Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,944
- 103,829
Naona watu wanatoka kwenye viti..🤣🤣
TZ na kundudwellers nchi gani ina fleet companies nyingi?yani hata mwendawazimu hawezi kuwaza upumbavu huo yani ndani ya miaka miwili ambayo economy yao inasuasua wameweza kuongeza mizigo 10tons tena wanashangilia kabisa uwongo wanaodanganywa na politicians wao😂😂
You can combine and tell us the total, we deal with facts not assumptions.Hivi unajua ministries of transport n works r different in Tanzania? That Ksh 130 bln is only for ministry of transport! Its pretty obvious our budget is bigger than urs when the two ministries i.e. Works n Transport r combined! FYI railway, ports n aircraft procurement is under ministry of Transport while roads, bridges, sea vessels n airports under ministry of works!
Huyo hamna anachojua,hata dar hajawahi kufikaKama mizigo ends in Dar, why too much traffic on Dar Tunduma Road, and Morogoro Dodoma road. Hayo maroli ni empty?
You think putting opposition leaders in prison not for crimes but for speaking up against the government is progress?
An opposition being in prison, means he is doing the rigth thing against the establishment.You think putting opposition leaders in prison not for crimes but for speaking up against the government is progress?
Raila kashikishwa mlungula yupo Bondo anakula pension!You think putting opposition leaders in prison not for crimes but for speaking up against the government is progress?
Genge la Raila lote Ruto amelipa Vyeo.Raila kashikishwa mlungula yupo Bondo anakula pension!
You're a very confused fella. Wacha nikuache.😂😂😂An opposition being in prison, means he is doing the rigth thing against the establishment.
Who is the opposition in Kenya??
Wizara ya Uchukuzi Tanzania Budget ni: TSH trilioni 2.746 sawa na USD 1.06 billionYou can combine and tell us the total, we deal with facts not assumptions.
Brainwashed goons, thinking they are okay, with a very vibrant democratic spaceYou're a very confused fella. Wacha nikuache.😂😂😂
Mimi nakupatia data from Treasury wenye kupanga budget. Total budget for roads alone was ksh 193 billion, ukiongeza na other types of transport inakuja ksh 242 billion for Transport. Hio ni budget ya transport pekee, the same ministry bado ndio inashughulika na public works and urban housing na budget zao haziko hapo. Sasa tafuta another excuse ju munapenda excuses.2024/2025 tuko kwenye estimates za 2025/2026,
Anyway data zako Zina uwalakini leta estimates za mwaka huu
The total road budget for the Ministry of Roads and Transport in Kenya for the 2024/25 financial year was increased to Sh171.9 billion, a 29.1% increase from the previous year's Sh133.2 billion. This includes allocations for road construction, maintenance, and rehabilitation, with specific amounts listed for road safety, construction, maintenance, and rehabilitation.
Detailed Breakdown:
Road Safety: Ksh 4.2 billion
Construction of Roads and Bridges: Ksh 86.2 billion
Maintenance of Roads: Ksh 37.7 billion
Rehabilitation of Roads: Ksh 69.5 billion
Ukisema tuweke na barabara hapa
View attachment 3359553
Pia jua hapo kwenu ministry of roads and transport ni wizara Moja kwetu hapo ni wizara mbili na zote zimebeba mzigo wa maana
In Kenya, many politicians are critics of the government. Not just Raila. Hapo kwenu mmefunga Tundu Lissu for daring speak up alafu wafuasi wake wamenyamaza tu hawasemi chochote. Alafu mnatutajia dictatorship zengine kama SS na UG ati hao ndio wenzenu kwa democracy. You have a long way to go.😂😂😂Raila kashikishwa mlungula yupo Bondo anakula pension!
Do you even understand the meaning of a democratic space?😂😂Brainwashed goons, thinking they are okay, with a very vibrant democratic space
So you think you understand?😁Do you even understand the meaning of a democratic space?😂😂
In Kenya, there is no political parties.In Kenya, many politicians are critics of the government.
Wajaluo wametumia miaka 40 kupigania maslahi binafsi ya Raila.Not just Raila. Hapo kwenu mmefunga Tundu Lissu for daring speak up alafu wafuasi wake wamenyamaza tu hawasemi chochote. Alafu mnatutajia dictatorship zengine kama SS na UG ati hao ndio wenzenu kwa democracy. You have a long way to go.😂😂😂
Sahii hata Gachagua ndio the defacto opposition leader and the government can not dare put him in prison kama huyo Lissu wao.You think putting opposition leaders in prison not for crimes but for speaking up against the government is progress?
Ngoja sasa nianze kukupatia za uso.Mimi nakupatia data from Treasury wenye kupanga budget. Total budget for roads alone was ksh 193 billion, ukiongeza na other types of transport inakuja ksh 242 billion for Transport. Hio ni budget ya transport pekee, the same ministry bado ndio inashughulika na public works and urban housing na budget zao haziko hapo. Sasa tafuta another excuse ju munapenda excuses.
View attachment 3359580
Gachagua is still a stupid establishment goon thrown away of the food table.Sahii hata Gachagua ndio the defacto opposition leader and the government can not dare put him in prison kama huyo Lissu wao.