Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Primary school dropouts hamna ustaarabu. 🤣 🤣 🤣 Elimu muhimu.


View: https://x.com/rovicofficial__/status/1926158040568377397

Wanang'ang'ana kufikishwa uswazi proMax ., BRT inafika penyewe 🤣🤣🤣🤣
Vijakazi wametoka kuteseka kwa makampuni ya wahindi, waarabu na za Kenya.🤣🤣🤣
1666697441545.png

1692805778963.png

1692805823875.png
 
Kwa Leo inabidi niongee ukweli tuu. Aisee hii inchi now tunaelekea pabaya sana yaani Bora ubolt au upande daladala kuliko kupanda mwendokasi. Kwasisi watu wa hali za kawaida tunapata shida na huu mradi yaani usimamizi mbovuu. Imagine hata chengi hawana kwenye vituo vyao!! Kweli? Mtu unakaa kituoni almost Lisa's na zaidi Usafiri hakuna. Useless🚮
Waeleze machawa humu, akili zimeduaa hawaoni tatizo ni kusifia ujinga tu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hapa Chalamila kachemsha, yeye ndiye mkuu wa usalama Dar, order iko wapi? Ona sasa anampa ammunition huyu mkora nairobae asiyejua 'githafu' kuja kutusumbua hapa.
Hivi ndugu zangu fikra Zenu na ufahamu wenu upo wapi? Au kwasababu nyinyi hamtumiagi Mwendokasi ndiomana MNAONA ninsawa kusifia ujinga na kumpotezea matatizo ambayo ni halisi?? Badala ya sisi kukemea na kupaza sauti tupo humu tunajifariji eti kuepuka kuchekwa na Wakenya!! Ajabu!!
Mwendokasi mbagala Barabara mpaka zinaanza KUHARIBIKA na mastendi yake bado hazijatumika.
 
Sio Chalamila tu hata director wa huu mradi ni Athumani, bure kabisa!
Kweli kabisa kaka. Yaani Director na Waziri wa uchukuzi Bure kabisa. Yaani mradi mkubwa kama huu ambao ulikua unawapa mapato ya kutosha ni wakuuchezea hivi???! Afu mtu yupo hapa na ukunguni wake kutetea uozo!!?
 
Kweli kabisa kaka. Yaani Director na Waziri wa uchukuzi Bure kabisa. Yaani mradi mkubwa kama huu ambao ulikua unawapa mapato ya kutosha ni wakuuchezea hivi???! Afu mtu yupo hapa na ukunguni wake kutetea uozo!!?
Naongea kwa uchungu sana!! Yaani Mimi ni Mtanzania wakawaida daladala, bolt na mwendokasi ndio maisha yangu. Yaani mwendokasi ni kero, kanga kubwaa huwezi sema eti ngoja niwahi sehemu nikapande mwendokasi Bora ubolt au upande daladala. Kwanza Waziri wetu wa Uchukuzi kapoa sana. Pale kivukoni mpaka Leo mwaka unaenda wa tatu MV. Magogoni haijarudi
 
Utakufa bure na pressure, yaani mitaa karibia yoote ilifanyiwa ukarabati zamani, pia na slums, but Tanzania iko pale pale inazidi kuongezeka kisa ufukara unasambaa jijini kutoka vijijini 🤣🤣👇
1716979508724.jpg


Nairobi leo hii ., ata kama siwezi kupigia huyu governor wa Nairobi kura, anaboresha barabara za mitaani.., sio vumbi city kama Dar.🤣🤣
Before n after..,
Screenshot_20250603-000046.jpg

picture1.jpg

Screenshot_20250603-000213.jpg

Screenshot_20250603-000749.jpg

Screenshot_20250603-000714.jpg

Screenshot_20250603-000700.jpg

Screenshot_20250603-000639.jpg

Screenshot_20250603-000615.jpg

Screenshot_20250603-000546.jpg

Screenshot_20250603-000533.jpg

Screenshot_20250603-000429.jpg

Screenshot_20250603-000408.jpg

Screenshot_20250603-000341.jpg

Screenshot_20250603-000319.jpg

Screenshot_20250603-000237.jpg

Screenshot_20250603-000213.jpg


Ushuhuda ya mgeni ni tosha, alitembea kote Nairobi na Dar akajionea tofauti🤣🤣🤣
 
Yaani kwakweli tunapoelekea sisi sijui!! Ila hali ni mbaya sana kila kitu hovyo

Naongea kwa uchungu sana!! Yaani Mimi ni Mtanzania wakawaida daladala, bolt na mwendokasi ndio maisha yangu. Yaani mwendokasi ni kero, kanga kubwaa huwezi sema eti ngoja niwahi sehemu nikapande mwendokasi Bora ubolt au upande daladala. Kwanza Waziri wetu wa Uchukuzi kapoa sana. Pale kivukoni mpaka Leo mwaka unaenda wa tatu MV. Magogoni haijarudi
Wacha kuongea uongo uongo we matako. Usituletee siasa humu sio mahali pake.
 
Hivi ndugu zangu fikra Zenu na ufahamu wenu upo wapi? Au kwasababu nyinyi hamtumiagi Mwendokasi ndiomana MNAONA ninsawa kusifia ujinga na kumpotezea matatizo ambayo ni halisi?? Badala ya sisi kukemea na kupaza sauti tupo humu tunajifariji eti kuepuka kuchekwa na Wakenya!! Ajabu!!
Mwendokasi mbagala Barabara mpaka zinaanza KUHARIBIKA na mastendi yake bado hazijatumika.
Naona umeamua kutuhukumu wote bila sababu, umenisoma lakini na kuelewe niliposema viongozi wetu wamechemsha kwenye huu mradi?

Kwenye usafi wanafanya vizuri sana lakini usimamizi wanaharibu.

Ningekuwa na mamlaka ningeamuru wahusika wote wa mradi watumie usafiri huo kwa wiki moja ili waelewe wananchi wanavyoumia.
 
IMG_6782.jpeg
IMG_6323.jpeg
Bwaku ngaji unajua hata wakenya wenzako wamekudharau,umri wako na personal yako uliotuonyesha humu aviendani
Sasa unajua umri wangu ?… and how has that to do with your beggar status ?..kiatu kimoja kizee na choo la shimo nje …😄😄
 
In the first place, usinitukane bcoz sijakutusi. Usitweze utu wangu tafadhali. Sasa ukweli ni upi? Yaani kuongea ukweli ni kufanya siasa? Hivi wewe unadhani kila mtu ni zero brain kama wewe. Nimeongea kitu ambacho nimeexperience unless otherwise niongope Ili iweje? Utajua wewe na ujinga wako. Ila uhalisia ndio huo hadi picha zinajieleza halafu uko hapa kuongea pumba!! Jamii forums imepoteza ladha yake kutokana na wajinga kama wewe.
Wacha kuongea uongo uongo we matako. Usituletee siasa humu sio mahali
 
Naona umeamua kutuhukumu wote bila sababu, umenisoma lakini na kuelewe niliposema viongozi wetu wamechemsha kwenye huu mradi?

Kwenye usafi wanafanya vizuri sana lakini usimamizi wanaharibu.

Ningekuwa na mamlaka ningeamuru wahusika wote wa mradi watumie usafiri huo kwa wiki moja ili waelewe wananchi wanavyoumia.
Ahaa. Nimekuelewa mkuu. Ila sasa primary objective ya BRT sio usafi wa kubadilisha mandhari ya jiji ni kurahisisha Usafiri na kupunguza muda from one point to another.Je BRT bado inaoperate hivyo?? Thus my take. Sio huyo mropokaji hasomi akaelewa anaanza kutoa maneno machafu na kinywa chake kisicho na hekima Very hopeless
 
Back
Top Bottom