Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

RUVU DRY PORT ICD AREA : KWALA OpenSanit INDUSTRIAL DEV
maxresdefault.jpg




. Jifunzeni kuukubali ukweli mkuu.... Kenyans are by far beating you... Komaeni na ujamaa midomoni na ubepari miguuni tu! /QUOTE]
 
naona project za tanzania zimemtia mashakani ndugu mwaswast siku zote waswahili husema mbwa ukimjua jina hakupi tabu😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Wakati wangu wote niliokuwa hapa Nairobi Kenya kwa mapumziko ya sikukuu, nimekuwa mzito kumtembelea Tundu Lissu mara kwa mara. Naona soni. Soni ya kumtazama steringi wa demokrasia, siasa, na utawala wa sheria akiwa amelala kitandani. Anazungumza hadi anaumiza. Anauliza hadi analiza. Nimekwenda mara mbili tu tangu nifike tarehe 20 mwezi huu.
Amini nawaambia, Lissu ni steringi wa mambo ya siasa, demokrasia na utawala wa sheria. Amesema kwa kukosoa walipokosea. Ameonya hatari za mambo mbalimbali ya kisheria na kidemokrasia jkwa mustakabali wa nchi yetu. Amesema waziwazi hadi kuitwa mnazi. Amesema nje na ndani ya Bunge. Ametetea, ameunga mkono na kupigania anachokiamini. Who else?
Tarehe 20 Januari, 1968 alizaliwa. Akakua. Akapambana kimaisha, kimasomo, kisiasa na kadhalika. Mwaka huu, akashambuliwa. Akaanguka asijitambue. Akabebwa asijijue. Akatibiwa asigundue. Akalala kitanda cha wagonjwa hapa Nairobi kwa siku 101. Hatimaye, amesimama tena. Amesimama kuelekea kutembea. Kutembea kwenda mapambanoni tena. Stay alive!
Lissu atatikisa, atayumbisha na kugeuza mambo. Wanaoonekana kusambaratika, wataimarika. Kuanzia mapokezi yake atakaporejea (ambayo tayari yameshaanza kuratibiwa huku akiendelea kutibiwa), mambo yatanoga hadi kutia woga. Ataimarisha panapomuhitaji na kupandisha kujiamini, kusema na kujenga hoja kwa wale wanaomuamini. Steringi wa siasa za kisasa atarudi kumalizia picha yake.
Lissu ananihuzunisha, ananiimarisha na, kama mwanaCCM, ananitisha. Haachi kusoma hata kitandani. Haachi kusema mtu akiingia ndani. Haachi kufikiri na kukariri. Haachi kutafiti ili kujiweka fiti. Haachi kuponda na kupenda. Haachi kupanga na kupangua kwa kujua. Haachi kutabiri kwa umahiri. Ni wa kipekee.
Nawatakieni mwaka mpya mwema wa 2018 ambao utakuwa na Lissu tena!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Nairobi, Kenya)

mkuu VUTA-NKUVUTE ukipata nafasi pita hapa uone kijana mmoja wa kikenya jobless na asiye na adabu toka kenya anavyo misuse post zako bila hata ku-acknowledge source ambaye ni wewe.
cb40b5f760593df2413f460a6a926f2b.jpg
 
Hamuiwezi Tanzania hata mfanye nini, zaidi ya ukabila, njaa, umasikini na polisi kuwapiga risasi na kuwabaka wananchi, hamna zaidi ya kutuonyesha
 
Lazima tukubali kuwa Wakenya wako smart kuliko ntie wapiga domo tu.... Unahangaikia wafilisti ili wakusaidie nini? Ni biashara gani unaifanya na mfikist ambayo inazidi faida inayoipata toka US?
Tatizo letu ni kiburi cha kimasikini ndo kinatusumbua... Ni bora hata haya maazimio raia tupewe nafasi ya kupiga kura za maoni siyo kutegemea mtu mmoja mwenye vionjo vya kipuuzi na mwarabu eti anawapigania waarabu. Kwa hali hii, sahau ubarozi wa Isr kufunguliwa nchini kwenu.
"Tanzanians are very weak when it comes to economic diplomacy!!!!"
Huo ubalozi hatuuhitaji kwanza nyerere alishaukataa kitambo ndio maana mpaka leeo huoni ubaloz wa hao fallen angels
 
Umeishiwa wewe, na mtaendelea kuisoma namba 2018, hatukubali east Africa integration kamwe, baki huko kwenu muendelee kuuana na kufa kwa njaa
 
Back
Top Bottom