concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,314
- 14,357
7mil versus 5mil hala mapatoUkilinganisha na Tanzania inayopokea watalii wachache!
3.4bil usd versus 3.9bil usd🤣🤣🤣🤣
7mil versus 5mil hala mapatoUkilinganisha na Tanzania inayopokea watalii wachache!
Kaka nimekuambia sitaki tena kuendelea. Nimekuonesha kidogo tu ili uunganishe dots. Kama hutaki kutumia ubongo wako mimi sina msaada tena kwako.Azampay na Azam media ni vitu viwili tofauti .
Pili kuwa na makao makuu Mauritius sio kwamba haiko chini ya Azam bali waliangalia sehemu ambako soko lilikuwa jepesi na kiukweli Mauritius soko limemkalia vizuri sana , sasa ulitaka aweke ofisi zake tz kwenye soko dogo.
Wewe ungetaka mjadala ukae vizuri ungeleta value of investment. Mfano Mimi nimekuletea ya bagamoyo tu ila umeshindwa kuleta value hata moja ya Metl .Kaka nimekuambia sitaki tena kuendelea. Nimekuonesha kidogo tu ili uunganishe dots. Kama hutaki kutumia ubongo wako mimi sina msaada tena kwako.
Tanzania ambayo inakubalisha game hunting. Alafu munadanganya you received more visitors yet kwa top 10 countries tumewashinda Kwa number of visitors.Ukilinganisha na Tanzania inayopokea watalii wachache!
Kaka:Wewe ungetaka mjadala ukae vizuri ungeleta value of investment. Mfano Mimi nimekuletea ya bagamoyo tu ila umeshindwa kuleta value hata moja ya Metl .
Mo ni mhuni tu.Wewe ungetaka mjadala ukae vizuri ungeleta value of investment. Mfano Mimi nimekuletea ya bagamoyo tu ila umeshindwa kuleta value hata moja ya Metl .
Domestic visitors ? Wakulipa gate fee ya 500kshTanzania ambayo inakubalisha game hunting. Alafu munadanganya you received more visitors yet kwa top 10 countries tumewashinda Kwa number of visitors.
Huyu alishawahi anzisha timu ikamamshinda akaamua ahamie simbaMo ni mhuni tu.
Sasa hivi anatangazia dunia kuwa anamiliki Simba.
Hata kama ni kweli basi ana hizo 49% ya hisa za Simba, huwezi kusema unamiliki timu kwa kuwa na hisa 49%.
Mo ni tapeli sana.
3.4Biliion is a for international arrivals only.7mil versus 5mil hala mapato
3.4bil usd versus 3.9bil usd🤣🤣🤣🤣
Haha kuchukua mkopo ndo uwekezaji unaona kabisa kachukua mkopo kwa ajili ya operating capital.Kaka:
1. Nimekupatia Revenue ya MeTL 2024 kuwa ni $19b (Wewe unaliletea Investment ya $300Ml) upo sawa kweli kaka?
2. Nimekuwekea kuwa MeTL inachangia 5% ya GDP ya Tanzania (Hujaleta chochote)
3. Nimekuwekea Watu walioajiriwa MeTL kuwa 37K+ wewe hujaleta chochote.
Sasa unataka tuendelee na mjadala huu kwa lengo lipi? Huu ubishani wako ni wa kipumbavu
Nakuwekea Statistical Data wewe unakuja na maneno ya kejeli, what the f**k
Leta takwimu kaka. Acha porojo. Mimi nikikuwekea kitu nipo na uhakika huwa siweki porojo.
Nimekuwekea link hii hapa uka ignore ili ujifurahishe tu wewe na nafsi yako with no facts
![]()
MeTL secures record US$340m facility with RMB
A renowned East African food and beverage success story has just secured the finance to grow their legacy even further, with the help of RMB. The bank recently acted as financial adviser, lead arranger, facility, and security agent to create a US$340m syndicated working capital facility for East...www.rmb.co.za
Maneno matupu leta evidence hapa tushakuwekea ripoti ya mapato yenu yote3.4Biliion is a for international arrivals only.
1. Nimekupatia Revenue ya MeTL 2024 kuwa ni $19b (Wewe unaliletea Investment ya $300Ml) upo sawa kweli kaka?Haha kuchukua mkopo ndo uwekezaji unaona kabisa kachukua mkopo kwa ajili ya operating capital.
Sasa unabishana nini yet in 2023 domestic tourism ilichangia pesa nyingi than foreigners. Tukihesabu domestic tourism kama nyinyi hamwezi tukaribia hata kidogo.Maneno matupu leta evidence hapa tushakuwekea ripoti ya mapato yenu yote
KAKA LEO NINATAKA KUKUELIMISHA KIDOGOHaha kuchukua mkopo ndo uwekezaji unaona kabisa kachukua mkopo kwa ajili ya operating capital.
Uko serious unapiga kelele juu ya sukari?View attachment 3382134
Yaani hii tu Bagamoyo Sugar ingekuwepo Kenya, ungesikia kelele za kutosha.
Tanzania mwaka jana tu, imeonheza viwanda viwili vya sukari, Azam Bagamoyo Sugar na Mkulazi Sugar (NSSF).
Mimi nitaendelea kukupatia Elimu tu mpaka ujueHaha kuchukua mkopo ndo uwekezaji unaona kabisa kachukua mkopo kwa ajili ya operating capital.
Simba yenyewe anataka kuipora.Huyu alishawahi anzisha timu ikamamshinda akaamua ahamie simba