Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Facts zisizoonekana..? 🤣🤣🤣 nimekuwekea list ya shopping malls in Dar tunazofungua this year.

1. Dar village mall
2.Ocean view mall
3.Morocco square mall
4.Kunduchi mall
5. EACLC mall.

Hizi zote ni za mwaka huu tu, mpyaaa kwenye maganda yake..

Swali ni je huko kwenu mnazo ngapi mnazotarajia kuzifungua this year.? 🤣🤣🤣

Usiniletee maneno matupu mimi.
Fanya utafiti mwenyewe mgeni asije akakuumbua kwa ground kilaza.., hapa siwezi bishana na wewe., hizi ni level ya vijiweni., yaani kwa akili yako timamu unaitaja Nairobi sentensi moja na Dar kwa malls🤣🤣🤣🤣🤣., wewe ni mtu bladfwakin kabisa 🤣🤣🤣🤣
 
Fanya utafiti mwenyewe mgeni asije akakuumbua kwa ground kilaza.., hapa siwezi bishana na wewe., hizi ni level ya vijiweni., yaani kwa akili yako timamu unaitaja Nairobi sentensi moja na Dar kwa malls🤣🤣🤣🤣🤣., wewe ni mtu bladfwakin kabisa 🤣🤣🤣🤣
Empty talks peleka mbali 🤣🤣🤣 unarusha maneno hewani tu. Ground pamoto kaka.
 
Eastleigh inakaribia kuipiku Dar CBD, sijasema Dar yoote wala Kariokoo(apartments 90%), CBD yenu moja hiyo👇🤣🤣🤣🤣.,
View attachment 3362426


Dar CBD, sehemu ya maana ndani ya Dar es Salaam yote., vs Eastleigh.., liko wazi peupe unaweza linganisha🤣🤣
View attachment 3362426
View attachment 3362429
Phase I complete
nhctanzania_1749467531602.jpg
nhctanzania_1749467530919.jpg
nhctanzania_1749467532371.jpg
nhctanzania_1749467532062.jpg
nhctanzania_1749467532213.jpg


Phase 2 loading 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DKMYDxSsZhg/?igsh=cTBoNzNlano3MHli
 
Umedanganya, mbona mnapenda kujiliwaza hivyo?.. Itawachukua miaka mingi kuifikia level ya Kenya kwa ujumla., masikini jeuri hawa🤣🤣.
Kenya gani unayoizungumia wewe ni hii ambayo haina CAF approved stadiums, BRT system, electric trains, yenye insufficient electricity, cannot feed itself, no running water, no proper bus terminals, old outdated airports, no planes of its own au ni ipi hiyo tutachukua muda mwingi kuifikia?😁
 
Kenya gani unayoizungumia wewe ni hii ambayo haina CAF approved stadiums, BRT system, electric trains, yenye insufficient electricity, cannot feed itself, no running water, no proper bus terminals, old outdated airports, no planes of its own au ni ipi hiyo tutachukua muda mwingi kuifikia?😁
Jamaa anajiona anaishi kwenye nchi inayoitwa democratistan😂
 
Eastleigh inakaribia kuipiku Dar CBD, sijasema Dar yoote wala Kariokoo(apartments 90%), CBD yenu moja hiyo👇🤣🤣🤣🤣.,
View attachment 3362426


Dar CBD, sehemu ya maana ndani ya Dar es Salaam yote., vs Eastleigh.., liko wazi peupe unaweza linganisha🤣🤣
View attachment 3362426
View attachment 3362429
Ngoja nikuwekee hapa some sections of Kariakoo na mind you hizi videos zimepigwa tokea mbali angani ukiweka hapa za Eastleigh ilizopigwa umbali huo itakuwa kituko hapa.


 
Ngoja nikuwekee hapa some sections of Kariakoo na mind you hizi videos zimepigwa tokea mbali angani ukiweka hapa za Eastleigh ilizopigwa umbali huo itakuwa kituko hapa.


Sa kwanini umemjibu.? Unadhani hajui.? 🤣🤣 anajitia kichaa tu huyo mnuka mavi.
 
Hamjafika where Kenya is umeqnza kubweka humu.., kilaza kwa ubora, linaona organized estate mara ya kwanza Tanzania, unadhani ndio basi, lishamba🤣🤣🤣🤣🤣, in fact Malls nje ya Nairobi are far more than Tanzania yoote,(tukiondoa Nairobi)., Kenya sio mwenzenu, ngojeni miaka 30 mje tusemezane..,
Kenya inayolilia mkopo ili ikamilishe budget ya 2024/2025
 
Back
Top Bottom