Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

On our first trip SGR did 4,000 tonnes. Again I’m not sure Kama ni ya mtu mmoja but if it’s true then you have just confirmed my point that your cargo train will have no customers since 90% of Cargo at Dar Port end in Dar is slum. The remaining 7% goes to Zambia, Malawi and Zimbabwe, only 1% goes to Dodoma and Mwanza😂😂

Uongo wa wazi wazi​


Safari ya kwanza ya kibiashara ya treni ya mizigo ya Standard Gauge Railway (SGR) nchini Kenya, iliyofanyika tarehe 1 Januari 2018, ilibeba jumla ya makontena 104.

Ya Tanzania haijabeba container.

Also 4,000 tonnes is a maximum capacity of Kenya SGR na si vinginevyo
 
On our first trip SGR did 4,000 tonnes. Again I’m not sure Kama ni ya mtu mmoja but if it’s true then you have just confirmed my point that your cargo train will have no customers since 90% of Cargo at Dar Port end in Dar is slum. The remaining 7% goes to Zambia, Malawi and Zimbabwe, only 1% goes to Dodoma and Mwanza😂😂
Mnapenda sana virtual things 🤣 🤣 🤣 🤣

KigezoSGR ya KenyaSGR ya Tanzania
Axle Load25 tani kwa axle35 tani kwa axle
Uwezo wa Gari Moja~60–80 tani (makadirio ya kawaida)120 tani kwa gari moja
Idadi ya Magari kwa Treni~108 TEUs (makontena)Takriban 100+ (inategemea uzito na urefu)
Uwezo wa Treni Moja~3,000–4,000 taniHadi 10,000 tani kwa safari moja
Uwezo wa Mwaka~6 milioni tani (malengo ya Kenya Railways)Hadi 17 milioni tani (kwa mfumo mzima)
Design Speed ya Mizigo80 km/h120 km/h (kwa treni za mizigo)
Nguvu ya Injini~4,000 HP8,000 HP (locomotives za kisasa zaidi)
 
Kwani ni mashindano.

Kipa shirika lina utaratibu wake. Planning hazifanani

Ndio maana sisi tuna electric nyinyi mna diesel.

Ninyi mlichagua kutoa Mombasa kwenda Nairobi, Naivasha.

Sisi tunapeleka Mwanza, Burundi.
Mnapeleka Burundi? Burundi na Mwanza ina mizigo gani?😂😂😂
 
Also 4,000 tonnes is a maximum capacity of Kenya SGR na si vinginevyo
Our SGR is currently doing 21,000 tonnes per day. So kama ulidanganywa our capacity is capped at 4,000 then shauri yako 😂 😂 😂 🤡
 
Mnapenda sana virtual things 🤣 🤣 🤣 🤣

KigezoSGR ya KenyaSGR ya Tanzania
Axle Load25 tani kwa axle35 tani kwa axle
Uwezo wa Gari Moja~60–80 tani (makadirio ya kawaida)120 tani kwa gari moja
Idadi ya Magari kwa Treni~108 TEUs (makontena)Takriban 100+ (inategemea uzito na urefu)
Uwezo wa Treni Moja~3,000–4,000 taniHadi 10,000 tani kwa safari moja
Uwezo wa Mwaka~6 milioni tani (malengo ya Kenya Railways)Hadi 17 milioni tani (kwa mfumo mzima)
Design Speed ya Mizigo80 km/h120 km/h (kwa treni za mizigo)
Nguvu ya Injini~4,000 HP8,000 HP (locomotives za kisasa zaidi)
Treni haijaingia bandarin bado
 
Mnapenda sana virtual things 🤣 🤣 🤣 🤣

KigezoSGR ya KenyaSGR ya Tanzania
Axle Load25 tani kwa axle35 tani kwa axle
Uwezo wa Gari Moja~60–80 tani (makadirio ya kawaida)120 tani kwa gari moja
Idadi ya Magari kwa Treni~108 TEUs (makontena)Takriban 100+ (inategemea uzito na urefu)
Uwezo wa Treni Moja~3,000–4,000 taniHadi 10,000 tani kwa safari moja
Uwezo wa Mwaka~6 milioni tani (malengo ya Kenya Railways)Hadi 17 milioni tani (kwa mfumo mzima)
Design Speed ya Mizigo80 km/h120 km/h (kwa treni za mizigo)
Nguvu ya Injini~4,000 HP8,000 HP (locomotives za kisasa zaidi)
Hizi vitu unatuonyesha ndio virtual. On ground our SGR is doing 21,000 tonnes a day while yours is doing 700 tonnes😂😂
 
Sasa kama Dodoma ina mzigo, Mwanza inakosaje mizigo??

Unasema Burundi hana Mizigo, kwani anafanyia wapi importation huyo Burundi.

DRC ana import kutokea wapi?

Shida yenu mnakaa hapo Nairobi, hata geography hamjui.
Maybe mizigo ya kalongolongo 😂😂😂.

Was your SGR designed to carry 2 tonnes to Mwanza?
 
Our SGR is currently doing 21,000 tonnes per day. So kama ulidanganywa our capacity is capped at 4,000 then shauri yako 😂 😂 😂 🤡

Ngoja tukuwekee mchanganuo wa ukweli na uache kudanganya watu:

Tangu ilipoanza SGR ya Kenya rasmi shughuli za usafirishaji mizigo tarehe 1 Januari 2018 hadi leo, tarehe 27 Juni 2025, SGR imekuwa ikifanya kazi kwa jumla ya takriban siku 2,369.

Taarifa zinaonyesha kuwa kuna kati ya treni 8 hadi 17 za mizigo zinazofanya kazi kila siku.

Kwa kuzingatia jumla ya tani zilizosafirishwa na idadi ya siku za kazi, wastani wa tani za mizigo zinazosafirishwa na SGR kwa siku ni takriban tani 12,663.

Wastani wa tani kwa kila treni moja ya mizigo ya SGR ni takriban tani 1,013.

Soma source ya taarifa hapa:


ACHA UONGO

 
Kwani ni mashindano.

Kipa shirika lina utaratibu wake. Planning hazifanani

Ndio maana sisi tuna electric nyinyi mna diesel.

Ninyi mlichagua kutoa Mombasa kwenda Nairobi, Naivasha.

Sisi tunapeleka Mwanza, Burundi.
In short, you are confirming that your sgr has no cargo business going to Mwanza from Dar port. Nyinyi mlijebga tu ilimradi ifike Mwanza, economic sense notwithstanding
 
In short, you are confirming that your sgr has no cargo business going to Mwanza from Dar port. Nyinyi mlijebga tu ilimradi ifike Mwanza, economic sense notwithstanding
Today is the first day of Cargo transportation.

TRC has began with just a single client, Azania Group with 700 tonnes, to Dodoma.

As a trial.

What's all of these stupid arguments for.

Anyway, SGR has no Cargo, now enjoy If that makes you happy.
 
Mw
Ngoja tukuwekee mchanganuo wa ukweli na uache kudanganya watu:

Tangu ilipoanza SGR ya Kenya rasmi shughuli za usafirishaji mizigo tarehe 1 Januari 2018 hadi leo, tarehe 27 Juni 2025, SGR imekuwa ikifanya kazi kwa jumla ya takriban siku 2,369.

Taarifa zinaonyesha kuwa kuna kati ya treni 8 hadi 17 za mizigo zinazofanya kazi kila siku.

Kwa kuzingatia jumla ya tani zilizosafirishwa na idadi ya siku za kazi, wastani wa tani za mizigo zinazosafirishwa na SGR kwa siku ni takriban tani 12,663.

Wastani wa tani kwa kila treni moja ya mizigo ya SGR ni takriban tani 1,013.

Soma source ya taarifa hapa:

ACHA UONGO

Mwambie treni hapo haijafanikiwa kuingiza bandarin ni kuanzia pugu
 
Back
Top Bottom