Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

In the first place, usinitukane bcoz sijakutusi. Usitweze utu wangu tafadhali. Sasa ukweli ni upi? Yaani kuongea ukweli ni kufanya siasa? Hivi wewe unadhani kila mtu ni zero brain kama wewe. Nimeongea kitu ambacho nimeexperience unless otherwise niongope Ili iweje? Utajua wewe na ujinga wako. Ila uhalisia ndio huo hadi picha zinajieleza halafu uko hapa kuongea pumba!! Jamii forums imepoteza ladha yake kutokana na wajinga kama wewe.
Peleka matako mbele, tafuta Uzi za siasa ukaongelee huko kama unajiona una akili. Unakuja kuongea humu kuna mkuu wa mkoa humu.? Kuna mkurugenzi humu.? Huu ni Uzi wa malalamiko.? Jinga kweli hili punga
 

IMG_6203.jpeg
 
Naona umeamua kutuhukumu wote bila sababu, umenisoma lakini na kuelewe niliposema viongozi wetu wamechemsha kwenye huu mradi?

Kwenye usafi wanafanya vizuri sana lakini usimamizi wanaharibu.

Ningekuwa na mamlaka ningeamuru wahusika wote wa mradi watumie usafiri huo kwa wiki moja ili waelewe wananchi wanavyoumia.
Tumefeli sio kidogo yani kama mwendokasi tunampa mwekezaji kutoka nje siku sio nyingi sgr itatushinda na vile tunasuasua kuifikisha mwanza
 
Sasa unajua umri wangu ?… and how has that to do with your beggar status ?..kiatu kimoja kizee na choo la shimo nje …😄😄
babu ngaji ww ni boya,umedharaulika humu mpaka unajaribu kujifariji na kujichekesha chekesha na viemoji kama mtoto wa kike eti nina pair 1 ya viatu,sasa ww inakuhusu nini ikiwa hata,shida umri wako na utoto unaofanya humu aviendani,ulivyo bwege umecrop hii picha kuficha upara,upara utauficha ila ujinga unaanze sasa kuuficha,ndio maana hauna marinda
downloadfile.jpg
 
babu ngaji ww ni boya,umedharaulika humu mpaka unajaribu kujifariji na kujichekesha chekesha na viemoji kama mtoto wa kike eti nina pair 1 ya viatu,sasa ww inakuhusu nini ikiwa hata,shida umri wako na utoto unaofanya humu aviendani,ulivyo bwege umecrop hii picha kuficha upara,upara utauficha ila ujinga unaanze sasa kuuficha,ndio maana hauna marindaView attachment 3354175
Would you rather be me or you .. make a wise choice 🤣🤣

IMG_6323.jpeg
IMG_6138.jpeg
 
Tumefeli sio kidogo yani kama mwendokasi tunampa mwekezaji kutoka nje siku sio nyingi sgr itatushinda na vile tunasuasua kuifikisha mwanza
Issue ya DART, ATCL, na TRC ni mambo mengi

About DART, maana BRT na Dart ni vitu viwili tofauti , UDART ni ubia kati ya mmbongo na serikali sasa inaonesha kabisa ubia huo umeshindikana mimi naona serikali ingeendesha tu yenyewe via DART kwa kutafuta manager tu na top executive wazuri hata kama itawatoa nje ila yenyewe inunue mabasi na management team ya DART iongozwe na good managers hata kama watatoka nje na sio kumpa mtu miaka 12 awekeze etc


Atleast ATCL over last 10years ina maintain vifaa vyake vizuri thanks to strict regulations za aviation industry by this namanisha kuna ndege mfano 5H TCB ina miaka 9 ila bado inapiga kazi fresh

Kuhusu kutengeza faida they should be given more time , plus walipata shida na engine za A220 (of course dunia nzima ilipatana bado inaendelea), but they need to have good CEO and managment team that will use the equipments and plan routes well. Emirates Airlines CEO ni m britain Tim Clark

TRC is still well runned but lets give it time and see if they can repair and maintain well their equipments wataenda mbali , cause issue kubwa ni maintaince bora wa outsource maintance hata nje kama hamna wabongo walioneda kusomea au kuwa competent kwenye maintance , muda wa service kubwa ukifika utasikia issues zimeanza na vichwa vitaanza kulala.

Ninaona issue kubwa kwa sisi wabongo huwa ni maintance ya equipments , ndo maana hata wa africa wengi over 70% hawezi kudumu na magari yao over like 10-20years

DART needs a competent manager and team hata kama ni wa zungu, wa japan etc , na sio investor , serikali kuleta investor means inaonesha wana uwezo mdogo wa kununua mabus

Lakini tukumbuke people need service and kama umepanda mwendo kasi hutojali kama ni mwarabu au nani as long as service is good, mbona shabiby is a well managed company , tukimpa shabiby a. Run mwendo kasi probably it will do good , but issue za sisi wabongo tunataka tuipige Goverment na sio win win sitauion
 
In the first place, usinitukane bcoz sijakutusi. Usitweze utu wangu tafadhali. Sasa ukweli ni upi? Yaani kuongea ukweli ni kufanya siasa? Hivi wewe unadhani kila mtu ni zero brain kama wewe. Nimeongea kitu ambacho nimeexperience unless otherwise niongope Ili iweje? Utajua wewe na ujinga wako. Ila uhalisia ndio huo hadi picha zinajieleza halafu uko hapa kuongea pumba!! Jamii forums imepoteza ladha yake kutokana na wajinga kama wewe.
Umegonga ndipo, ndio walivyo wengi humu vilaza na machawa(vile mnawaita)., ukweli inaumiza wapumbavu 🤣🤣
 
Hivi ndugu zangu fikra Zenu na ufahamu wenu upo wapi? Au kwasababu nyinyi hamtumiagi Mwendokasi ndiomana MNAONA ninsawa kusifia ujinga na kumpotezea matatizo ambayo ni halisi?? Badala ya sisi kukemea na kupaza sauti tupo humu tunajifariji eti kuepuka kuchekwa na Wakenya!! Ajabu!!
Mwendokasi mbagala Barabara mpaka zinaanza KUHARIBIKA na mastendi yake bado hazijatumika.
Hakuna aliyesifia ujinga mkuu.
Ukweli umeelezwa na imeendelea kuelezwa kuwa BRT inahitaji marekebisho makubwa hususan upande wa uendeshaji.
 
kati ya middle class yenu, yenye sio slums eti na low class pipeline gani ni uchafu? Wacha picha zijitetee🤣🤣🤣🤣🤣
Nairobi low class pipeline vs Tanzania normal standard uswazi, gani ni uchafu., sio slums, makazi ya kawaida kwa muonekano wenu👇.
View attachment 3354074
View attachment 3354076
View attachment 3354077
View attachment 3354075

Vs
Pipeline low class estate
View attachment 3354080
View attachment 3354079
View attachment 3354081

Wajinga wamekataa kuisha Tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nice try ila jaribu tena hizo nyumba zilikuwa msimbazi Valley miaka ileeeee zimeshabomolewa for redevelopment ya hilo eneo. Tafuta kingine cha kujifariji.
 
Back
Top Bottom