Ngoja tukuwekee mchanganuo wa ukweli na uache kudanganya watu:
Tangu ilipoanza SGR ya Kenya rasmi shughuli za usafirishaji mizigo tarehe 1 Januari 2018 hadi leo, tarehe 27 Juni 2025, SGR imekuwa ikifanya kazi kwa jumla ya takriban
siku 2,369.
Taarifa zinaonyesha kuwa kuna kati ya
treni 8 hadi 17 za mizigo zinazofanya kazi kila siku.
Kwa kuzingatia jumla ya tani zilizosafirishwa na idadi ya siku za kazi, wastani wa tani za mizigo zinazosafirishwa na SGR kwa siku ni takriban
tani 12,663.
Wastani wa tani kwa kila treni moja ya mizigo ya SGR ni takriban
tani 1,013.
Soma source ya taarifa hapa:
Kenya's SGR train transports 14.8 mln passengers since inception-
english.news.cn
ACHA UONGO