Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnapeleka Burundi? Burundi na Mwanza ina mizigo gani?😂😂😂
Sasa kama Dodoma ina mzigo, Mwanza inakosaje mizigo??

Unasema Burundi hana Mizigo, kwani anafanyia wapi importation huyo Burundi.

DRC ana import kutokea wapi?

Shida yenu mnakaa hapo Nairobi, hata geography hamjui.
 
Sasa kama Dodoma ina mzigo, Mwanza inakosaje mizigo??

Unasema Burundi hana Mizigo, kwani anafanyia wapi importation huyo Burundi.

DRC ana import kutokea wapi?

Shida yenu mnakaa hapo Nairobi, hata geography hamjui.
Maybe mizigo ya kalongolongo 😂😂😂.

Was your SGR designed to carry 2 tonnes to Mwanza?
 
Our SGR is currently doing 21,000 tonnes per day. So kama ulidanganywa our capacity is capped at 4,000 then shauri yako 😂 😂 😂 🤡

Ngoja tukuwekee mchanganuo wa ukweli na uache kudanganya watu:

Tangu ilipoanza SGR ya Kenya rasmi shughuli za usafirishaji mizigo tarehe 1 Januari 2018 hadi leo, tarehe 27 Juni 2025, SGR imekuwa ikifanya kazi kwa jumla ya takriban siku 2,369.

Taarifa zinaonyesha kuwa kuna kati ya treni 8 hadi 17 za mizigo zinazofanya kazi kila siku.

Kwa kuzingatia jumla ya tani zilizosafirishwa na idadi ya siku za kazi, wastani wa tani za mizigo zinazosafirishwa na SGR kwa siku ni takriban tani 12,663.

Wastani wa tani kwa kila treni moja ya mizigo ya SGR ni takriban tani 1,013.

Soma source ya taarifa hapa:


ACHA UONGO

 
Kwani ni mashindano.

Kipa shirika lina utaratibu wake. Planning hazifanani

Ndio maana sisi tuna electric nyinyi mna diesel.

Ninyi mlichagua kutoa Mombasa kwenda Nairobi, Naivasha.

Sisi tunapeleka Mwanza, Burundi.
In short, you are confirming that your sgr has no cargo business going to Mwanza from Dar port. Nyinyi mlijebga tu ilimradi ifike Mwanza, economic sense notwithstanding
 
In short, you are confirming that your sgr has no cargo business going to Mwanza from Dar port. Nyinyi mlijebga tu ilimradi ifike Mwanza, economic sense notwithstanding
Today is the first day of Cargo transportation.

TRC has began with just a single client, Azania Group with 700 tonnes, to Dodoma.

As a trial.

What's all of these stupid arguments for.

Anyway, SGR has no Cargo, now enjoy If that makes you happy.
 
Mw
Ngoja tukuwekee mchanganuo wa ukweli na uache kudanganya watu:

Tangu ilipoanza SGR ya Kenya rasmi shughuli za usafirishaji mizigo tarehe 1 Januari 2018 hadi leo, tarehe 27 Juni 2025, SGR imekuwa ikifanya kazi kwa jumla ya takriban siku 2,369.

Taarifa zinaonyesha kuwa kuna kati ya treni 8 hadi 17 za mizigo zinazofanya kazi kila siku.

Kwa kuzingatia jumla ya tani zilizosafirishwa na idadi ya siku za kazi, wastani wa tani za mizigo zinazosafirishwa na SGR kwa siku ni takriban tani 12,663.

Wastani wa tani kwa kila treni moja ya mizigo ya SGR ni takriban tani 1,013.

Soma source ya taarifa hapa:

ACHA UONGO

Mwambie treni hapo haijafanikiwa kuingiza bandarin ni kuanzia pugu
 
Ngoja tukuwekee mchanganuo wa ukweli na uache kudanganya watu:

Tangu ilipoanza SGR ya Kenya rasmi shughuli za usafirishaji mizigo tarehe 1 Januari 2018 hadi leo, tarehe 27 Juni 2025, SGR imekuwa ikifanya kazi kwa jumla ya takriban siku 2,369.

Taarifa zinaonyesha kuwa kuna kati ya treni 8 hadi 17 za mizigo zinazofanya kazi kila siku.

Kwa kuzingatia jumla ya tani zilizosafirishwa na idadi ya siku za kazi, wastani wa tani za mizigo zinazosafirishwa na SGR kwa siku ni takriban tani 12,663.

Wastani wa tani kwa kila treni moja ya mizigo ya SGR ni takriban tani 1,013.

Soma source ya taarifa hapa:

ACHA UONGO

No wonder you are gay. Our trains are currently doing 21,000 tonnes a day.

1000012275.jpg
 
Kwa siku mnasafirisha tani 12,663 treni 8 hadi 17 za mizigo. Wastani wa takriban tani 1,013 kwa kila treni. Kwikwikwikwikwi
Pole Sana gay. Unaongea hapa yet your trains are doing less than 700 tonnes a day?

Kenyan trains does 21,000 a day.




1000012275.jpg
 
Yaan hapa hata gunia moja la mbaazi mmeshindwa kusafirisha , kweli hii kitu ni hasara tupu

View: https://vm.tiktok.com/ZMSHyRQbs/

Nilikuambia upunguze kiherehere hutaki kuskia, hii ni MGR train specifically dedicated kubeba chuma kutoka kwa kiwanda cha Devki in Kwale. Yani kiwanda ni kubwa hadi ikona train yake, najua huko bongoslum hamjazoea kitu kama hio. 😄
 
Back
Top Bottom