Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Then how comes Kenyan education is more recognized and valued in the world over yours … Why do world top tech companies come to set up or recruit in Kenya and not Tanzania … Why do developed nations college students recruit Kenyan tutors online and not Tanzanians…. You can believe about your education system all you want but facts show otherwise.
Recorgnized by who? Prove it
 
Export is selling of goods and services in a foreign country. Labor is service and it’s normally exported to other countries through workers migration, Kenya earn from these emigration through Rememittance. Sasa ni nini ngumu hapo kuelewa?
Hiyo service ya labour imefanyika katika economy gani? How does it associate na economic output?
 
Then how comes Kenyan education is more recognized and valued in the world over yours … Why do world top tech companies come to set up or recruit in Kenya and not Tanzania … Why do developed nations college students recruit Kenyan tutors online and not Tanzanians…. You can believe about your education system all you want but facts show otherwise.
Mifano ambayo ipo wazi ni:-
1. Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Dkt. Tulia Ackson

2. Prof. Mohamed Janabi WHO Regional Director for Africa.

Tutajie wakenya
 
Then how comes Kenyan education is more recognized and valued in the world over yours … Why do world top tech companies come to set up or recruit in Kenya and not Tanzania … Why do developed nations college students recruit Kenyan tutors online and not Tanzanians…. You can believe about your education system all you want but facts show otherwise.
Ngoja nikupatie orodha fupi ili uondoe ushamba wako.

1. Prof. Filipo Gao Lubua University of Pittsburgh, USA
2. Prof. Gabriel Ruhumbika University of Georgia, USA
3. Dr. Rosemary Eustace Wright State University, USA
4. Prof. Hulda Shaidi Swai University of Pretoria South Africa
5. Prof. Irene Aurelia Tarimo University of Montana, USA

NB: Mkiona watu wamekaa kimya na nyie mnapiga kelele mnajiona mmesoma sana. Kwikwikwikwikwi
 
Then how comes Kenyan education is more recognized and valued in the world over yours … Why do world top tech companies come to set up or recruit in Kenya and not Tanzania … Why do developed nations college students recruit Kenyan tutors online and not Tanzanians…. You can believe about your education system all you want but facts show otherwise.
Nataka nikupige na nyundo nzito ili ukome


1749996093773.png
 
If you have any idea of Kenyan education system, you would comprehend the value of achieving a straight A in national high school exams. It’s very difficult , only the top brains do it. That’s what Teargas is talking about . All the top world universities, the likes of Harvard recognize that .Harvard and other Ivy League universities admit many Kenyan straight As form four achievers and only As. Teargas is in another level on academic matters. Respect that! ..Facts!
🤣🤣🤣 mitihani za Kenya nilishawahi post humu na watu wengi pia walishawahi zipost humu. Mtoto bright wa form4 Tz anaweza kuwa lecture hapo kenya bila matatizo yoyote.
 
Akina NairobiWalker wakija Dar wanapenda kutembelea Mitaa ya wahindi Kisutu na kusema wamefika Dar CBD ili kufeed tu their ego😂😂.

Jana nilikutana na wakenya wawili wanaishi kabete Nairobi. wamekuje kuangalia Kariakoo derby. Kimsingi ni mashabiki wa yanga. Wamekuwa dissapointed kweli baada ya derby kutokuwepo. Basi kwa kuwa nilikuwa naelekea posta nikawapandisha mwendokasi tena ikaja ile ya gesi CNG, kutoka morocco, ile bus ina charging ports, full ac. Yaan I wish ningewachukua picha walivyokuwa surprised na developments za Tz,

na mimi kwa kiherehere nikawaconvice wapande sea táx, kwanza wanachangaa jinsi tunavyotumia kadi na jinsi sea táx inavyosimama stable pale ferry. Basi baadae wakasema niwapeleke SGR Terminal wakashangae Treni ya umeme, nikawapeleka tu.

Hawa wakenya tambo wako nazo mitandaoni tu ila kwa ground they see Tanzania to be more developed than kenya hasa wanaokuja kutembea. Wana hadi jersey za yanga


Hii ndo CBD niliyowaonyesha. Sio ile ya NairobiWalker ya nyumba za wahindi kisutu


View attachment 3369730View attachment 3369737
View attachment 3369731View attachment 3369732
View attachment 3369740
Instanbul, kwa hivo Kisutu sio CBD ama unajaribu kusemaje?
 
From now henceforth I will only allow people who scored A like me to engage me in matters education. Wengine Kama baboon aka Sama boy 255 watafute the likes of watchman aka The best 007 wajadiliane nao. Hao ndio foolish idiots like you.
Do they know Luos are the smartest people academically in East Africa omera? 🤣 🤣
 
Akina NairobiWalker wakija Dar wanapenda kutembelea Mitaa ya wahindi Kisutu na kusema wamefika Dar CBD ili kufeed tu their ego😂😂.

Jana nilikutana na wakenya wawili wanaishi kabete Nairobi. wamekuje kuangalia Kariakoo derby. Kimsingi ni mashabiki wa yanga. Wamekuwa dissapointed kweli baada ya derby kutokuwepo. Basi kwa kuwa nilikuwa naelekea posta nikawapandisha mwendokasi tena ikaja ile ya gesi CNG, kutoka morocco, ile bus ina charging ports, full ac. Yaan I wish ningewachukua picha walivyokuwa surprised na developments za Tz,

na mimi kwa kiherehere nikawaconvice wapande sea táx, kwanza wanachangaa jinsi tunavyotumia kadi na jinsi sea táx inavyosimama stable pale ferry. Basi baadae wakasema niwapeleke SGR Terminal wakashangae Treni ya umeme, nikawapeleka tu.

Hawa wakenya tambo wako nazo mitandaoni tu ila kwa ground they see Tanzania to be more developed than kenya hasa wanaokuja kutembea. Wana hadi jersey za yanga


Hii ndo CBD niliyowaonyesha. Sio ile ya NairobiWalker ya nyumba za wahindi kisutu


View attachment 3369730View attachment 3369737
View attachment 3369731View attachment 3369732
View attachment 3369740
Wakenya wengi wanadhani miji yote inatakiwa kuwa kama Nairobi.

Wakija Dar, hawatafuti mwenyeji. Wanauliza mjini wapi, wanapelekwa Posta then wanatembea kuelekea Kisutu, Kariakoo wamemaliza.

Wanaita CBD.
 
Wewe hukukanyaga shule nyamaza. Mark you The University of Nairobi is the best University in East and Central Africa, the 9th best University in Africa and 280th in the World. Tell us about your school.

Nikanyage shule kufanya nini wakati River road university ni bei yako tu wanakujazia vyeti tu vile unataka?
 
If you have any idea of Kenyan education system, you would comprehend the value of achieving a straight A in national high school exams. It’s very difficult , only the top brains do it. That’s what Teargas is talking about . All the top world universities, the likes of Harvard recognize that .Harvard and other Ivy League universities admit many Kenyan straight As form four achievers and only As. Teargas is in another level on academic matters. Respect that! ..Facts!

Naelewa kunyaland ukiwa na Hela unapata cheti chenye A's za kutoshaa.

Na ndio hao wanawadanganya kwa kupika data na kuongea ujinga ujinga tu kisa wanaweza kuunda sentence kwa kingereza....the likes of wanjigi jimmy
 
Naelewa kunyaland ukiwa na Hela unapata cheti chenye A's za kutoshaa.

Na ndio hao wanawadanganya kwa kupika data na kuongea ujinga ujinga tu kisa wanaweza kuunda sentence kwa kingereza....the likes of wanjigi jimmy
Juzi hapa walitaka kufanya Maths kama somo la ziada (optional).

Yaani Kenya ukishajua Kiingereza, umemaliza. Too fake.

Kuna waandishi wao wa habari kama Larry Madowo na Jeff Koinange, yaani wana mpaka lafudhi fake.

Tena huyo Koinange amechoma mpaka nywele.

Mzungu wannabe
 
Juzi hapa walitaka kufanya Maths kama somo pa ziada (optional).

Yaani Kenya ukishajua Kiingereza, umemaliza. Too fake.

Kuna waandishi wao wa habari kama Larry Madowo na Jeff Koinange, yaani wana mpaka lafudhi fake.

Tena huyo Koinange amechoma mpaka nywele.

Mzungu wannabe

Huyo koinange ndio yule ana manyonyo na amejichubua ngozi!?

Hahaha 🤣
 
Back
Top Bottom