Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,101
- 17,819
Which one is this? Could be Uthiru?The rise of Nairobi satellite towns
View attachment 3385952View attachment 3385953View attachment 3385950
View attachment 3385954
Which one is this? Could be Uthiru?The rise of Nairobi satellite towns
View attachment 3385952View attachment 3385953View attachment 3385950
View attachment 3385954
Mna shida ya Kujiita Wazalendo 😁😁
Vipi na haya yalitakiwa kuanza lini? 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DLUUyPAIHqw/?igsh=c3htNnkyM25vOHJy
gari ina umri sawa na kibaki na bado ipo alaf ukiwasikia wanaongea utasema wako mbele kama komwe😂😂😂Mwenyekiti hii Ndinga si Toleo la mwaka huu June na tayari wakundustan wanayo? Duh, Hawa jamaa kweli wapo mbele kama mfuko wa shati 😂😂😂😂
View attachment 3386060
hivi haya maIsuzu bado yapo aisee!Mwenyekiti hii Ndinga si Toleo la mwaka huu June na tayari wakundustan wanayo? Duh, Hawa jamaa kweli wapo mbele kama mfuko wa shati 😂😂😂😂
View attachment 3386060
Tunajivutavuta sana sijui kwanini na demand ipo ya kumwagaa, pia kwenye usambazaji gesi majumbani bado tunajivuta kwenye sekta ya Ev's bado tunajivuta sijui tatizo liko wapiihaya walitakiwa wayaruhusu 3 yrs back sio leo yani hua tunafanya mambo kwa kuchelewa sana sijui hua tunashida gan?
Lipeni deni la Mchina basi.
ndio haya nasema yani hua tunasubiri dakika za mwisho kabisa maji yashatufika shingoni ndio tunahangaika sasa hii kitu hua inanikera sanaTunajivutavuta sana sijui kwanini na demand ipo ya kumwagaa, pia kwenye usambazaji gesi majumbani bado tunajivuta kwenye sekta ya Ev's bado tunajivuta sijui tatizo liko wapii
shida yetu sisi sio uwajibikaji alaf low quality itahusika sana acha tu wapewe wageni kwa sasa hzo mega projectsHvi kampuni za kibongo zinashindwa nini kutekeleza miradi ya aina hii,tutajengewa na wachina mpaka lini
mpaka leo 9 yrs haijawah kupata faida hio reli na unaambiwa haina hata dalili yakuja kupata faida mpaka kiyama 😂Lipeni deni la Mchina basi.
Au hizo pesa zitumieni kujenga Mombasa Malaba
Si walikuwa wanajiongopea kuwa reli yetu imetengenezwa ya abiria tuu sasa wakiona mzigo wanapaniki maana wanajua mwisho wa mombasa port umefikaSi bora angekua kwenye ushindani. 🤣🤣 yeye yupo kweye kupinga kwasababu asingependa kuona reli yetu sasa inabeba mizigo. Anatamani kama angekua na uwezo aje aing’oe.
Daily doseAcha ujinga wewe umeona hapo Raisi anazigawa? Level of stupidity mgombea uraisi kabisa kugawa kampeni yeye.
Hapo si wanagawa machawa level ya wajumbe unajua hata wajumbe?
Tupe any info ya Tanzania Raisi na Makamu wa Raisi wanagawa chapoo Tz?