Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Looks like Kibera slum be huge than most of us think,
Kibera slum is currently the Largest slum in the world.
Surveys confirms 60% of Nairobi population reside in slums.
See the Aeria view of Kibera slum

View: https://www.facebook.com/share/v/1Dopywmu7x/

Sasa an area measuring just 2.5 square kilometers unalinganishaje na uswazi zenu zilizotapakaa kila mahali. Dar ni slums Kila corner
 
Kwa namna mchakato wa kupata fedha unavyokuwa mrefu serikalini ni ngumu sana kuendesha huu mradi kwa ufanisi. Ni Bora serikali iendelee na ujenzi wa miundombinu ila upande wa waendeshaji wa mabasi waweke kampuni tofauti tofauti.

Serikalini Hela kuingia ni rahisi ila kutoka ni ngumu, pili watu wa kupiga kwa pet cash... Kwa biashara ya usafirishaji unatakiwa uwe na balance cash muda wowote kwa ajili ya dharura... Huwezi kuandika pet cash kila siku sijui bolts, oils, rangi, break pads,fluids etc... utachoka..

Halafu bado upigaji upo sana maana uwajibikaji ni zero....wahasibu wanadhani wakitoa Hela ni kama wanakupa ya kutumia,sio ya kufanyia kazi... Zile gari zingekuwa zinajichanganya mtaani wangekuwa wananyonya mafuta kila siku...ila wanaiba sana engine oils na lubricant... Wananunua ila hawaweki kwenye magari...yanakufa tu yenyewe hakuna anaejali...

Kampuni binafsi wanakuwa na uchungu na gari zao, service watazingatia, uendeshaji wa tahadhari watazingatia na mambo mengine.... Ile maintenance team pale ukienda kuwakagua sidhani kama wanajua kazi yao...kila siku wana outsource mafundi nje na bado wako na kitengo Cha Ufundi... Ni upigaji tu wa kifala...

Gari ni matunzo na service kulingana na ratiba, hizo za kwao hawatunzi kabisa na ni kwa sababu usimamizi hakuna... management Haina wataalam wa mambo ya magari na usafirishaji... Kiburi na fair of insubordination inapelekea kuua mradi..
Wabinafsishe tu...wanakie kutoza Hela ya njia.
Kaka umemaliza kila kitu, nafurahi kwamba watu wa government wapo humu na wanaona, ndiyo mana baadhi ya ushauri mwingi wa humu huwa wanaufanyia kazi.
 
The oly shopping mall in the region with rooftop parking lots. Kama unaumia itabidi uumie ukijua hivyo ili ulie hadi upunguze machungu kabisa. 🤣🤣
Tembea uwache kujifungia hapo Tandale.

Westgate has had a rooftop parking for a long time. Kama Dar ndio mnasubiri kuona rooftop parking pole kwenu.

Lastly, that thing is a logistics center. Know the difference between a logistics center and a mall. Umesikia mnyamwezi?
 
East Africa commercial and logistic center. The largest shopping center 🏬 in the region. ipo connected to BRT stations. You will only have to take your brt bus wherever you’re from straight to the mall. 🤣🤣🤣 kunyans wanalia tu. Kitu hiko. 👇🏾
IMG_8305.jpeg
IMG_8299.jpeg
IMG_8302.jpeg
IMG_8303.jpeg
IMG_8298.jpeg


Note: hio Ndio facility pekee in the whole region enye iko na rooftop parking lots.

Vipi mwaiofhawaii Nicxie mnayo comeback.? 🤣🤣🤣
 
Mombasa ni city ya kishamba sana 🤣🤣🤣 haina modern infrastructure yoyote 🤣🤣🤣
City haina airport ya maana
City haina uwanja wa mpira wa maana
City haina hata stendi ya daladala ya maana.

City ya kishamba sana.
Kalilie kwa choo kilaza..,nje ya Dar haupati🤣🤣
1669301511356.png

1669096755144.png

1669301879948.png

1669302043516.png

IMG_20240519_013509.jpg.jpg

1669302029802.png

1669302066140.png

SGR-Momasa.jpg

DzIBsRfW0AAP8Iy.jpg

download-9.jpg

1719316390986.png

1717439641367.jpg

IMG_20231030_162419.jpg

FB_IMG_1703093690584.jpg

Ae.jpg

1000006426.jpg

Screenshot_2024-07-31-12-09-26-18_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329.jpg

Screenshot_2024-09-10-15-21-40-78_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329.jpg

FB_IMG_1707992450992.jpg

17622632_113625d38094436fb5a9e93da70c7ba82915158101419404651563783936665178885995498n_webp_jp...jpeg


Nyongwa na wivu kabisaaa, Kenya sio mwenzenu kila kitu muhimu ni Dar pekee🤣🤣🤣🤣
1743743002328.jpg
 
Tembea uwache kujifungia hapo Tandale.

Westgate has had a rooftop parking for a long time. Kama Dar ndio mnasubiri kuona rooftop parking pole kwenu.

Lastly, that thing is a logistics center. Know the difference between a logistics center and a mall. Umesikia mnyamwezi?
Washamba 🤣🤣🤣🤣 even Garden City has.., and several buildings, these guys lack exposure 🤣🤣🤣🤣., ndio lishamba linaona eti, 2025!!🤣🤣🤣🤣
 
Kila city iko na magorofa, kila city iko na barabara.. hizi zote ni basic katika kila mji. 🤣🤣🤣🤣

Imagine a city with no proper airport, no modern football stadium 🤣🤣🤣, no hata proper daladala station. City haina hata conference center. 🤣🤣🤣🤣 that’s a village center sio city bhana.

City ya kishamba kubali ukweli mzee. Kwani utakufa.?
 
Kila city iko na magorofa, kila city iko na barabara.. hizi zote ni basic katika kila mji. 🤣🤣🤣🤣

Imagine a city with no proper airport, no modern football stadium 🤣🤣🤣, no hata proper daladala station. City haina hata conference center. 🤣🤣🤣🤣 that’s a village center sio city bhana.

City ya kishamba kubali ukweli mzee. Kwani utakufa.?
No city in Tanzania has same magnitude of development like Mombasa nje ya Dar.., kajiliwaze vijiweni wewe kapuku, Tanzania jiji ni moja with one CBD only🤣🤣🤣🤣🤣🤣.,
1719316187427.png

FB_IMG_1734878281154.jpg

1716914087271.jpg

1716390250312.jpg

IMG_20240729_181530.jpg

1746090253347.jpg

images-5.jpg

Screenshot_20210731_001450.jpg

1726276399772.jpg

1726276406834.jpg

1723398604020.jpg

1745049978360.jpg

1726276384722.jpg

1726276389086.jpg

1731955530474.jpg

1726276358259.jpg

1726276394987.jpg

1727827736206.jpg

1745760464181.jpg

1726276379245.jpg

1726276370749.jpg

1735127842914.jpg

1726157599683.jpg

1735127848176.jpg

1726157595687.jpg

1726276358259.jpg
 
Huoni mnadanganywa? Building ni 2 floors lakini hao wanaandika 4 floors. How does a 2 floor building with and area of an high school dinning hall have a total area of 75,000m2? Ama mnaheasabu hadi parking lot and the entire compound?
 
East Africa commercial and logistic center. The largest shopping center 🏬 in the region. ipo connected to BRT stations. You will only have to take your brt bus wherever you’re from straight to the mall. 🤣🤣🤣 kunyans wanalia tu. Kitu hiko. 👇🏾View attachment 3354967View attachment 3354969View attachment 3354970View attachment 3354972View attachment 3354973

Note: hio Ndio facility pekee in the whole region enye iko na rooftop parking lots.

Vipi mwaiofhawaii Nicxie mnayo comeback.? 🤣🤣🤣
Hiiii takataka ni juakali aje!🤣
 
The oly shopping mall in the region with rooftop parking lots. Kama unaumia itabidi uumie ukijua hivyo ili ulie hadi upunguze machungu kabisa. 🤣🤣
Yani ndio mnaona buildings with rooftop parking lots? Yani huu ushamba wako ni Kama ni inbuild, hata kwa maombi na urogi hautoki.
 
Back
Top Bottom