Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa nalogin kwenye Remitano account yangu ili aumje zaidi.
Kumbe wewe ni conman?😂😂😂

Ni kama umezoea kuedit balances zako to cheat gullible followers, Leo umekutana na mwamba akakuexpose vilivyo. Ebu tuonyeshe uko na coins ngapi😂😂
 
Wewe umebase kwenye turnover tu.
Mimi nilichokuambia ni kuwa tuangalia thaman ya uwekezaji wa mo versus Azam kwa sasa na sababu nyingine nilikuambia Azam inasomeka kama group kuna wamiliki mbali ambao wako chini ya Azam .
Mfano tu azampay founder ni firas Ahmad na imebase sana Mauritius , ila nayo Iko chini ya Azam, Azam media Iko chini ya mtu mwingine kabisa. Ukija kwenye viwanda msimamizi wa viwanda vya ngano letsay moz ni mwingine .sasa kwenye makubaliano hatujui ila hata ukiingia kwa website yao utaona Kila division Iko chini ya mtu mwingine
Metl division zote iwe ngano, mafuta zote ziko chini yake .
Kaka sijui unaelewa ulichoandika. Nimekueleza tangu mwanzo.
Bakhresa is a Group of Companies na MeTL is also Group of Companies. MeTL siyo Company moja kaka.

Mfano: 21st Century Textiles Limited ni kiwanda cha utengenezaji wa nguo kipo chini ya MeTL Group
Mashuka yote ya wamasai unayaona yanatengenezwa hapo.
Nguo zote za manesi na madkatari Tanzania zinatengenzwa hapo
more 70% ya Khanga na Vitenge Tanzania vinazalishwa hapo.
Magunia, Kamba na nyuzi za katani zote zinazalishwa hapo.

Kaka unatakiwa ufanye research kwanza. MeTL siyo Mo Energy na Mo Cola tu kaka. Ni kampuni kubwa sana ya miaka mingi. Ilianzishwa mwaka 1970.

Kama utahitaji details zingine nitakupatia.
 
Once umeskia mtu anaongelea bitcoin and Forex just know that there is 99% chance that person is a scammer. Sikujua Maasai pia anaweza kuwa scammer 😂😂😂
 
Once umeskia mtu anaongelea bitcoin and Forex just know that there is 99% chance that person is a scammer. Sikujua Maasai pia anaweza kuwa scammer 😂😂😂
Mbona unarusha mawe kwa mbali, post bank statement yako inayoonesha total transaction.
 
Wewe umebase kwenye turnover tu.
Mimi nilichokuambia ni kuwa tuangalia thaman ya uwekezaji wa mo versus Azam kwa sasa na sababu nyingine nilikuambia Azam inasomeka kama group kuna wamiliki mbali ambao wako chini ya Azam .
Mfano tu azampay founder ni firas Ahmad na imebase sana Mauritius , ila nayo Iko chini ya Azam, Azam media Iko chini ya mtu mwingine kabisa. Ukija kwenye viwanda msimamizi wa viwanda vya ngano letsay moz ni mwingine .sasa kwenye makubaliano hatujui ila hata ukiingia kwa website yao utaona Kila division Iko chini ya mtu mwingine
Metl division zote iwe ngano, mafuta zote ziko chini yake .
Kaka

21st Century Textiles Limited​

1750844462025.png

21st Century Textiles produces high-quality cotton and blended yarns, woven and knitted fabrics, and finished garments. Staple products include Wax Kitenge, Khanga, Batiki fabric, household linens, yarn-dyed wrappers, such as Maasai cloth and kikoi, PV Suiting for uniforms, grey and canvas fabric, cotton yarn (for export), and finished woven garments, such as Security Uniforms, PPEs (Overall – Overcoat), Hospital Uniforms, School Uniforms, and a range of Round neck and Polo T-shirts.
 
Demo account kwenye Remitano! 😂😂😂
Tangu lini Remitano wana demo accounts!
That's a Demo account, prove me wrong kama wewe ni real man. Ebu transfer all those coins kama indeed that's not a Demo account. Leo nimekushika shingo😂😂
 
Wewe umebase kwenye turnover tu.
Mimi nilichokuambia ni kuwa tuangalia thaman ya uwekezaji wa mo versus Azam kwa sasa na sababu nyingine nilikuambia Azam inasomeka kama group kuna wamiliki mbali ambao wako chini ya Azam .
Mfano tu azampay founder ni firas Ahmad na imebase sana Mauritius , ila nayo Iko chini ya Azam, Azam media Iko chini ya mtu mwingine kabisa. Ukija kwenye viwanda msimamizi wa viwanda vya ngano letsay moz ni mwingine .sasa kwenye makubaliano hatujui ila hata ukiingia kwa website yao utaona Kila division Iko chini ya mtu mwingine
Metl division zote iwe ngano, mafuta zote ziko chini yake .
Brother:
MeTL Group

21st Century Holdings Ltd
1750844667088.png

MeTL Group acquired a sisal-spinning mill, 21st Century Holdings Ltd, in 2001 to further integrate its sisal processing operations. The mill is located in Dar es Salaam and produces sisal yarns, twines, and ropes for local and export markets.

Through 21st Century Holdings Ltd, MeTL Group manufactures tie ropes, sisal fabric, specialty ropes, and polishing cloths for local markets, while producing fine yarns for export, which are further processed into wire ropes, floor coverings, sisal buff, and carpets.
 
That's a Demo account, prove me wrong kama wewe ni real man. Ebu transfer all those coins kama indeed that's not a Demo account. Leo nimekushika shingo😂😂
Hata haujui kazi ya Remitano. 😂😂😂
Remitano na demo wapi na wapi au unadhani ni Forex trading!
Unaona namna ulivyo primitive!
IMG_4428.jpeg
 
Back
Top Bottom