Huu kweli ni wizi , yaan nataka leseni ya kishmundu huko nitafute dalali ambaye ni e- citizen wakat naweza lipia mwenyewe. Hata hiyo ega hulipia. Gpeg ni kuverify malipo tu kuwa yamepokelewa. Tena huko tunakoelekea itakuwa ngumu sana kuiba , mlKenya hali ni mbaya sana kwa walalahoi.
Na serikali inawaza kila siku kuwakamua pesa.
Mfano:
TZ ukitaka cheti cha kuzaliwa unaingia erita.go.tz unalipa leaa ya cheti Tsh 20,000 then unatumiwa.
Kenya mifumo yote ya serikali imewekwa GATE, wanaita eCitizen ambayo inae deshwa na kampuni binafsi.
Unalipa eCitizen, wanakufungulia mlango, halafu unaenda kwenye huduma unayotaka unalipia tena.
Yaani ni UTAPELI mkubwa.
TZ tuna shirika la umma, la Mamlaka ya serikali mtandao (eGA) ila Kenya wanaongoza kujisifia ni tech hub, kwasababu Google, wana branch hapo.
TZ huwezi kuiba pesa ya serikali bila kujulikana...Huu kweli ni wizi , yaan nataka leseni ya kishmundu huko nitafute dalali ambaye ni e- citizen wakat naweza lipia mwenyewe. Hata hiyo ega hulipia. Gpeg ni kuverify malipo tu kuwa yamepokelewa. Tena huko tunakoelekea itakuwa ngumu sana kuiba , ml
Na takukuru walivyo charuka sasa hivi .siku hizi naona wanajifunza hiyo mifumo yoteTZ huwezi kuiba pesa ya serikali bila kujulikana...
Wizi wa TZ ni aidha uibe kwa kuzidisha bei ya mkandarasi, uibe pesa zisizokaguliwa kama za huko Ikulu au
Uibe pesa kwa kuingiza kwenye budget activity ya kitapeli, mfano ziara.
Wanaasema njia 6, mpaka Mkuranga.Nasikia kuanzia pale daraja la kongowe mpaka vikindu itajengwa barabara ya njia 3
That's true but that's the case with most African projects. Hata hapo kwenu project mnazofanya lazima wanasiasa wanakula chao. The only difference is, huku kwetu tuna Uhuru na ujasiri wa kuyaongelea, hapo kwenu ukiongelea utafuata Gwajima.Ruto anajenga makazi yale kwavile kandarasi ni kampuni zake! Hamna merits pale!
Ukijiskia unaweza jicheka sana.Hao ni investors wa hotel wa Hotel.
Kenya foreigners wanajenga estates zao, maisha yao, na taratibu zao.
Wewe ulifanya Gani ya Wakenya?Unapofanya tathmini lazima ufanye sampling.
Ni njia gani umetumia kufanya sampling ya Azam versus 60mil tanzanians
Imefanyika kwa kuangalia county life, county revenue collection, county GDP in relation on the actual fact on the ground.Wewe ulifanya Gani ya Wakenya?
Hata china kwenye Sheria ngumu watu wakaiba.That's true but that's the case with most African projects. Hata hapo kwenu project mnazofanya lazima wanasiasa wanakula chao. The only difference is, huku kwetu tuna Uhuru na ujasiri wa kuyaongelea, hapo kwenu ukiongelea utafuata Gwajima.
Extent ya failed projects in Kenya ukilinganisha tZ ni unimaginableThat's true but that's the case with most African projects. Hata hapo kwenu project mnazofanya lazima wanasiasa wanakula chao. The only difference is, huku kwetu tuna Uhuru na ujasiri wa kuyaongelea, hapo kwenu ukiongelea utafuata Gwajima.
Hakuna mtu ana ujasiri wa kuongelea chochote Kenya.That's true but that's the case with most African projects. Hata hapo kwenu project mnazofanya lazima wanasiasa wanakula chao. The only difference is, huku kwetu tuna Uhuru na ujasiri wa kuyaongelea, hapo kwenu ukiongelea utafuata Gwajima.
Wewe ulifanya Gani ya Wakenya?
Tanzania kuiba ni ngumu mno. Wanaiba kwa kula na wakandarasi lakini siyo direct. Pesa zote zinazokusanywa zinaingizwa kwenye mfuko mkuu wa serikali. Na malipo ni kwa control Number. Kupenya ni ngumu mno lazima utumie akili ya ziada.Hata china kwenye Sheria ngumu watu wakaiba.
Ili uibe hela iliyoingizwa benki Tanzania kwa sasa ni either kwenye procurement , forgery ya activity au kama wewe mkusanyaji mapato letsay tra au county revenue collector ule cash ambayo ni ngumu sana, na ndo maana miradi kama barabara, shule na kadhalika vinajengwa ila Kenya hela ya mradi mzima inaweza potea na hakuna cha kufanyika.
Tanzania wanaiba ila sio kwa extent ya Kenya kwa sababu ya automazition na ili nikuoneshe kuwa Kuna wizi ukiangalia economic activity na kra collection ya Nairobi inaonekana ni kubwa sana kuliko dar, ikiwa na maana tulitarajia vilevile jiji na Nairobi county liwe na osr kubwa au thrice ya dar sababu ya kuwa na vyanzo vingi vya mapato kama billboards ,car parking ila ukija ukilinganisha na dar osr ya dar inaizid Nairobi
Kenya wanakusanya pesa vibaya sana.Hata china kwenye Sheria ngumu watu wakaiba.
Ili uibe hela iliyoingizwa benki Tanzania kwa sasa ni either kwenye procurement , forgery ya activity au kama wewe mkusanyaji mapato letsay tra au county revenue collector ule cash ambayo ni ngumu sana, na ndo maana miradi kama barabara, shule na kadhalika vinajengwa ila Kenya hela ya mradi mzima inaweza potea na hakuna cha kufanyika.
Tanzania wanaiba ila sio kwa extent ya Kenya kwa sababu ya automazition na ili nikuoneshe kuwa Kuna wizi ukiangalia economic activity na kra collection ya Nairobi inaonekana ni kubwa sana kuliko dar, ikiwa na maana tulitarajia vilevile jiji na Nairobi county liwe na osr kubwa au thrice ya dar sababu ya kuwa na vyanzo vingi vya mapato kama billboards ,car parking ila ukija ukilinganisha na dar osr ya dar inaizid Nairobi
That's true but that's the case with most African projects. Hata hapo kwenu project mnazofanya lazima wanasiasa wanakula chao. The only difference is, huku kwetu tuna Uhuru na ujasiri wa kuyaongelea, hapo kwenu ukiongelea utafuata Gwajima.
Slums hazimalizwi kwa kujenga nyumba bali zinamalizwa kwa kupunguza gape la wenye nacho na wasio nacho. Kenya hilo gape ni kubwa mno pengine kuliko nchi yoyote ile duniani. Nyumba zenyewe zimejengwa mbili tatu, ma slums yametapakaa Nairobi nzima, unamalizaje?100%
Lengo ni kuondoa slums.
Kitakachotokea, lengo lao ni KUFUKUZA masikini mjini.
Au zitaanza Homeless slums kama za Marekani, watu kuishi kwenye HEMA.