Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Juzi hapa walitaka kufanya Maths kama somo pa ziada (optional).

Yaani Kenya ukishajua Kiingereza, umemaliza. Too fake.

Kuna waandishi wao wa habari kama Larry Madowo na Jeff Koinange, yaani wana mpaka lafudhi fake.

Tena huyo Koinange amechoma mpaka nywele.

Mzungu wannabe
Yet mkitaka kujenga majengo mnatafuta Wasanifu kutoka Kenya.

494679355_3618704711767465_1383074107348818114_n.jpg
 
Baadhi ya Mashirika na Makampuni yaliyotoa Dividend leo

Twiga Minerals = Tsh 99B
Airtel Tanzaia = Tsh 73.9B
NMB = Tsh 68.1B
PUMA = Tsh 13.5B
TPDC Tsh 11.7B
NBC Tsh 10.5B



TPA = Tsh 181.5B
NIDA = Tsh 38.8B
TFS = Tsh 29.8B
BRELA = Tsh 20.4B
TCRA = Tsh 19.2B
TASAC = TSh 16.3B
OSHA = Tsh 10.4B
NIDA?
 
🤣🤣🤣 mitihani za Kenya nilishawahi post humu na watu wengi pia walishawahi zipost humu. Mtoto bright wa form4 Tz anaweza kuwa lecture hapo kenya bila matatizo yoyote.
Baboon bado unaongelea masomo? Ebu tuonyeshe results slips zako tuone.
 
Hakuna mkenya smart mbele ya mtanzania smart. Smart Tanzanians are the smartest people in the whole of Africa. Unamjua raisi wa bunge la dunia wa sasa.? She’s Tanzanian
Are you Smart? Remember your President is a form 4 leaver. Tanzania is a country categorized by Primary School dropouts.
 
Instanbul, kwa hivo Kisutu sio CBD ama unajaribu kusemaje?
Nimewahi kuwauliza humu, mkisema CBD mnamaanisha nini ila hamjawahi kutoa majibu.

Maana Kwa Dar unaweza kuishi vizuri tu bila kwenda Posta.

Unlike Nairobi, Kenya huwezi kukaa bila kwenda CBD maana ndio kuna ofisi kubwa za serikali, ofisi binafsi, na biashara.
 
Back
Top Bottom