Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata ungekuwa wewe ungekubali? Yaan picha unaanza kuipata kwa abiria . View attachment 3382465
Hiyo treni bado saa moja tu na siku zipo tatu tu kwa trip .
Zingekuwa nne je? Kule premium wanakojisifia ndo kabisa wamebakiza 44 na ni behewa moja tu.
Kule dom mchongoko ishauza siti 450 safar sa 12 jion🤣🤣🤣🤣
Sgr train ya Kenya Moja inabeba swa na mbili za vumbistan
 
IMG_2239.png
 
Lakini hutopata Wakenya wakimshukuru Rais kwa kuwapea chapati. Watachukua, wakule alafu wamwambie aache ujinga.
Wakenya gani?

Siasa za Kenya ni siasa za ASS KISSERS wa TRIBAL KINGPINS.

Hata Wakale wanamuona Ruto kama mungu. Na Kamnunua Odinga na kuipa familia ya Odinga vyeo, kanunua misukule wote wa kijaluo nyuma ya Odinga.

Stupid
 
Wakenya gani?

Siasa za Kenya ni siasa za ASS KISSERS wa TRIBAL KINGPINS.

Hata Wakale wanamuona Ruto kama mungu. Na Kamnunua Odinga na kuipa familia ya Odinga vyeo, kanunua misukule wote wa kijaluo nyuma ya Odinga.

Stupid
Kenya sio Bongolala nchi ya machawa wee mwendazimu.
 
Back
Top Bottom