Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yes
MeTL BAJAJ
MeTL Bajaj was established in 2018 as a manufacturer oftwo-wheeler automobiles, popularly known in Tanzaniaas Bodabodas. In May 2021, it introduced three-wheelerautomobiles, commonly referred to as Bajajis.
Bajaj hata wewe ukiwa na uwezo wa kununua unit 1000 kiwandani watakuwekea mpaka nembo yako . Bajaji china ni bei 250 usd mpaka 500 . Kuassemble hata fundi wa kawaida kitaa ana assemble inshort hakuna uwekezaji. Hata ukifuatilia mauzo ya bajaji zake mtaani anazidiwa na watu wenye mitaji midogo inshort Metl biashara ya uwakala huwa anaharibu .mfano tu kashindwa kuziuza kabisa tafe tractors anazidiwa mpaka lovol ya juzi tu
 
nyuma ya iran kuna binaadamu mwenye akili sana anaitwa mrusi ndio tishio la dunia nzima hata technology ya china inatoka russia
Mimi nadhani Iran yuko vizuri kuliko Russia maana amekuwa kwenye vikwazo kwa muda mrefu ila kafanikiwa kuendelea kuliko nchi nyingi sana , Wana mpaka metro walizojenga wao wenyewe
 
Haya Mauritius basi haya bidhaa gani ya media yeye ni distributor🤣🤣🤣🤣
Kaka unataka tuanze kuaibishana hapa kwenye battle ya Dar vs Nairobi?
Sitaki niende details zaidi nakupa tu kidogo

1750833757065.png
 
Nairobi imezingirwa na green spaces uiite pori ni sawa tu, ni sifa kwetu
The place he called pori is a reserved area, Ngong road forest. Inside is Ngong Race course, the only one in East Africa. Ukienda mbele ya hapo unaingia Karen estate, the best residential estate in East and central Africa. But how will he know all these when he lives hundreds of kilometers aways in Tandale?
 
Kaka unataka tuanze kuaibishana hapa kwenye battle ya Dar vs Nairobi?
Sitaki niende details zaidi nakupa tu kidogo

View attachment 3382178
Azampay na Azam media ni vitu viwili tofauti .
Pili kuwa na makao makuu Mauritius sio kwamba haiko chini ya Azam bali waliangalia sehemu ambako soko lilikuwa jepesi na kiukweli Mauritius soko limemkalia vizuri sana , sasa ulitaka aweke ofisi zake tz kwenye soko dogo.
 
Azampay na Azam media ni vitu viwili tofauti .
Pili kuwa na makao makuu Mauritius sio kwamba haiko chini ya Azam bali waliangalia sehemu ambako soko lilikuwa jepesi na kiukweli Mauritius soko limemkalia vizuri sana , sasa ulitaka aweke ofisi zake tz kwenye soko dogo.
Kaka nimekuambia sitaki tena kuendelea. Nimekuonesha kidogo tu ili uunganishe dots. Kama hutaki kutumia ubongo wako mimi sina msaada tena kwako.
 
Kaka nimekuambia sitaki tena kuendelea. Nimekuonesha kidogo tu ili uunganishe dots. Kama hutaki kutumia ubongo wako mimi sina msaada tena kwako.
Wewe ungetaka mjadala ukae vizuri ungeleta value of investment. Mfano Mimi nimekuletea ya bagamoyo tu ila umeshindwa kuleta value hata moja ya Metl .
 
Wewe ungetaka mjadala ukae vizuri ungeleta value of investment. Mfano Mimi nimekuletea ya bagamoyo tu ila umeshindwa kuleta value hata moja ya Metl .
Kaka:
1. Nimekupatia Revenue ya MeTL 2024 kuwa ni $19b (Wewe unaliletea Investment ya $300Ml) upo sawa kweli kaka?
2. Nimekuwekea kuwa MeTL inachangia 5% ya GDP ya Tanzania (Hujaleta chochote)
3. Nimekuwekea Watu walioajiriwa MeTL kuwa 37K+ wewe hujaleta chochote.

Sasa unataka tuendelee na mjadala huu kwa lengo lipi? Huu ubishani wako ni wa kipumbavu
Nakuwekea Statistical Data wewe unakuja na maneno ya kejeli, what the f**k

Leta takwimu kaka. Acha porojo. Mimi nikikuwekea kitu nipo na uhakika huwa siweki porojo.
Nimekuwekea link hii hapa uka ignore ili ujifurahishe tu wewe na nafsi yako with no facts

 
Wewe ungetaka mjadala ukae vizuri ungeleta value of investment. Mfano Mimi nimekuletea ya bagamoyo tu ila umeshindwa kuleta value hata moja ya Metl .
Mo ni mhuni tu.

Sasa hivi anatangazia dunia kuwa anamiliki Simba.

Hata kama ni kweli basi ana hizo 49% ya hisa za Simba, huwezi kusema unamiliki timu kwa kuwa na hisa 49%.

Mo ni tapeli sana.
 
Back
Top Bottom