Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Azampay na Azam media ni vitu viwili tofauti .
Pili kuwa na makao makuu Mauritius sio kwamba haiko chini ya Azam bali waliangalia sehemu ambako soko lilikuwa jepesi na kiukweli Mauritius soko limemkalia vizuri sana , sasa ulitaka aweke ofisi zake tz kwenye soko dogo.
Kaka nimekuambia sitaki tena kuendelea. Nimekuonesha kidogo tu ili uunganishe dots. Kama hutaki kutumia ubongo wako mimi sina msaada tena kwako.
 
Kaka nimekuambia sitaki tena kuendelea. Nimekuonesha kidogo tu ili uunganishe dots. Kama hutaki kutumia ubongo wako mimi sina msaada tena kwako.
Wewe ungetaka mjadala ukae vizuri ungeleta value of investment. Mfano Mimi nimekuletea ya bagamoyo tu ila umeshindwa kuleta value hata moja ya Metl .
 
Wewe ungetaka mjadala ukae vizuri ungeleta value of investment. Mfano Mimi nimekuletea ya bagamoyo tu ila umeshindwa kuleta value hata moja ya Metl .
Kaka:
1. Nimekupatia Revenue ya MeTL 2024 kuwa ni $19b (Wewe unaliletea Investment ya $300Ml) upo sawa kweli kaka?
2. Nimekuwekea kuwa MeTL inachangia 5% ya GDP ya Tanzania (Hujaleta chochote)
3. Nimekuwekea Watu walioajiriwa MeTL kuwa 37K+ wewe hujaleta chochote.

Sasa unataka tuendelee na mjadala huu kwa lengo lipi? Huu ubishani wako ni wa kipumbavu
Nakuwekea Statistical Data wewe unakuja na maneno ya kejeli, what the f**k

Leta takwimu kaka. Acha porojo. Mimi nikikuwekea kitu nipo na uhakika huwa siweki porojo.
Nimekuwekea link hii hapa uka ignore ili ujifurahishe tu wewe na nafsi yako with no facts

 
Wewe ungetaka mjadala ukae vizuri ungeleta value of investment. Mfano Mimi nimekuletea ya bagamoyo tu ila umeshindwa kuleta value hata moja ya Metl .
Mo ni mhuni tu.

Sasa hivi anatangazia dunia kuwa anamiliki Simba.

Hata kama ni kweli basi ana hizo 49% ya hisa za Simba, huwezi kusema unamiliki timu kwa kuwa na hisa 49%.

Mo ni tapeli sana.
 
Kaka:
1. Nimekupatia Revenue ya MeTL 2024 kuwa ni $19b (Wewe unaliletea Investment ya $300Ml) upo sawa kweli kaka?
2. Nimekuwekea kuwa MeTL inachangia 5% ya GDP ya Tanzania (Hujaleta chochote)
3. Nimekuwekea Watu walioajiriwa MeTL kuwa 37K+ wewe hujaleta chochote.

Sasa unataka tuendelee na mjadala huu kwa lengo lipi? Huu ubishani wako ni wa kipumbavu
Nakuwekea Statistical Data wewe unakuja na maneno ya kejeli, what the f**k

Leta takwimu kaka. Acha porojo. Mimi nikikuwekea kitu nipo na uhakika huwa siweki porojo.
Nimekuwekea link hii hapa uka ignore ili ujifurahishe tu wewe na nafsi yako with no facts

Haha kuchukua mkopo ndo uwekezaji unaona kabisa kachukua mkopo kwa ajili ya operating capital.
 
Maneno matupu leta evidence hapa tushakuwekea ripoti ya mapato yenu yote
Sasa unabishana nini yet in 2023 domestic tourism ilichangia pesa nyingi than foreigners. Tukihesabu domestic tourism kama nyinyi hamwezi tukaribia hata kidogo.

Screenshot_20250625-103352.jpg


2019 domestic tourism

Screenshot_20250625-102843.jpg
 
Haha kuchukua mkopo ndo uwekezaji unaona kabisa kachukua mkopo kwa ajili ya operating capital.
KAKA LEO NINATAKA KUKUELIMISHA KIDOGO

MeTL Group operates 11 sisal plantations, spanning over 34,500 hectares in five Tanzanian regions — Morogoro, Tanga, Coast, Kilimanjaro, and Lindi. Group farms produce approximately 10,000 metric tons of sisalfibre per annum, contributing 35% to Tanzania’s total sisal production.We aim to double land capacity and produce between 18,000 - 20,000 metric tons of sisal fibre per annum to meet growing domestic and export demands.
 
Haha kuchukua mkopo ndo uwekezaji unaona kabisa kachukua mkopo kwa ajili ya operating capital.
Mimi nitaendelea kukupatia Elimu tu mpaka ujue

Located in Morogoro, 21st Century Textiles is the largest employer in Tanzania’s textile sector. Acquired by MeTL Group in 1998 from the then Morogoro Polyester Textiles Ltd, the plant has undergone intensive modernization and expansion. Between 2006 and 2010, the Group made a 100 million-dollar investment to upgrade all areas of the company’s activity—spinning, weaving, and processing with the latest state-of-the-art technology.
 
Back
Top Bottom