Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


View: https://x.com/ikulumawasliano/status/1933877757534261278

Those r 2 interchanges!
GtZ_Yd2XkAAGdd3

The longest BRT network in Africa itakuwa Dodoma bila shaka
 
It's not export of labor right?
Remittances ni fund transfer kutokea kwa watu wafanyakazi walioko nje kuja kwenye familia zao .
Hakuna sehemu utakuta record yoyote ya mapato na matumizi.
Tunaposema kuuza huduma ni pale ambapo hiyo huduma unaweza hata kuirecord kwenye books of accounts kama earning.

Mfano mtu ambaye anatoa huduma ya hotel kwa watalii lazima, mwisho wa mwaka ataanda taarifa ya mapato yake ambayo yataonesha earning zinazotokana na kuuza vyumba.
Remittances haikidhi kwenye mauzo sababu ni utumaji wa pesa kwenda kwa familia , remittances hailipiwa corporate tax au vat kama vile ntalavyotoa huduma ya chakula kwa hotel.
 
Remittances ni fund transfer kutokea kwa watu wafanyakazi walioko nje kuja kwenye familia zao .
Hakuna sehemu utakuta record yoyote ya mapato na matumizi.
Tunaposema kuuza huduma ni pale ambapo hiyo huduma unaweza hata kuirecord kwenye books of accounts kama earning.
Mfano mtu ambaye anatoa huduma ya hotel kwa watalii lazima, mwisho wa mwaka ataanda taarifa ya mapato yake ambayo yataonesha earning zinazotokana na kuuza vyumba.
Remittances haikidhi kwenye mauzo sababu ni utumaji wa pesa kwenda kwa familia , remittances hailipiwa corporate tax au vat kama vile ntalavyotoa huduma ya chakula kwa hotel.
Kwa hivyo hio 4.8billion earned from remittances ni guess work ya serikali? Do you know Phillipines is the biggest labour exporter in world pumping more than 12 billion dollars kwa economy. Kwa hivyo serikali yao hawajui hizo figures walitoa wapi?

 
Ingekuwa ni exports kwa 12 bil usd ni sawa na 240bil , lazima ingekuwa kwenye top 5 exports bhata zaidi hata ya tourism ambayo Iko kwenye 3usd bil, basi total exports zenu zingekuwa kwenye 30usd bil 🤣🤣🤣🤣
Kwa hivyo hio 4.8billion earned from remittances ni guess work ya serikali? Do you know Phillipines is the biggest labour exporter in world pumping more than 12 billion dollars kwa economy. Kwa hivyo serikali yao hawajui hizo figures walitoa wapi?

 
Ingekuwa ni exports kwa 12 bil usd ni sawa na 240bil , lazima ingekuwa kwenye top 5 exports bhata zaidi hata ya tourism ambayo Iko kwenye 3usd bil, basi total exports zenu zingekuwa kwenye 30usd bil 🤣🤣🤣🤣
Kwanza 12 billion USD sio sawa na 240 ksh billion, anyway focus hio 12 billion ni remittance ya Philippines, ya Kenya ni 4.8 billion USD equivalent to 619 billion. Na haiko hapo kwasababu hio ni top 5 exports for goods only. Huitaji akili ya shule kujua hivyo.
 
Remittances are taxed ama unadhani kupokea pesa ni bure? Do tourists pay corporate tax when they visit your country? Usiwe mjinga bana.
Earning za tourist activities ambazo mahotel, tourist companies zinapokea ndo zinazopelekea kupatikana kwa taxes ambazo hulipwa kwa serikali .mfano all hotels in Kenya usually file corporate taxes, pia kuna hotel levy , mtalii hawez Kodi ila aliyempa huduma ndo atalipa Kodi baada ya kumhudumia. Sasa Leo wafanyakazi wenu walioko nje hizo huduma wanazotoa ,labda letsay kuosha vyombo ni wapi tunaweza track vyombo walivyooosha ili tupigue hesabu ya mapato ili walipe Kodi?
Anyway kama kuna letsay salary slip zao ni wapi inaonesha wamekatwa remittances kama mchango wa Kodi kuja kenya
 
Sababu earning ya tourism kwa Kenya ya 3usd bil Ina include pia domestic tourism ukiweza kuleta figure ya domestic na foreign tourism earning ntakupa sababu why is it not included
Kwa hio 3billion USD unadhani local tourism ndio ilichangia pesa nyingi that's why foreign tourism can not make it to your imaginary list ya services?
 
Kwa hivyo hio 4.8billion earned from remittances ni guess work ya serikali? Do you know Phillipines is the biggest labour exporter in world pumping more than 12 billion dollars kwa economy. Kwa hivyo serikali yao hawajui hizo figures walitoa wapi?

Nimetafuta hiyo 4.8 bil usd ambayo imeingia kwa uchumi wa Kenya kwenye hiyo article yako sijaona na hata hiyo 12 ni wewe uliyeiweka.
Hakuna remittances ya 4.8 bil buana acha kujifurahisha ,
 
Back
Top Bottom