Mjini kunatakiwa Trams.Ila commuter trains within the cities haziwi na speed kali! Hizo za 200km/h zitafaa kwenda mikoani!
Na njia za TRC zipo.
Hawa watu huwa wapo tu.
Issue ni mikataba.
Mjini kunatakiwa Trams.Ila commuter trains within the cities haziwi na speed kali! Hizo za 200km/h zitafaa kwenda mikoani!
Hamna tram zinakimbia mijini 200km/h na Alstom wana trams pia!Mjini kunatakiwa Trams.
Na nnia za TRC zipo.
Hawa watu huwa wapo tu.
Issue ni mikataba.
Nilikuwa naonesha tu kuwa wapo na High speed treniIla commuter trains within the cities haziwi na speed kali! Hizo za 200km/h zitafaa kwenda mikoani!
Mimi naona hawa ni wazuri tukienda nao.Hamna tram zinakimbia mijini 200km/h na Alstom wana trams pia!
Wanajiita wasomali ila wanaibiwa kizembeHoyo wanaita Affordable housing ni uhuni tu.
Kwanza pesa zinakatwa kwenye mishahara ya wakenya hao hao.
Ardhi yoyote inaweza badilishwa ikwa ya kilimo hata jangwa linaweza badilishwa likawa poli ni stratejia tu, misri ni zaid ya Kenya ila ndo wanaongoza kwa mchele Africa.Na sasa hivi serikali imejosa pesa, na imeona kuna hizo pesa za affordable zipo, wanataka kuzobadilishia matumizi.
yaani imeshakuwa kodi mpya, tena siyo ya kujenga nyumba.
pia hizo nyumba wengi hawamudu kulipa.
Shida ya Kenya siyo kulima tu. Hata hiyo ardhi ya kilimo, ni ndogo sana.
Inahitaji mtaji mkubwa na serikali iache kutoza makodi kwenye kilimo.
Mimi naona Bora waje wajapan wako juu kuliko haoMimi naona hawa ni wazuri tukienda nao.
Nyangau priorities zake ziko misplaced since independence. They are so fond of artificial prosperity wanasahau hawana solid base.Tunajenga nyumba kwa gharama kubwa ili kuja kuwauzia watu wasio na kipato wakati hiyo hela ungeweza kwenda iwekeza kwenye irrigation schemes na mabwawa kwenye maeneo yenye ukame na kuhamasisha kilimo cha umwagiliaji kwa msimu mzima, baada ya hapo wananchi wenyewe watapata mitaji na wataanza kujenga nyumba Bora wengine waataanzisha miradi mwingine ambayo italeta multiplier effect kwenye zoezi Zima la ajira
Ndo maana ukiangalia utofauti wa tajiri na maskini ni ndogo sana ukilinganisha na Kenya
Ukienda sehemu kama njombe,songea ,singida iringa unapata ushahidi jinsi kilimo kilivyobadilisha maisha ya watu hasa cha umwagiliaji.
Singida Kuna ukame sana ila ndo sehemu inayoongoza kwa kuzalisha vitunguu kwa central tanzania
..............and proper implementation of laws and regulations. Maneno ya watu kudrive kwenye walkways time ya jam imalizwe.I thought 80% of Nairobi is slums ( according to Uswazi sources)…🤣🤣…
Nairobi is so world class and modern, just some touches on horizontal infrastructure and some landscaping here and there , otherwise it has no equal between Cairo and Jozi ..
Hivi unaona wale Waarabu akina Bakhresa na Rostam na Mo Dewji tofauti yao na wewe mkaa kijiweni Tandale ni ndogo? Huwa mnapenda kujitekenya mkicheka wenyewe.Tunajenga nyumba kwa gharama kubwa ili kuja kuwauzia watu wasio na kipato wakati hiyo hela ungeweza kwenda iwekeza kwenye irrigation schemes na mabwawa kwenye maeneo yenye ukame na kuhamasisha kilimo cha umwagiliaji kwa msimu mzima, baada ya hapo wananchi wenyewe watapata mitaji na wataanza kujenga nyumba Bora wengine waataanzisha miradi mwingine ambayo italeta multiplier effect kwenye zoezi Zima la ajira
Ndo maana ukiangalia utofauti wa tajiri na maskini ni ndogo sana ukilinganisha na Kenya
Ukienda sehemu kama njombe,songea ,singida iringa unapata ushahidi jinsi kilimo kilivyobadilisha maisha ya watu hasa cha umwagiliaji.
Singida Kuna ukame sana ila ndo sehemu inayoongoza kwa kuzalisha vitunguu kwa central tanzania
Tukianza panda miti iringa miaka na miaka ila Leo ndo wauzaji wa kubwa wa mbao na wao wangeweza badilisha Yale majangwa kwa kuanza kupanda miti kutokeza central Kenya kwenye mvua za kutosha kupelekea kwenye majangwa , sasa hivi eneo lote la turkana lingekuwa na mvuaNyangau priorities zake ziko misplaced since independence. They are so fond of artificial prosperity wanasahau hawana solid base.
Sisi tuna vyanzo vingi vya mapato unlike nyangau inachohitajika ni kukaxa kamba tuu kuboresha mazingira ya biashara.Tusiwacheke Kwa hilo na sisi tunaelekea huko
Geza is it interesting vile huwa mnasema uchumi wa Kenya umeshikiliwa na Wazungu yet hao hao Wazungu wakiwekeza Vumbistan mnacelebrate?Radisson Hotel Group Adds 7 Africa Hotels, Including Debut Tanzania Properties
by Dori Saltzman June 25, 2024
Radisson Hotel Group Adds 7 Africa Hotels, Including Debut Tanzania Properties
View attachment 3360289
Radisson Hotel Mwanza. Photo: Radisson Hotel Group
Radisson Hotel Group has added seven hotels to its African portfolio, adding more than 1,200 hotel rooms including its debut properties in Tanzania. In total, the Group has grown to 100 hotels in operation or under development in 30 countries.
“The seven new hotels align with our expansion strategy, demonstrating significant growth in key African markets such as Morocco, Nigeria, Tunisia, and Ethiopia, as well as our highly anticipated debut in Tanzania,” said Ramsay Rankoussi, vice president, development, Africa and Turkey at Radisson Hotel Group. “These hotels also highlight our conversion strategy and our commitment to diversifying our portfolio by introducing new brands…”
In Tanzania, the brand is entering the market with two properties: the Radisson Blu Hotel & Apartments in Dar es Salaam and the Radisson Hotel Mwanza. Both open in 2025.
Radisson Blu Hotel & Apartments will be a 138-room hotel, featuring 94 guestrooms and 44 three-bedroom apartments. It will occupy the top 14 floors of a 33-floor tower and is within walking distance of the ferry terminal to Zanzibar Island.
Currently under construction, Radisson Hotel Mwanza will be a 196-room hotel, and is an ideal starting point for tours to Serengeti National Park. The only branded hotel in Mwanza, it will feature a lobby café and bar, all-day dining restaurant, sports bar, outdoor pool bar, executive lounge, and two specialty restaurants.
Other new properties that have been or will be added are in Morocco, Tunisia, Nigeria, and Ethiopia.
“With a strong first half of the year, we plan to continue the momentum in the second half by focusing on expanding our presence in key markets such as Morocco and South Africa, where we’ve recently announced our ambition to reach 25 hotels by 2030, doubling the portfolio in both countries,” added Rankoussi.
Radisson Hotel Group Adds 7 Africa Hotels, Including Debut Tanzania Properties
Radisson Hotel Group has added more than 1,200 hotel rooms across Africa.www.travelmarketreport.com
MY TAKE
Hivi Kisumu ina global branded hotel yeyote? Hata 4 star hotel? Au ni kelele tu humu ndani?
nairobae, NairobiWalker, IamLee, mwathadan Nicxie n Teargass
Ruto anajenga makazi yale kwavile kandarasi ni kampuni zake! Hamna merits pale!Hivi unaona wale Waarabu akina Bakhresa na Rostam na Mo Dewji tofauti yao na wewe mkaa kijiweni Tandale ni ndogo? Huwa mnapenda kujitekenya mkicheka wenyewe.
Hao ni investors wa hotel wa Hotel.Geza is it interesting vile huwa mnasema uchumi wa Kenya umeshikiliwa na Wazungu yet hao hao Wazungu wakiwekeza Vumbistan mnacelebrate?
Tanga Linganisha na Lodwar Town in Turkana.Mombasa inashinda Tanga, labda rich neighbourhood kama Nyeri.
Maana Tanga hakuna Afghanstan.
Tanga is better than MombasaTanga Linganisha na Lodwar Town in Turkana.