Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakati wanaume wenzako wanafanya kazi to earn some respectable amount of money, wewe unascam watanzania to earn 363 bob 😂😂😂🤡
Na bado utaumia sana.
IMG_4429.jpeg
 
Mchina hana hela ya kupoteza
Hata ungekuwa wewe ungekubali? Yaan picha unaanza kuipata kwa abiria .
chrome_screenshot_Jun 25, 2025 1_03_18 PM GMT+03_00.png

Hiyo treni bado saa moja tu na siku zipo tatu tu kwa trip .
Zingekuwa nne je? Kule premium wanakojisifia ndo kabisa wamebakiza 44 na ni behewa moja tu.
Kule dom mchongoko ishauza siti 450 safar sa 12 jion🤣🤣🤣🤣
 
Nilisema hapa jana,kwenye post inayohusu TZ,kunyan ucomment upumbavu sababu ya wivu
Wakenya wanaumia sana. Naona na Waganda wameanza kuwaiga wakenya. Hakuna Mtanzania anaweza kwenda kwenye page ya mtu amepost kuhusu Kenya a comments Tanzania

Mtu mpaka anapanga safari yake kutoka huko maana yake kafanya research
 
Back
Top Bottom