NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,393
- 17,974
Yet mkitaka kujenga majengo mnatafuta Wasanifu kutoka Kenya.Juzi hapa walitaka kufanya Maths kama somo pa ziada (optional).
Yaani Kenya ukishajua Kiingereza, umemaliza. Too fake.
Kuna waandishi wao wa habari kama Larry Madowo na Jeff Koinange, yaani wana mpaka lafudhi fake.
Tena huyo Koinange amechoma mpaka nywele.
Mzungu wannabe