubwa kuliko hao wawili.
Drone tech ya Iran ni kubwa kushinda ya hao wawili waliobaki.
Huwa Wana share tu tech ambayo mmoja hana.
Muajemi ana historia yake ya uvumbuzi na ugunduzi duniani.
Miongoni mwa vizazi vyenye akili duniani muajemi lazima umuweke.
 
Mkuu hakuna siku nilokupinga ila leo nakupinga.
Azam amefanya uwekezaji mkubwa kuliko Metl.
Pia uwekezaji wa Azam umeleta direct impact kwa taifa kuliko Metl.
-Mathalan mpira ameufufua Azam kwa kuwekeza bilioni 220 za kitanzania.
-Ngumi ameufufua Azam kwa kuwekeza pia.
-Azam ameleta mageuzi ya media nchini.

Uwekezaji mwingine mkubwa.
-Bagamoyo Sugar ni ya Azam,tafuta kiwanda kikubwa kama cha Bagamoyo sugar anachomiliki Mohammed Dewji kama utapata.
-Marine transport.
Itakuja kuona Azam amegusa Kila pembe ya hii nchi.
Pale bandarini kwenyewe mzigo wa Azam unaoingia ni mkubwa kuliko hata wa Metl.

Metl Wana uwekezaji wa chap kwa haraka wa ujanja ujanja tu.
Usisahau na Hotel Verde Zanzibar.
Usisahau na Fumbwe apartments Zanzibar.

Oyaaa hayo masuala ya revenue huwenda tu jamaa hayafuchui ila Azam ana uwekezaji mkubwa kuliko Metl.
Mwenye macho haambiwi tazama.
Leo hii Azam afirikisike watu watasaga meno kuliko akifirisika Metl.
Metl ni kama Quality groups tu ya Yusuph Manji.
Kaka hii mada tuliiongea sana. Na sitaki kuirudia kaka. Yule aliyekuwa anabisha nilimuonesha investments za MeTL.

MeTL ni kampuni kubwa sana kaka hususani kwenye kilimo na viwanda vya nguo.

Azam hawezi hata kukaribia nusu ya MeTL.

Tafuta taarifa sahihi kaka. Mimi nikiweka kitu ujue nimefanyia utafiti.

MeTL inachangia 5% ya GDP ya Tanzania. Imeajiri watu direct more than 37k.
 
You are the dumbest and stupid.

Hiyo video ina miaka 6.

Project ya miaka 6, iliyopita iwe incomplete, unafikiri tuko Kenya ambako kuna bunch of stalled projects.
The project is still incomplete, unapinga nini sasa. Na ndio testing imeanza yet Kenya completed it's section long time ago.
 
Back
Top Bottom