Almost half ya budget ni madeni that's absurd.Yaani wakati huohuo deni wanatenga $11bln!
Almost half ya budget ni madeni that's absurd.Yaani wakati huohuo deni wanatenga $11bln!
Mchina ana mines zake huko Zambia na pia anataka kuwa na monopoly ya madini mkakati na ku run TAZARA ni strategic move kwao tutegemee mzigo kuongezeka mara dufu Dar Port.TAZRA Mchina ameshaingia PPP. ataboresha na kuiendesha kwa miaka 27.
Tunduma panatakiwa njia 4 au 6, maana ndio lango la SADC
Ungelijua ungefyata tu🤣🤣 Tanzania's deficit unajua ni percentage ngapi?.., yaani mko worse, lakini linyani halioni kundule, tatizo ya kukosa elimu bora unajilipua mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kenya inayolilia mkopo ili ikamilishe budget ya 2024/2025
Seamless connection from Airport to city center, SGR stations, main bus terminal, marine ports and football stadiums ready for AFCON hosting.
View: https://youtu.be/5rOaIzMBkJ0?si=gpRMEZu-EbcGcPSj
6 lanes roads in DarMost roads? 🤣🤣🤣
Mchina aliboresha Lobitor corridor (reli ya Angola to Congo) akaporwa na Marekani.Mchina ana mines zake huko Zambia na pia anataka kuwa na monopoly ya madini mkakati na ku run TAZARA ni strategic move kwao tutegemee mzigo kuongezeka mara dufu Dar Port.
Show me a ghost Tower in Nairobi and I will show you a long sleeve bra.What is occupancy rate of yours at least sisi we know its pure cash na joint venture invetsement , unlike you building ghost towers kwa hela za money laundering na gold smuggling
Unatafuta matusi, na nitakutusi utaharibu uzi.Tulikubaliana kuwa wewe ni mpumbavu au umeshapata akili za ku quote comments zangu?
Ebu tuwekee deficit ya Tanzania versus Kenya🤣Ungelijua ungefyata tu🤣🤣 Tanzania's deficit unajua ni percentage ngapi?.., yaani mko worse, lakini linyani halioni kundule, tatizo ya kukosa elimu bora unajilipua mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anothet ship docked at Lamu Port on Saturday.
ichoboy01 kuja utoe machozi tena. This year alone Lamu had received 32 ships.
View: https://x.com/Kenya_Ports/status/1931406879386726713
Hata ungekuwa wewe unatoa 1bil usd ila hakuna mzigo toka hinterland kuja coastal wakat Kuna sehem mzigo unaonekana kabisaMchina aliboresha Lobitor corridor (reli ya Angola to Congo) akaporwa na Marekani.
Alipoona ameporwa, ndio akaja TAZARA.
Ndio maana alikataa kutoa pesa kwaajili ya SGR ya Kenya, lakini kwa TAZARA anatoa $1 billion.
Lengo ni mizigo ya Congo na Zambia.
Tena Hawapendi gorofa mpya ya 33 floors? Sama boy 255 aka Baboon come and see this.Radisson will be at Mzizima Tower while Rotana is a hotel Tower too!
Vukeni 25M tonnes kwanza.This year Dar port inaelekea kuvuka 37m tons
Unapoteza muda na machawa tuUnatafuta matusi, na nitakutusi utaharibu uzi.
Mapunga kama nyinyi hamjawahi kunisumbua
Yani uogopi Lamu is on the way of overtaking Dar in terms of cargo volumes?Yani tumefikia huku. Kila ship iki dock hapo ni breaking news 🤣🤣🤣
Ulikurupuka mwenyewe., ni kama haujui ata pato la taifa lenyu ni kidogo ukilinganisha na budget ya taifa., na unabweka humu., tuko June 2025, budget zinaenda kusomwa kwa pamoja utajionea., ama fanya utafiti kwa kutumia ya last year ujionee mlivyo mafukara.., hakuna tofauti kubwa na mwaka huu, Tanzania ni ile ile , sasa ndio mmeongeza mahitaji🤣., gap ya deficit itakua zaidi ya last year which was slightly over 30%!!! Kenya is less than 15%..,Ebu tuwekee deficit ya Tanzania versus Kenya🤣
Jitahidini pia kuhakiki data zenu.Vukeni 25M tonnes kwanza.
The only country in East Africa ever flagged for cooking data is Tanzania. Sijaiskia Kenya ikisemmwa kwa kupika data.Jitahidini pia kuhakiki data zenu.
Maana you are experts kwenye data cooking
Mkishindwa hapa ndio mnajidanganyaga kujiliwaza eti🤣🤣🤣🤣., Kenya upike data wakenya wakiwa wapi?, we are sharp we expose the govt easily, watu wamesoma Kenya!! sio ndwazi kama Watanzania, CCM inawalisha propaganda na hamuwezi kuona uongo ., Magufuli kawadangaya eti "anajenga kwa pesa za ndani"., ilhali pato la taifa halitoshi ata ku meet reccurrent expenditure kwa budget., mama alipoingia CAG walitoa report wakapata mwendazake alikua anakopa kisiri, deni la taifa lilikua limeongezeka kwa mpigo 🤣🤣🤣., propaganda na CCM's Tanzania ni kama chanda na Pete.,Jitahidini pia kuhakiki data zenu.
Maana you are experts kwenye data cooking