Very beautiful Parliament Building in AfticaKwa hii taste.
![]()
Smart people na mpaka leo hamjawahi kutoa Rais hapo Kenya, nyie ni takataka.Do they know Luos are the smartest people academically in East Africa omera? 🤣 🤣
Watu tayari walishachezea kizipo
Is it well or poorly designed?Taste gani?
That's a democratic instrument.
Designed by who?Very beautiful Parliament Building in Aftica
Beijing Daxing International Airport, designed by England ArchitectsDesigned by who?
There is no a more well planned for comfort and discussion Parliament building, than this.Is it well or poorly designed?
Sahihi kabisa. Nakumbuka kuna wakati watu walikua wanapeleka watoto wao Kenya na Uganda Secondary kwasababu ya ugumu wamithani ya Tz. Tanzanian education is aimed at acquiring the best of the best. Na hio ni O level tu.🤣🤣🤣 mitihani za Kenya nilishawahi post humu na watu wengi pia walishawahi zipost humu. Mtoto bright wa form4 Tz anaweza kuwa lecture hapo kenya bila matatizo yoyote.
Watu waliokuwa wamesoma Uganda au Kenya wakija TZ walikuwa hawatambuliwi ilibidi wasome mwaka mmoja ndio waende chuo au A levelSahihi kabisa. Nakumbuka kuna wakati watu walikua wanapeleka watoto wao Kenya na Uganda Secondary kwasababu ya ugumu wamithani ya Tz. Tanzanian education is aimed at acquiring the best of the best. Na hio ni O level tu.
Kuna mkenya mmoja nilikutananae kwenye shule flani huko tanga, alikua anatoka kwao huko kuja kusoma HGL bongo, alifeli mitihani ya interview kujiunga na kidato cha tano hapo shuleni , ilibidi arudie mwaka mmoja.Watu waliokuwa wamesoma Uganda au Kenya wakija TZ walikuwa hawatambuliwi ilibidi wasome mwaka mmoja ndio waende chuo au A level
Hesabu zilikuwa zinawasumbua sana , mpaka Leo ni watu wachache sana walioenda Kenya baadae wakarud Tanzania walifanikiwa kwenye scienceWatu waliokuwa wamesoma Uganda au Kenya wakija TZ walikuwa hawatambuliwi ilibidi wasome mwaka mmoja ndio waende chuo au A level
Elimu yao ni hovyo sn, ndiyo mana Kenya wamejaa watu wa masomo ya arts na kidogo economics lkn wana sayansi ni wachache mno Kenya.Kuna mkenya mmoja nilikutananae kwenye shule flani huko tanga, alikua anatoka kwao huko kuja kusoma HGL bongo, alifeli mitihani ya interview kujiunga na kidato cha tano hapo shuleni , ilibidi arudie mwaka mmoja.
Wanauza watu
Huyo jamaa ana shida sana,
Designed by Kenyans.Very beautiful Parliament Building in Aftica