Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si bora angekua kwenye ushindani. 🤣🤣 yeye yupo kweye kupinga kwasababu asingependa kuona reli yetu sasa inabeba mizigo. Anatamani kama angekua na uwezo aje aing’oe.
Si walikuwa wanajiongopea kuwa reli yetu imetengenezwa ya abiria tuu sasa wakiona mzigo wanapaniki maana wanajua mwisho wa mombasa port umefika
 
Acha ujinga wewe umeona hapo Raisi anazigawa? Level of stupidity mgombea uraisi kabisa kugawa kampeni yeye.

Hapo si wanagawa machawa level ya wajumbe unajua hata wajumbe?

Tupe any info ya Tanzania Raisi na Makamu wa Raisi wanagawa chapoo Tz?
Daily dose
img_6245-jpeg.9494910
 
Back
Top Bottom