President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Hebu tuambie wana JF huwa unatumia tools zipi za AI kutengeneza picha za uhalisia?Picha za AI zinajulikana, kama wewe hujui kutofautisha, basi hio ni shauri yako.
Hebu tuambie wana JF huwa unatumia tools zipi za AI kutengeneza picha za uhalisia?Picha za AI zinajulikana, kama wewe hujui kutofautisha, basi hio ni shauri yako.
Kumbe ni kitu wamezoea. 🤣 🤣 🤣
Hapo siyo Tanzania ni KenyaKumbe ni kitu wamezoea. 🤣 🤣 🤣
![]()
Hii picha ni 2017 kutoka kwa Ramadhan Gale, Dodoma (twitter). Nakumbushia tu tupo 2025😁.
Kumbe ni kitu wamezoea. 🤣 🤣 🤣
![]()
wameitrim hii picha ili tusiwezepata source yake. Hiyo ni Kenya.Hapo siyo Tanzania ni Kenya
Hapana ni miaka ya 30's.Miaka ya 90s
wameitrim hii picha ili tusiwezepata source yake. Hiyo ni Kenya.
Hii hapa ni "Fast Food" Huwezi pata migawa ya uswazi wanaandika Kingereza Tanzania.
View attachment 3383587
Watu hawavai Chachacha Tanzania. Hii ni product juakali ya Bata huko Kenya.
View attachment 3383590
Kenya hatubebi magari kwa mikokoteni. Wacha kufanya guess work za kipumbavu, kama umekosa source sema usaidiwe.
View: https://x.com/Nipashetz/status/1010404838201548806
mwambieni mo aache utapeli naskia kuna watu hawajalipwa miez miwili😂😂Nawapongeza watani we will come back stronger next time. Tunageukia usajili na Champions League sasa.
ulishawah sikia club kubwa kama realmadrid inajenga team? au hamujui maana ya kujenga team 😂😂😂😂Ndio mchezo mkuu bado tunajenga timu.
View: https://vm.tiktok.com/ZNdyMLtYf/ looks ukunyan ukivaa jezi ya Yanga basi umeyapatia,huyu demu wa kikunya hii jezi aivui huko tiktok
Wacha kelele utopolo!ulishawah sikia club kubwa kama realmadrid inajenga team? au hamujui maana ya kujenga team 😂😂😂😂
huo msemo wa kujenga team ni msemo ambao viongozi wa simba wanajificha humo haiwesekan team kubwa kama ya simba ikawa inajenga team never ever