Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Withholding Tax Tanzania vs Kenya​


CategoryKenya (Resident / Non-Resident)Tanzania (Resident / Non-Resident)
Dividends5% / 15%5–10% / 10%
Interest10–25% / 15–25%10% / 10%
Royalties5% / 20%15% / 15%
Tech/Professional fees5% / 20%5% / 15–20%
Contractual fees3% / 20%(Included above)
Rent (property)10% / 30%10% / 15%
Other (digital, insurance)5–20% dependent on type/residency5–10% / 15%
 
Detailed comparison of electricity costs between Kenya and Tanzania
FactorKenyaTanzania
Cost (residential)~$0.24/kWh~$0.085/kWh
Cost (business)~$0.18/kWh~$0.088/kWh
Price vs global average~167%~58%
Energy mixGeothermal, Hydro, ThermalGas, Hydro, Thermal
 
While SGR Naivasha-Malaba loading... by the time wanachukua mkopo it will be 110%
Sidhani kama kuna nchi inakopesha tena Kenya kujenga hicho kipande.

Wamepambana sana kupata pesa bila mafanikio.

Ruto mpaka ameenda China, ameanzisha mpaka beef uhusiano na Marekani, na kataja TZ na Uganda kama LDC lakini hajapata.

Na Ujue SGR ya Kenya ina miaka zaidi ya 10 sasa.

Wakopeshaji wanaona Kenya ina high risk ya ku-default.
 
L
Detailed comparison of electricity costs between Kenya and Tanzania
FactorKenyaTanzania
Cost (residential)~$0.24/kWh~$0.085/kWh
Cost (business)~$0.18/kWh~$0.088/kWh
Price vs global average~167%~58%
Energy mixGeothermal, Hydro, ThermalGas, Hydro, Thermal
Yaan mwigulu kama ananiona ebu tupunguze wharfage charges walau 40ft container iwe 60 kwa raia wa Malawi,Uganda,drc na cost nyingine halafu tupunguze import duty kwa raw materials
 
L
Detailed comparison of electricity costs between Kenya and Tanzania
FactorKenyaTanzania
Cost (residential)~$0.24/kWh~$0.085/kWh
Cost (business)~$0.18/kWh~$0.088/kWh
Price vs global average~167%~58%
Energy mixGeothermal, Hydro, ThermalGas, Hydro, Thermal
Yaan mwigulu kama ananiona ebu tupunguze wharfage charges walau 40ft container iwe 60 kwa raia wa Malawi,Uganda,drc
 
Aawapi Tanga the host of the longest n most modern heated pipeline in the World!

Aside thelargest crude oil terminal in East and central Africa! Aside the just launched LPG Terminal for ASAS!

Boy Tanga is not ur type Tanga should in the conversation in the league of Mombasa! Kule Lodwar najua wana-host njaa tu! Wana nn zaidi ya njaa?
Lodwar yenyewe sasa 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Screenshot_20250608_122702_Google.jpg
Screenshot_20250608_122732_Google.jpg
Screenshot_20250608_122759_Google.jpg
 
Sidhani kama kuna nchi inakopesha tena Kenya kujenga hicho kipande.

Wamepambana sana kupata pesa bila mafanikio.

Ruto mpaka ameenda China, ameanzisha mpaka beef uhusiano na Marekani, na kataja TZ na Uganda kama LDC lakini hajapata.

Na Ujue SGR ya Kenya ina miaka zaidi ya 10 sasa.

Wakopeshaji wanaona Kenya ina high risk ya ku-default.
Ile reli imekaaa kushoto kwa kutembea nchi Moja tu pili hakuna mzigo return. Then kuna issue ya sgr Tanzania inaenda kuharibu kule eastern congo.
Wabgefanikiwa kufikisha Rwanda Ile mwanzo ingelipa maana Rwanda mpaka sasa angekuwa bado anatumia bandar ya Mombasa kwa w wingi tofauti na sasa Ile kuchelewa kwao na Mzee magu akaanza Jenga Ile ya mwanza imewakata maini wanyarwanda hivyo macho yao yote yamegeukia tZ . Yule atayefanikisha kufikisha reli mpakani mwa drc kabla ya mwenzake ndo atawin wateja kitu ambacho Kenya sasa hivi hawawez Tena.
 
Ile reli imekaaa kushoto kwa kutembea nchi Moja tu pili hakuna mzigo return. Then kuna issue ya sgr Tanzania inaenda kuharibu kule eastern congo.
Wabgefanikiwa kufikisha Rwanda Ile mwanzo ingelipa maana Rwanda mpaka sasa angekuwa bado anatumia bandar ya Mombasa kwa w wingi tofauti na sasa Ile kuchelewa kwao na Mzee magu akaanza Jenga Ile ya mwanza imewakata maini wanyarwanda hivyo macho yao yote yamegeukia tZ . Yule atayefanikisha kufikisha reli mpakani mwa drc kabla ya mwenzake ndo atawin wateja kitu ambacho Kenya sasa hivi hawawez Tena.
Rwanda siku zote wamekuwa wanatumia Bandari za Tanzania hata kabla ya Magufuli! Pitia details uone! Propaganda hailipi mzee!
 
Mbona haiwezekani saaa
Kenya hali ni mbaya sana kwa walalahoi.

Na serikali inawaza kila siku kuwakamua pesa.

Mfano:

TZ ukitaka cheti cha kuzaliwa unaingia erita.go.tz unalipa pesa ya cheti Tsh 20,000 then unatumiwa.

Kenya mifumo yote ya serikali imewekwa GATE, wanaita eCitizen ambayo inaendeshwa na kampuni binafsi.

Unalipa eCitizen, wanakufungulia mlango, halafu unaenda kwenye huduma unayotaka unalipia tena.

Yaani ni UTAPELI mkubwa.

TZ tuna shirika la umma, la Mamlaka ya serikali mtandao (eGA) ila Kenya wanaongoza kujisifia ni tech hub, kwasababu Google, wana branch hapo.
 
Back
Top Bottom