mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,781
- 6,481
Huu ndio ujamaa na hujwahai kuwatoka...inafaa ujue chake si chako.We mbuzi kweli,cha ajabu nini na ni ndugu yetu huyu!!!!.
Ulitaka tutaje bibi yako???
Huu ndio ujamaa na hujwahai kuwatoka...inafaa ujue chake si chako.We mbuzi kweli,cha ajabu nini na ni ndugu yetu huyu!!!!.
Ulitaka tutaje bibi yako???
Kizungu na sheng' huwezi elewa hata kidogo na umefanya vizuri kujieleza si kama ndugu zako wengine hapa.![]()
mi lile li forum silielewagi
hasira imekushika sana kuskia dar ndio kitovu cha starehe east and central africa😀😀😀😀Ichoboy mshezi......sisi kama wakenya tunajua starehe hupatikana..msa....na ...darsum iko nn...... Ama ni....jua na joto kushinda msa
siku zote pesa hufuata mkondo wa pesa ndio maana wameona kuja kuinvest kwenye pesa😀😀😀Sportpesa making Kenya proud right thurr.
950k alimwaga yote SA kwa hiyo Uchumi wao ulikua na hicho kiwango ilhali Tz ilipoteza zaidi ya kiwango hicho ukiongezea travel expenses na ndege sio zenu. Simple chekechea economics.Dogo naona umeanza kuandika matakataka hapa
kuangalia unaangalia sana usizuge😀😀😀😀sio kwa king'amuzi cha azam cha bei rahisi. decoder yangu iko na channels za bongo but sijawai angalia vitu za bongo zaidi ya dakika mbili
The house always wins, hela inarudi Kenyasiku zote pesa hufuata mkondo wa pesa ndio maana wameona kuja kuinvest kwenye pesa😀😀😀
every businessman is a profit motivated😛😛
Kitendo cha kukosa kujua mambo mengi, ndicho kinachokufanya uzungumze mambo yanayodhihirisha kwamba huna unalojua lolote hapa duniani, ukiona picha Diamond yupo South Africa, unasema anafaidisha uchumi wa South Africa, alikuja kukaa hapo Mombasa mwezi mzima wakila maisha hapo Diani beach, mbona hulalamiki, Raila alikwenda kupumzika Zanzibar, mbona hulalamiki?, kama huna pesa ya kula maisha rudi Kibera, acha watu watafune rahaHahahaha ata unajua bibi yake, na Mali yasijui Nani wake? Funga leso mamaa tupatie umbea sasa tunakuskiza mama nanii.
seriously unataka watu makini wa jf tujiunge JamiiForums.com kujadili upuuzi kama huu?Kizungu na sheng' huwezi elewa hata kidogo na umefanya vizuri kujieleza si kama ndugu zako wengine hapa.
Hata wewe unafuata fuata kama mabinti??? Hahaha hata basi leta umbea.Kitendo cha kukosa kujua mambo mengi, ndicho kinachokufanya uzungumze mambo yanayodhihirisha kwamba huna unalojua lolote hapa duniani, ukiona picha Diamond yupo South Africa, unasema anafaidisha uchumi wa South Africa, alikuja kukaa hapo Mombasa mwezi mzima wakila maisha hapo Diani beach, mbona hulalamiki, Raila alikwenda kupumzika Zanzibar, mbona hulalamiki?, kama huna pesa ya kula maisha rudi Kibera, acha watu watafune raha
No. slums in Nairobi cover only 6%. Unlike dar is slum which is 90%.
Hahahaha mpaka unafungua nyuzi ili ulete hapa?seriously unataka watu makini wa jf tujiunge JamiiForums.com kujadili upuuzi kama huu?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
no man,i better stick with jf.
nitaleta screenshot nyingi sana za JamiiForums.com.Hahahaha mpaka unafungua nyuzi ili ulete hapa?

Nimepata bint mrembo kama Lupita Nyongo hapo Kibera, new year eve nitakuja kula Kibera, nibebe mifuko mingapi ya plastic itakayonitosha for two days?Hata wewe unafuata fuata kama mabinti??? Hahaha hata basi leta umbea.
kumbe ni us travel magazine😀😛😀😀Tunaendelea kuwakilisha
Kenya’s safari lodge Angama Mara named world’s best
Kenya’s safari lodge Angama Mara named world’s best - Business Daily
Kenya’s safari lodge Angama Mara named world’s best
Saa ulitaka afanye party tz kwani tungehudhuria watz wote ????Anafaidi SA akakusahau wewe mtanzania uendelee kuishi Tandale.
Weka kwa wingi babaa.nitaleta screenshot nyingi sana za JamiiForums.com.![]()