Tanga is better than MombasaTanga Linganisha na Lodwar Town in Turkana.
Tanga is better than MombasaTanga Linganisha na Lodwar Town in Turkana.
Unapofanya tathmini lazima ufanye sampling.Hivi unaona wale Waarabu akina Bakhresa na Rostam na Mo Dewji tofauti yao na wewe mkaa kijiweni Tandale ni ndogo? Huwa mnapenda kujitekenya mkicheka wenyewe.
Lodwar is better than Tanga.Tanga is better than Mombasa
Mfano kwa mbagala pale treni ingekuwa inaishia kizuianiMjini kunatakiwa Trams.
Na njia za TRC zipo.
Hawa watu huwa wapo tu.
Issue ni mikataba.
Mji umeshaenda mpaka Vikindu.Mfano kwa mbagala pale treni ingekuwa inaishia kizuiani
Nasikia kuanzia pale daraja la kongowe mpaka vikindu itajengwa barabara ya njia 3Mji umeshaenda mpaka Vikindu.
Give me examples of malls with logistics centers hapa tuone
Kingereza kimekupiga chenga. It’s the owner of the mall that is providing logistic services and not the mall.![]()
Aeon Mall to roll out low-cost logistics service in Vietnam
Japanese shopping center operator looks to attract more upscale tenantsasia.nikkei.com
Kuna utofauti sana. investor akija wekeza hatujitambii kwamba n kampuni ya tanzania na kuanza kufanya showoff kwa wengine , sisi tunabaki nalo moyoni kama fursa ya ajira, ila huyo investor akiingia Kenya Huwa mnataka mpaka kuanzisha bullying kwa wengine .Geza is it interesting vile huwa mnasema uchumi wa Kenya umeshikiliwa na Wazungu yet hao hao Wazungu wakiwekeza Vumbistan mnacelebrate?
www.instagram.com
Baada ya kukamilisha JNHPP sio? Natumai hiyo budget ina-cover fedha za connection to the main grid!Teargass NairobiWalker nairobae Budget ya wizara ya Nishati, pesa ya maendeleo TSh 2,167,513,219,000 = $815.30 million USD
View attachment 3360352
Nahisi malipo ya mkandarasi wa Nyerere bado yamoBaada ya kukamilisha JNHPP sio? Natumai hiyo budget ina-cover fedha za connection to the main grid!
Aawapi Tanga the host of the longest n most modern heated pipeline in the World!Lodwar is better than Tanga.
But MPesa is 100% owned by Safaricom. So what’s your point?Kuna utofauti sana. investor akija wekeza hatujitambii kwamba n kampuni ya tanzania na kuanza kufanya showoff kwa wengine , sisi tunabaki nalo moyoni kama fursa ya ajira, ila huyo investor akiingia Kenya Huwa mnataka mpaka kuanzisha bullying kwa wengine .
Mfano origin ya mpesa haikuwa Kenya na aliyeanzisha idea iliyopelekea kuanzishwa kwa mpesa (nick Hughes) hakuwa mkenya na wala initial developer ( sagentia) SI ya kikenya bali Kenya ilikuwa kama pilot study tu ila sasa mnavyojifisiaga
Naona kama budget ndogo ila ngoja tuone maana kuna suala la LNG Terminal naona limesahaulika!Nahisi malipo ya mkandarasi wa Nyerere bado yamo
Does that make Tanga any better? Lodwar is also home to Oil fields. Do you such in Tanga?Aawapi Tanga the host of the largest crude oil terminal in East and central Africa! Aside the just launched LPG Terminal for ASAS! Kule Lodwar najua wana-host njaa tu!
Hapana mkandarasi SI analipwa kwa awamu , inategemeana na mkataba unasemaje kuhusu malipo, pia kwenye stage ya malipo Kuna amount inashikiliwa pale itapotokes ujenzi haujakaa sawa na Kuna marekebisho yatahitaji fanyika.Naona kama budget ndogo ngoja tuone!
BTW serikali ya CCM ilileta figisu maana katika pilot project Tanzania ilikuwapo pia!Kuna utofauti sana. investor akija wekeza hatujitambii kwamba n kampuni ya tanzania na kuanza kufanya showoff kwa wengine , sisi tunabaki nalo moyoni kama fursa ya ajira, ila huyo investor akiingia Kenya Huwa mnataka mpaka kuanzisha bullying kwa wengine .
Mfano origin ya mpesa haikuwa Kenya na aliyeanzisha idea iliyopelekea kuanzishwa kwa mpesa (nick Hughes) hakuwa mkenya na wala initial developer ( sagentia) SI ya kikenya bali Kenya ilikuwa kama pilot study tu ila sasa mnavyojifisiaga
Kenya siyo wamiliki wa vitu.Kuna utofauti sana. investor akija wekeza hatujitambii kwamba n kampuni ya tanzania na kuanza kufanya showoff kwa wengine , sisi tunabaki nalo moyoni kama fursa ya ajira, ila huyo investor akiingia Kenya Huwa mnataka mpaka kuanzisha bullying kwa wengine .
Mfano origin ya mpesa haikuwa Kenya na aliyeanzisha idea iliyopelekea kuanzishwa kwa mpesa (nick Hughes) hakuwa mkenya na wala initial developer ( sagentia) SI ya kikenya bali Kenya ilikuwa kama pilot study tu ila sasa mnavyojifisiaga