Akina
NairobiWalker wakija Dar wanapenda kutembelea Mitaa ya wahindi Kisutu na kusema wamefika Dar CBD ili kufeed tu their ego😂😂.
Jana nilikutana na wakenya wawili wanaishi kabete Nairobi. wamekuje kuangalia Kariakoo derby. Kimsingi ni mashabiki wa yanga. Wamekuwa dissapointed kweli baada ya derby kutokuwepo. Basi kwa kuwa nilikuwa naelekea posta nikawapandisha mwendokasi tena ikaja ile ya gesi CNG, kutoka morocco, ile bus ina charging ports, full ac. Yaan I wish ningewachukua picha walivyokuwa surprised na developments za Tz,
na mimi kwa kiherehere nikawaconvice wapande sea táx, kwanza wanachangaa jinsi tunavyotumia kadi na jinsi sea táx inavyosimama stable pale ferry. Basi baadae wakasema niwapeleke SGR Terminal wakashangae Treni ya umeme, nikawapeleka tu.
Hawa wakenya tambo wako nazo mitandaoni tu ila kwa ground they see Tanzania to be more developed than kenya hasa wanaokuja kutembea. Wana hadi jersey za yanga
Hii ndo CBD niliyowaonyesha. Sio ile ya
NairobiWalker ya nyumba za wahindi kisutu
View attachment 3369730View attachment 3369737
View attachment 3369731View attachment 3369732
View attachment 3369740