babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Post yako tuone mbona unapost ya mwanaume.
Post yako tuone mbona unapost ya mwanaume.
Wewe umebase kwenye turnover tu.Kaka unaandika porojo tu hapa. Wewe ndiye uliyesema Bakhresa(AZAM) ni kampuni kubwa kuliko MeTL. Tumekuomba ulete ushahidi ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ eti unaniambia niende vingunguti nitaona namna AZAM ilivyo. Kaka hapa unajadiliana na msomi mwenye details nyingi. Ukija na arguments zako za vijiwe vya kahawa utagonga mwamba.
Mpaka sasa hivi ni zaidi ya pages 7 hujaleta uthibitisho wowote kuhusu AZAM kuwa ni kubwa.
Huyo mwanaume mwingine ako na 375 bob kwa account yake ๐๐๐.Post yako tuone mbona unapost ya mwanaume.
Kumbe wewe ni conman?๐๐๐Hapa nalogin kwenye Remitano account yangu ili aumje zaidi.
Kaka sijui unaelewa ulichoandika. Nimekueleza tangu mwanzo.Wewe umebase kwenye turnover tu.
Mimi nilichokuambia ni kuwa tuangalia thaman ya uwekezaji wa mo versus Azam kwa sasa na sababu nyingine nilikuambia Azam inasomeka kama group kuna wamiliki mbali ambao wako chini ya Azam .
Mfano tu azampay founder ni firas Ahmad na imebase sana Mauritius , ila nayo Iko chini ya Azam, Azam media Iko chini ya mtu mwingine kabisa. Ukija kwenye viwanda msimamizi wa viwanda vya ngano letsay moz ni mwingine .sasa kwenye makubaliano hatujui ila hata ukiingia kwa website yao utaona Kila division Iko chini ya mtu mwingine
Metl division zote iwe ngano, mafuta zote ziko chini yake .
Mbona unarusha mawe kwa mbali, post bank statement yako inayoonesha total transaction.Once umeskia mtu anaongelea bitcoin and Forex just know that there is 99% chance that person is a scammer. Sikujua Maasai pia anaweza kuwa scammer ๐๐๐
KakaWewe umebase kwenye turnover tu.
Mimi nilichokuambia ni kuwa tuangalia thaman ya uwekezaji wa mo versus Azam kwa sasa na sababu nyingine nilikuambia Azam inasomeka kama group kuna wamiliki mbali ambao wako chini ya Azam .
Mfano tu azampay founder ni firas Ahmad na imebase sana Mauritius , ila nayo Iko chini ya Azam, Azam media Iko chini ya mtu mwingine kabisa. Ukija kwenye viwanda msimamizi wa viwanda vya ngano letsay moz ni mwingine .sasa kwenye makubaliano hatujui ila hata ukiingia kwa website yao utaona Kila division Iko chini ya mtu mwingine
Metl division zote iwe ngano, mafuta zote ziko chini yake .
Thanks for showing us Demo account. Next?Post bank statement yako inayoonesha total transaction amount, unaogopa au hauna.
Sasa leo ngoja tuone ni nani primitive.
View attachment 3382405
Hauna statement?Kumbe wewe ni conman?๐๐๐
Ni kama umezoea kuedit balances zako to cheat gullible followers, Leo umekutana na mwamba akakuexpose vilivyo. Ebu tuonyeshe uko na coins ngapi๐๐
Bank statement yangu haina 375 bob kama yako๐๐๐Mbona unarusha mawe kwa mbali, post bank statement yako inayoonesha total transaction.
Demo account kwenye Remitano! ๐๐๐Thanks for showing us Demo account. Next?
Actually you are the most Primitive here and I have exposed you several times.
Wewe ni Scammer๐๐๐.Hauna statement?
That's a Demo account, prove me wrong kama wewe ni real man. Ebu transfer all those coins kama indeed that's not a Demo account. Leo nimekushika shingo๐๐Demo account kwenye Remitano! ๐๐๐
Tangu lini Remitano wana demo accounts!