Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukiangalia nature ya watu ambao wanaongiza kwa remittances mostly ni migrants yaan wakimbizi wakutafuta ajira ndo maana huwez Kuta nchi kama Qatar, usa , Singapore na kadhalika kwa sababu nchi hizo zimepambana kuweka mazingira mazuri kwa raia wao wapate kazi. China na India ni exceptional sababu ziko overpopulated .
Kwahiyo conclusion remittances ni za wakimbizi tu , sasa Tanzania mtu atoke Tanzania eti amesoma zake akimbilie Qatar kuwa mlinzi 🤣🤣🤣🤣🤣. Wakati kuna fursa kibao
Kuuza genge TZ kunalipa zaidi ya kusafisha vyoo qatar
 
Distributor🤣🤣🤣🤣
🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 MeTL kaka ni kubwa sana. Labda Bakhresa asubiri 20 yrs

1750831688350.png
 
Mtake radhi muuza genge , genge limelipia ada ya chuo kwa watoto wanne ,
Kaka uYANGA unakusumbua mpaka unakuwa na chuki na matajiri. Tafuta taarifa sahihi achana na uchabiki usio na maana 🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 👇

 
Nimekuuliza since begining ulete revenue ya Bakhresa hukuleta
Nikakuuliza ulete idadi ya Employees hukuleta.

Sasa unanitaka nilete Envestment ya usd 100ml 🤣 🤣 🤣 🤣 Unachekesha sana wewe.
Nimekuambia MeTL inachangia 5% ya GDP ya Tanzania. Leta mchango wa Bakhresa katika mchango wa Tanzania. Unaleta maneno tu.

Kwanza unatakiwa kujua kuwa AZAM Media ni kampuni ambayo vifaa vyake vyote vimesajiliwa Mauritius
Usitake nianze kufumua hapa tupo kwenye battle ya Dar vs Nairobi.

Ki ufupi Bhakresa biashara zake ni ndogo sana hazina impact kubwa katika uchumi wa Tanzania.
Ushabiki wa kindezi!
 
Mbona kule gaza hao mabwana zako hawataki peace pamoja na kuwa na mateka wao kule ila kuhusu ceasefire hawataki,kwa iran siku 12 tu wameomba ceasefire 😄
Kiuhalisia Israel kapigika sana na mbaya zaid kashampa kiburi Iran Cha kutengeneza nuclear na ataenda kuboresha mifumo yake ya ulinzi mpaka watashangaa. Ilikuwa ni Bora wasingekubali kabisa mpaka Kila kitu kiishe na kuingiza kijesh waikalie Iran ila kwa sasa hapa Israel inaenda kuumizwa sana
 
Mo ana petroleum company, nadhanininaitwa STAR kama sijasahu, ila shida ya biashara ya petrol margin yake ndogo sana.

Il siyo tankers.

Ana yale matenki makubwa Kurasini.
Kaka tema mate chini 🤣 🤣 🤣 🤣 unasema petrol margin yake ndogo.

WEKA USHAHIDI ukilinganisha na biashara ya Sukari​

 
Kaka dunia haiendeshwi kwa emotions. Inaendeshwa kwa facts. Hebu anza kwanza kuwaza nje ya box.


View attachment 3382128

Started in December 2010, Star Oil (T) Ltd isone of MeTL Group’s newest business ventures.Located near Dar es Salaam’s port at Kurasini,the company’s petroleum depots are connectedto four harbour-to-plant pipelines for bulkpetroleum product procurement direct from theKurasini Oil Jetty (KOJ) port into the company’sstorage tanks.

Star Oil’s strategic location allows for fastoffloading capacity, resulting in significantoperational savings. The facility has threeloading gantries, with a loading capacity of 5million litres per day, making Star Oil the mostefficient petroleum depot in Tanzania.

Star Oil’s storage facilities can store 38 million litres of petroleum products. Coupled withthe Group’s reliable and efficient distributionchannels, Star Oils supplies petroleum productsto petrol stations, manufacturing plants, andother bulk consumers of petroleum products,locally and in neighbouring Uganda, Rwanda, the Democratic Republic of Congo, Zambia, Malawi,and Burundi.
😂😂😂😂😂
Kaka hii nimeshaiongelea hapo juu na maelezo marefu sana

View attachment 3382143

View attachment 3382145

View attachment 3382146
mm nimefanya kazi kwenye oil industry over 9 yrs yani hio kampuni hata top 15 haipo
kwenye kampuni kubwa za mafuta tanzania na hii i can assure u bro 😂😂😂 kwamba ana serve sijui uganda congo etc hata mm naeza andika hvo kwenye kampuni yangu ila ikawa sio kweli, bro business inataka akili za uongo sana
 
😂😂😂😂😂

mm nimefanya kazi kwenye oil industry over 9 yrs yani hio kampuni hata top 15 haipo
kwenye kampuni kubwa za mafuta tanzania na hii i can assure u bro 😂😂😂
Sawa kaka mtaalam wa mafuta. Tuambie sasa Biashara za Bhakresa zinazoingiza reveue kubwa kuzidi MeTL.
MeTL inachangia 5% ya GDP ya Tanzania. Tuambie AZAM anachangia kiasi gani.

1750832821395.png
 
Mo ana petroleum company, nadhanininaitwa STAR kama sijasahu, ila shida ya biashara ya petrol margin yake ndogo sana.

Il siyo tankers.

Ana yale matenki makubwa Kurasini.
Hata Azam anayo united petroleum
About
1750832774402.png

With the firm belief that optimal vehicle performance begins with a clean engine, the Bakhresa Group entered the petroleum industry in 2016 by founding United Group Limited to distribute premium refined fuels. In 2017, we released a series of carefully top-of-the-line products under the trade name United Petroleum. Products which are refined to serve our clients who are based mainly in Zanzibar and Dar es Salaam.
Our product range includes, though not limited to, unleaded petrol, Kerosene innovative oils and greases as well as the 50ppm low sulphur content diesel. Our selection is based on products which guarantees optimum performance, outstanding protection, long lubricant life and system efficiency.
While our unleaded petrol is adequate for sophisticated automobiles and is available all-year long, we are compliant to 50 parts per million (PPM) low sulphur Gasoil. We also provide kerosene which fulfils Jet A1 and TBS requirements, making it appropriate for jet propulsion engines, cooking, and lighting.
To ensure the delivery of high-quality products, the Bakhresa Group has invested in cutting-edge facilities and logistics, such as our own depot, a marine charter, tanker trucks, and petrol stations. We are, in fact, the proud owner of Zanzibar’s largest depot currently under construction that will allow us to offer flawless bunkers to sensitive boat engines via serving purified Bunkers


Anazo mpaka meli za mafuta kwa ajili ya kusafirisha

TANKER CHARTER
We are currently spot chartering our marine tanker which is a Lloyds class double hull double bottom tanker. United Spirit 1 IMO no 934751 is of LOA 88.67meters, GRT 2965mt, and Summer Deadweight of 3778mt.

The total cubic capacity is 4173.5m3. It has 6 cargo pumps with separated pipelines and two pumps can run simultaneously with discharge capacity of 550m3 per hr.
 
Kiuhalisia Israel kapigika sana na mbaya zaid kashampa kiburi Iran Cha kutengeneza nuclear na ataenda kuboresha mifumo yake ya ulinzi mpaka watashangaa. Ilikuwa ni Bora wasingekubali kabisa mpaka Kila kitu kiishe na kuingiza kijesh waikalie Iran ila kwa sasa hapa Israel inaenda kuumizwa sana
bro mzungu anaogopa sana nucleur so wao wanajua tayar iran anayo nucleur hata juzi alipopiga america amepiga hewa wanakwambia mifumo yao ya nucleur iko over 200m underground ambayo hakuna bomb lolote linaweza fika na wana mufumo ya kutishia dunia so hata wao wanajua hawawez enda kichwa kichwa
 
Back
Top Bottom