Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaka unaandika porojo tu hapa. Wewe ndiye uliyesema Bakhresa(AZAM) ni kampuni kubwa kuliko MeTL. Tumekuomba ulete ushahidi ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ eti unaniambia niende vingunguti nitaona namna AZAM ilivyo. Kaka hapa unajadiliana na msomi mwenye details nyingi. Ukija na arguments zako za vijiwe vya kahawa utagonga mwamba.

Mpaka sasa hivi ni zaidi ya pages 7 hujaleta uthibitisho wowote kuhusu AZAM kuwa ni kubwa.
Wewe umebase kwenye turnover tu.
Mimi nilichokuambia ni kuwa tuangalia thaman ya uwekezaji wa mo versus Azam kwa sasa na sababu nyingine nilikuambia Azam inasomeka kama group kuna wamiliki mbali ambao wako chini ya Azam .
Mfano tu azampay founder ni firas Ahmad na imebase sana Mauritius , ila nayo Iko chini ya Azam, Azam media Iko chini ya mtu mwingine kabisa. Ukija kwenye viwanda msimamizi wa viwanda vya ngano letsay moz ni mwingine .sasa kwenye makubaliano hatujui ila hata ukiingia kwa website yao utaona Kila division Iko chini ya mtu mwingine
Metl division zote iwe ngano, mafuta zote ziko chini yake .
 
Post yako tuone mbona unapost ya mwanaume.
Huyo mwanaume mwingine ako na 375 bob kwa account yake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

No wonder last time ulienda kuokota bank slip, ingine ulijitengenezea ukakata na ruler๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hapa nalogin kwenye Remitano account yangu ili aumje zaidi.
Kumbe wewe ni conman?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ni kama umezoea kuedit balances zako to cheat gullible followers, Leo umekutana na mwamba akakuexpose vilivyo. Ebu tuonyeshe uko na coins ngapi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wewe umebase kwenye turnover tu.
Mimi nilichokuambia ni kuwa tuangalia thaman ya uwekezaji wa mo versus Azam kwa sasa na sababu nyingine nilikuambia Azam inasomeka kama group kuna wamiliki mbali ambao wako chini ya Azam .
Mfano tu azampay founder ni firas Ahmad na imebase sana Mauritius , ila nayo Iko chini ya Azam, Azam media Iko chini ya mtu mwingine kabisa. Ukija kwenye viwanda msimamizi wa viwanda vya ngano letsay moz ni mwingine .sasa kwenye makubaliano hatujui ila hata ukiingia kwa website yao utaona Kila division Iko chini ya mtu mwingine
Metl division zote iwe ngano, mafuta zote ziko chini yake .
Kaka sijui unaelewa ulichoandika. Nimekueleza tangu mwanzo.
Bakhresa is a Group of Companies na MeTL is also Group of Companies. MeTL siyo Company moja kaka.

Mfano: 21st Century Textiles Limited ni kiwanda cha utengenezaji wa nguo kipo chini ya MeTL Group
Mashuka yote ya wamasai unayaona yanatengenezwa hapo.
Nguo zote za manesi na madkatari Tanzania zinatengenzwa hapo
more 70% ya Khanga na Vitenge Tanzania vinazalishwa hapo.
Magunia, Kamba na nyuzi za katani zote zinazalishwa hapo.

Kaka unatakiwa ufanye research kwanza. MeTL siyo Mo Energy na Mo Cola tu kaka. Ni kampuni kubwa sana ya miaka mingi. Ilianzishwa mwaka 1970.

Kama utahitaji details zingine nitakupatia.
 
Once umeskia mtu anaongelea bitcoin and Forex just know that there is 99% chance that person is a scammer. Sikujua Maasai pia anaweza kuwa scammer ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Once umeskia mtu anaongelea bitcoin and Forex just know that there is 99% chance that person is a scammer. Sikujua Maasai pia anaweza kuwa scammer ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mbona unarusha mawe kwa mbali, post bank statement yako inayoonesha total transaction.
 
Wewe umebase kwenye turnover tu.
Mimi nilichokuambia ni kuwa tuangalia thaman ya uwekezaji wa mo versus Azam kwa sasa na sababu nyingine nilikuambia Azam inasomeka kama group kuna wamiliki mbali ambao wako chini ya Azam .
Mfano tu azampay founder ni firas Ahmad na imebase sana Mauritius , ila nayo Iko chini ya Azam, Azam media Iko chini ya mtu mwingine kabisa. Ukija kwenye viwanda msimamizi wa viwanda vya ngano letsay moz ni mwingine .sasa kwenye makubaliano hatujui ila hata ukiingia kwa website yao utaona Kila division Iko chini ya mtu mwingine
Metl division zote iwe ngano, mafuta zote ziko chini yake .
Kaka

21st Century Textiles Limited​

1750844462025.png

21st Century Textiles produces high-quality cotton and blended yarns, woven and knitted fabrics, and finished garments. Staple products include Wax Kitenge, Khanga, Batiki fabric, household linens, yarn-dyed wrappers, such as Maasai cloth and kikoi, PV Suiting for uniforms, grey and canvas fabric, cotton yarn (for export), and finished woven garments, such as Security Uniforms, PPEs (Overall โ€“ Overcoat), Hospital Uniforms, School Uniforms, and a range of Round neck and Polo T-shirts.
 
Demo account kwenye Remitano! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tangu lini Remitano wana demo accounts!
That's a Demo account, prove me wrong kama wewe ni real man. Ebu transfer all those coins kama indeed that's not a Demo account. Leo nimekushika shingo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom