Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kiongozi kumpa muendeshaji wa nje sio kosa huu ni uchumi huria. Mfano wewe hujawahi ku run mwendokasi ila unalazimisha kuendesha mwendo kasi wakati concept ya mwendokasi huijui ndio maana vitu vingi havikukamilika kwa wakati kama ticketing system, route tracker time display, na mambo mengi ya ufanisi wa uendeshaji. UDART kaendesha mwendokasi wapi pengine duniani au mmeshasahau mwenye UDART ni nani?
Uchumi huria sawa ila kuna sekta kama izi haifai kupewa mwekezaji wa njee ingekuwa atcl hapa sawa ila sio usafiri wa umma
 
Kama hiyo ndio sababu, mbona hata sasa kuna kampuni local imepewa sehemunya mradi??

View attachment 3354580
Mwanzoni ilitakiwa iwe hivyo lakini sasa anybody can operate sababu hii concept ya BRT imeshazoeleka huku kwetu na changamoto tumeshazijua na zimefanyiwa utatuzi hususan kwenye eneo la ticketing na display ya muda wa mabasi kuwasili vituoni hii kazi walipewa kampuni toka Spain kama sikosei.
 
Is yours based on statistics? I was there and I know Eastleigh. You just threw words around. Can you even tell how tall the tallest building under construction in Kariakoo is?
kama huwezi kuleta stat but una argue on what you saw in KKO tufunge mjadala maana hakutakuwa na informing conclusion.
 
Uchumi huria sawa ila kuna sekta kama izi haifai kupewa mwekezaji wa njee ingekuwa atcl hapa sawa ila sio usafiri wa umma
kama kampuni zetu ama serikali hazina ufanisi katika uendeshaji wake tufanyaje mkuu? Tuangalie miradi ya gharama ikifa polepole ama tufanye maamuzi magumu?
 
Hawa jamaa ni kama ma- ng'ombe tu, useless fellas
Wacha kufatisha taarifa za wapumbavu, kwasababu hizo hazitabadili ukweli. We all know what’s your intention. Madereva watakaoenda Qatar ndio kwanzaa wapo kwenye usahili, hii ni taarifa ya 29th May 2025. 👇🏾
View: https://youtu.be/WtimxkLLJxc?si=XWZ5JZDJ-zKCMG5E. Haya mtueleze hao maderva sabini walioshindwa kuendesha gari Qatar taarifa hiyo mmeitoa wapi.? 🤣🤣🤣🤣.

Yani hii fursa ya watanzania pia inawauma.? Mmeona muipige propaganda.? Sisi tumezungukwa na jirani mwenye roho mbaya sana.

Mnatamani wamgekua wakunyarenda.? 🤣🤣🤣
 

View: https://youtu.be/gfzOMAbW1DU?si=RpCxry5Lewff6V69

MY TAKE
Kuna mtu ana clips ama fotos za portlink imefikia wapi?

Na Mimi ndo natafuta picha.

Hiv hio reli ya mizigo itaanzia Kwala au vip? Vip maroli yataacha kwenda Bandarini?

I wish maroli yote yenye mizigo ya transit isiyo ya Dar wachukulie kwala, Morogoro na kule ihumwa Dodoma. Mizigo ya Dar ichukuliwe na trucks ndogo za kawaida kupunguza msongomano Mjini
 
Bro.....I'm telling you the truth. It's not even close. Not even close. Eastleigh alone has more than 3 times the amount of construction at Kariakoo. I looked at this place and honestly, it would be considered a sleepy area in terms of construction if placed in Nairobi.
Eh? Hebu tupostie YouTube tuone ulipopita Kariakoo.

Au kutembea kwako Lumumba ukadhani umeiona kariakoo. Na I think ndo maana ulisema Dar is less Busy compared to Nairobi. Mtu aliyefika congo, msimbazi, sikukuu nk hawezi kusema Dar is less busy compared to Nairobi

Kariakoo is under construction. Every street there something being constructed

Lakin wew ni mbishi mbishi tu
 
Eh? Hebu tupostie YouTube tuone ulipopita Kariakoo.

Au kutembea kwako Lumumba ukadhani umeiona kariakoo. Na I think ndo maana ulisema Dar is less Busy compared to Nairobi. Mtu aliyefika congo, msimbazi, sikukuu nk hawezi kusema Dar is less busy compared to Nairobi

Kariakoo is under construction. Every street there something being constructed

Lakin wew ni mbishi mbishi tu
Eistleigh ni sawa na 1/4 ya kariakoo na ni chafu balaaa 👇🏾
View: https://youtu.be/jQarzLoifCE?si=_eUPba_t08Demd7P. Hakuna chochote cha kuona huko vumbi mtindo mmoja. Ndio mana huyo fala anakaza fuvu. Kariakoo is incomparable in this region. Ni rahisi kuona idadi ya gorofa zinazojengwa ndani ya eistleigh kwasababu ni ka area kadunchu.
 
Natamani mtu arushe drone aioneshe hii mikocheni.. kwasasa mikocheni ina uwekezaji umefanyika lakini hatuna picha mpya za hayo maeneo wakuu. Naishia kuiba screeshot za video za matangazo ya biashara za watu. 😄. 👇🏾
IMG_8223.jpeg
IMG_8222.jpeg
 
Back
Top Bottom