NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,975
Maasai conman ni mgani?😂ichoboy01 alisema haitajengwa na watchman plus Baboonman wakampiga jeki huko Maasai conman akiweka like.
Maasai conman ni mgani?😂ichoboy01 alisema haitajengwa na watchman plus Baboonman wakampiga jeki huko Maasai conman akiweka like.
Mkataba wa jezi, ni Tsh 3,000.Embu tuambie mkataba wa jezi Yanga anapata sh. ngapi? pia kuvaa logo ya GSM timu inapokea sh ngapi?
Umepata T-shirt yako?Muwaambie sasa LUO wasitupie Flying Toilet humo. Maana baada ya miezi mitatu hapa patajaa plastics
China owned studium
Makwapa stadiumChina owned studium
Sawa msee wa Chinese toll nationalMakwapa stadium
Sgr train ya Kenya Moja inabeba swa na mbili za vumbistanHata ungekuwa wewe ungekubali? Yaan picha unaanza kuipata kwa abiria . View attachment 3382465
Hiyo treni bado saa moja tu na siku zipo tatu tu kwa trip .
Zingekuwa nne je? Kule premium wanakojisifia ndo kabisa wamebakiza 44 na ni behewa moja tu.
Kule dom mchongoko ishauza siti 450 safar sa 12 jion🤣🤣🤣🤣
Benjamin makwapa Chinese grantSawa msee wa Chinese toll national
Hivi kenya kuna sgr au gari moshi?Sgr train ya Kenya Moja inabeba swa na mbili za vumbistan
sasa hawa masanamu wamekosea nn😂
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1937850918029975743?s=46
Eh? Unasema ni wale wa kuitisha details za watu alafu wanafagilia account?😂