Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bado wizara ya Kilimo wanajenga Miundombinu ya Umwagiliaji na Hifadhi za Chakula
Wizara ya Mifugo na Uvuvi wanajenga miundombinu
Wizara ya Maji wanajenga miundombinu
TAMISEMI wanajenga Masoko na Stend za mabasi.

Ukiwawekea hapa wakenya watachanganyikiwa. Then wataanza kutukana na kutoa maneno yasiyofaa kwenye mjadala.
 
Yaani hii nchi tungejenga barabara ya Dar Tunduma kuwa njia nne kama wanavyofanya south. Hawa wangeenjoy sana na maroli yao.

Hiyo Barabara Iko busy sana. Nadhani kwa Tanzania hakuna Barabara yenye gari nyingi za mizigo kama hiyo. Pale Mbeya Hadi Tunduma naona kuna mpango wa kujenga njia nne kwa PPP.. ..sijajua wamefika wapi..

Ila hata Tazara wakiifanyia ukarabati mzuri na kuweka mabehewa ya kutosha itasaidia sana kupunguza foleni hiyo njia... Kama Sasa hivi kuna mzigo wa Copper mwingi sana kutoka Zambia na DRC... Ngoja tuone kama DP atatoa figure kamili ya mzigo wanao handle pale Port tuna weza kuwa double hao kenge wa North.
 
Yaani wakati huohuo deni wanatenga $11bln!

kunya kwishaaa...

Lazimaa GDP ishuke hadi 50usd millions

Screenshot_20250607-202617.png
 
Hiyo Barabara Iko busy sana. Nadhani kwa Tanzania hakuna Barabara yenye gari nyingi za mizigo kama hiyo. Pale Mbeya Hadi Tunduma naona kuna mpango wa kujenga njia nne kwa PPP.. ..sijajua wamefika wapi..

Ila hata Tazara wakiifanyia ukarabati mzuri na kuweka mabehewa ya kutosha itasaidia sana kupunguza foleni hiyo njia... Kama Sasa hivi kuna mzigo wa Copper mwingi sana kutoka Zambia na DRC... Ngoja tuone kama DP atatoa figure kamili ya mzigo wanao handle pale Port tuna weza kuwa double hao kenge wa North.
Pale muhimu ni reli hata tukiweka njia nne bado mzigo ni mkubwa sana .
Kulikuwa na umuhimu kwa sasa kabla ya hatujapata fedha za tazara, tungekuwa tunauvuta mzigo kwa treni songwe hata mbeya ,
Tungeweza punguza jam.
Hizi copper Kuna umuhimu zikawa zinakuja mwagwa dodoma tu then zinasombwa kwa sgr mpaka dar kwa gharama ndogo kuliko mabehewa kurudi kapu.
 
Pale muhimu ni reli hata tukiweka njia nne bado mzigo ni mkubwa sana .
TAZRA Mchina ameshaingia PPP. ataboresha na kuiendesha kwa miaka 27.

Tunduma panatakiwa njia 4 au 6, maana ndio lango la SADC
Kulikuwa na umuhimu kwa sasa kabla ya hatujapata fedha za tazara, tungekuwa tunauvuta mzigo kwa treni songwe hata mbeya ,
Tungeweza punguza jam.
Hizi copper Kuna umuhimu zikawa zinakuja mwagwa dodoma tu then zinasombwa kwa sgr mpaka dar kwa gharama ndogo kuliko mabehewa kurudi kapu.
 
Back
Top Bottom