Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe ni kitu wamezoea. 🤣 🤣 🤣

Image
 
Kumbe ni kitu wamezoea. 🤣 🤣 🤣

Image
Hapo siyo Tanzania ni Kenya
wameitrim hii picha ili tusiwezepata source yake. Hiyo ni Kenya.

Hii hapa ni "Fast Food" Huwezi pata migawa ya uswazi wanaandika Kingereza Tanzania.
1750885244099.png


Watu hawavai Chachacha Tanzania. Hii ni product juakali ya Bata huko Kenya.
1750885313204.png
 
Ndio mchezo mkuu bado tunajenga timu.
ulishawah sikia club kubwa kama realmadrid inajenga team? au hamujui maana ya kujenga team 😂😂😂😂

huo msemo wa kujenga team ni msemo ambao viongozi wa simba wanajificha humo haiwesekan team kubwa kama ya simba ikawa inajenga team never ever
 
ulishawah sikia club kubwa kama realmadrid inajenga team? au hamujui maana ya kujenga team 😂😂😂😂

huo msemo wa kujenga team ni msemo ambao viongozi wa simba wanajificha humo haiwesekan team kubwa kama ya simba ikawa inajenga team never ever
Wacha kelele utopolo!
 
Back
Top Bottom