Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Una ujinga mwingi si bora hao hata piki piki hawa vipi?
1000005935.png
 
Lakini hutopata Wakenya wakimshukuru Rais kwa kuwapea chapati. Watachukua, wakule alafu wamwambie aache ujinga.
Wakenya gani?

Siasa za Kenya ni siasa za ASS KISSERS wa TRIBAL KINGPINS.

Hata Wakale wanamuona Ruto kama mungu. Na Kamnunua Odinga na kuipa familia ya Odinga vyeo, kanunua misukule wote wa kijaluo nyuma ya Odinga.

Stupid
 
Wakenya gani?

Siasa za Kenya ni siasa za ASS KISSERS wa TRIBAL KINGPINS.

Hata Wakale wanamuona Ruto kama mungu. Na Kamnunua Odinga na kuipa familia ya Odinga vyeo, kanunua misukule wote wa kijaluo nyuma ya Odinga.

Stupid
Kenya sio Bongolala nchi ya machawa wee mwendazimu.
 
Which hood is this ?
I think it's somewhere in Kiambu. So many wealthy planned estates getting constructed there currently Since Kenyatta Family and co. started disposing off their land. I supervised one of them for sometime before I left. That area between Tatu City and Thika is buzzling. When I get back I'll get a drone and do some videos.
 
Back
Top Bottom