Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya hali ni mbaya sana kwa walalahoi.

Na serikali inawaza kila siku kuwakamua pesa.

Mfano:

TZ ukitaka cheti cha kuzaliwa unaingia erita.go.tz unalipa leaa ya cheti Tsh 20,000 then unatumiwa.

Kenya mifumo yote ya serikali imewekwa GATE, wanaita eCitizen ambayo inae deshwa na kampuni binafsi.

Unalipa eCitizen, wanakufungulia mlango, halafu unaenda kwenye huduma unayotaka unalipia tena.
Huu kweli ni wizi , yaan nataka leseni ya kishmundu huko nitafute dalali ambaye ni e- citizen wakat naweza lipia mwenyewe. Hata hiyo ega hulipia. Gpeg ni kuverify malipo tu kuwa yamepokelewa. Tena huko tunakoelekea itakuwa ngumu sana kuiba , ml
Yaani ni UTAPELI mkubwa.

TZ tuna shirika la umma, la Mamlaka ya serikali mtandao (eGA) ila Kenya wanaongoza kujisifia ni tech hub, kwasababu Google, wana branch hapo.
 
Huu kweli ni wizi , yaan nataka leseni ya kishmundu huko nitafute dalali ambaye ni e- citizen wakat naweza lipia mwenyewe. Hata hiyo ega hulipia. Gpeg ni kuverify malipo tu kuwa yamepokelewa. Tena huko tunakoelekea itakuwa ngumu sana kuiba , ml
TZ huwezi kuiba pesa ya serikali bila kujulikana...

Wizi wa TZ ni aidha uibe kwa kuzidisha bei ya mkandarasi, uibe pesa zisizokaguliwa kama za huko Ikulu au

Uibe pesa kwa kuingiza kwenye budget activity ya kitapeli, mfano ziara.
 
TZ huwezi kuiba pesa ya serikali bila kujulikana...

Wizi wa TZ ni aidha uibe kwa kuzidisha bei ya mkandarasi, uibe pesa zisizokaguliwa kama za huko Ikulu au

Uibe pesa kwa kuingiza kwenye budget activity ya kitapeli, mfano ziara.
Na takukuru walivyo charuka sasa hivi .siku hizi naona wanajifunza hiyo mifumo yote
 
Ruto anajenga makazi yale kwavile kandarasi ni kampuni zake! Hamna merits pale!
That's true but that's the case with most African projects. Hata hapo kwenu project mnazofanya lazima wanasiasa wanakula chao. The only difference is, huku kwetu tuna Uhuru na ujasiri wa kuyaongelea, hapo kwenu ukiongelea utafuata Gwajima.
 
That's true but that's the case with most African projects. Hata hapo kwenu project mnazofanya lazima wanasiasa wanakula chao. The only difference is, huku kwetu tuna Uhuru na ujasiri wa kuyaongelea, hapo kwenu ukiongelea utafuata Gwajima.
Hata china kwenye Sheria ngumu watu wakaiba.
Ili uibe hela iliyoingizwa benki Tanzania kwa sasa ni either kwenye procurement , forgery ya activity au kama wewe mkusanyaji mapato letsay tra au county revenue collector ule cash ambayo ni ngumu sana, na ndo maana miradi kama barabara, shule na kadhalika vinajengwa ila Kenya hela ya mradi mzima inaweza potea na hakuna cha kufanyika.
Tanzania wanaiba ila sio kwa extent ya Kenya kwa sababu ya automazition na ili nikuoneshe kuwa Kuna wizi ukiangalia economic activity na kra collection ya Nairobi inaonekana ni kubwa sana kuliko dar, ikiwa na maana tulitarajia vilevile jiji na Nairobi county liwe na osr kubwa au thrice ya dar sababu ya kuwa na vyanzo vingi vya mapato kama billboards ,car parking ila ukija ukilinganisha na dar osr ya dar inaizid Nairobi
 
That's true but that's the case with most African projects. Hata hapo kwenu project mnazofanya lazima wanasiasa wanakula chao. The only difference is, huku kwetu tuna Uhuru na ujasiri wa kuyaongelea, hapo kwenu ukiongelea utafuata Gwajima.
Extent ya failed projects in Kenya ukilinganisha tZ ni unimaginable
 
That's true but that's the case with most African projects. Hata hapo kwenu project mnazofanya lazima wanasiasa wanakula chao. The only difference is, huku kwetu tuna Uhuru na ujasiri wa kuyaongelea, hapo kwenu ukiongelea utafuata Gwajima.
Hakuna mtu ana ujasiri wa kuongelea chochote Kenya.

Kenya wapiga kelele ni wanasiasa wasiokula na desperate slum dwellers.

Haya sasa hivi Luos hawafanyai maandamano, shida zao zimeisha??
 
Hata china kwenye Sheria ngumu watu wakaiba.
Ili uibe hela iliyoingizwa benki Tanzania kwa sasa ni either kwenye procurement , forgery ya activity au kama wewe mkusanyaji mapato letsay tra au county revenue collector ule cash ambayo ni ngumu sana, na ndo maana miradi kama barabara, shule na kadhalika vinajengwa ila Kenya hela ya mradi mzima inaweza potea na hakuna cha kufanyika.
Tanzania wanaiba ila sio kwa extent ya Kenya kwa sababu ya automazition na ili nikuoneshe kuwa Kuna wizi ukiangalia economic activity na kra collection ya Nairobi inaonekana ni kubwa sana kuliko dar, ikiwa na maana tulitarajia vilevile jiji na Nairobi county liwe na osr kubwa au thrice ya dar sababu ya kuwa na vyanzo vingi vya mapato kama billboards ,car parking ila ukija ukilinganisha na dar osr ya dar inaizid Nairobi
Tanzania kuiba ni ngumu mno. Wanaiba kwa kula na wakandarasi lakini siyo direct. Pesa zote zinazokusanywa zinaingizwa kwenye mfuko mkuu wa serikali. Na malipo ni kwa control Number. Kupenya ni ngumu mno lazima utumie akili ya ziada.
 
Hata china kwenye Sheria ngumu watu wakaiba.
Ili uibe hela iliyoingizwa benki Tanzania kwa sasa ni either kwenye procurement , forgery ya activity au kama wewe mkusanyaji mapato letsay tra au county revenue collector ule cash ambayo ni ngumu sana, na ndo maana miradi kama barabara, shule na kadhalika vinajengwa ila Kenya hela ya mradi mzima inaweza potea na hakuna cha kufanyika.
Tanzania wanaiba ila sio kwa extent ya Kenya kwa sababu ya automazition na ili nikuoneshe kuwa Kuna wizi ukiangalia economic activity na kra collection ya Nairobi inaonekana ni kubwa sana kuliko dar, ikiwa na maana tulitarajia vilevile jiji na Nairobi county liwe na osr kubwa au thrice ya dar sababu ya kuwa na vyanzo vingi vya mapato kama billboards ,car parking ila ukija ukilinganisha na dar osr ya dar inaizid Nairobi
Kenya wanakusanya pesa vibaya sana.

TZ unakuta mtu ana duka na hana leseni.

Au mtu ana duka, lina Pombe, Vifaa vya ujenzi, umeme, sukari, viberiti na leseni moja tu ya rejareja shilingi Tsh 40,000.

Kwa Kenya hizo ni biashara 5. Na kila moja inatakiwa malipo.


Walijichanganya na ujinga wao wa DEVOLUTION, kulipa Wanasiasa mabilioni kutaka kuwa kama Marekani wakati uchumi wa Lodwar.

Sasa Kenya Mbunge anakula Milioni Tsh 36,000,000 mshahara tu.

Akikaa miaka 10, anapata pension maisha yote.

TZ Mbunge analipwa Milioni 18.

Hakuna pension, ila kuna malipo ya mkupuo ya Tsh 250M.

===
TZ Diwani anapata Tsh 380,000 kwa mwezi.

Kenya Diwani (MCAs) anakula Tsh 2M kwa mwezi tena huwa wanacheka kwamba wanapata pesa kidogo.

Wakati TZ kwa 2M ndio mishahara ya Wakurugenzi, wakuu wa mikoa na Wilaya.

Kenya wana usenge wa Bunge la Senate, kama Marekani😅

Maseneta wanalipa Tsh 20M kwa mwezi.

Pesa yote ni KULA tu.

====
TZ tungekuwa tunakusanya pesa AGGRESSIVELY kama Kenya mpaka tunapata makusanyo kama yao.

Tungekuwa mbali vibaya sana.
 
That's true but that's the case with most African projects. Hata hapo kwenu project mnazofanya lazima wanasiasa wanakula chao. The only difference is, huku kwetu tuna Uhuru na ujasiri wa kuyaongelea, hapo kwenu ukiongelea utafuata Gwajima.

Kama Odinga vile ametoa eneo la ardhi bure pale Kisumu ili wajenge affordable housing projects. Chini ya his proxy company LV Marina.
 
100%

Lengo ni kuondoa slums.

Kitakachotokea, lengo lao ni KUFUKUZA masikini mjini.

Au zitaanza Homeless slums kama za Marekani, watu kuishi kwenye HEMA.
Slums hazimalizwi kwa kujenga nyumba bali zinamalizwa kwa kupunguza gape la wenye nacho na wasio nacho. Kenya hilo gape ni kubwa mno pengine kuliko nchi yoyote ile duniani. Nyumba zenyewe zimejengwa mbili tatu, ma slums yametapakaa Nairobi nzima, unamalizaje?
 
Back
Top Bottom