Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

our celebrities/socialites are very famous, even when they fart,the whole world knows.
c7f7fa9b6677522d2221d386962ec7a7.jpg
 
Ndiyo sababu nikasema kule kuna wanafunzi wa vyuo zaidi, wanafunzi ndiyo wanaoishi maisha ya kufikirika yasiyo na uhalisia, sasa nchi ambayo mamilioni ya watu wanakufa kwa njaa, kipindupindu, insecurity, malnutrition, na wanaishi kwenye mabanda ya nguruwe, vipi kuanza kuzungumzia nuclear badala ya hayo mambo ya msingi?

Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu,, kule pia kuna sub-forums kama vile hapa Jf. Inategemea na section gani itakayokupendeza.
sasa wewe umechungulia jukwaa la mapenzi la huko unakuja na mihemko.
huko sisi huongea umuhimu wa Nuclear na Coal na jinsi gani itabadilsha dunia
TRIBALISM IN THE KENYAN WORKPLACE

Hii ndiyo inayotawala huko JamiiForums.com.

Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app
 
that uncomfortable moment when your neighbors wish mount kilimanjaro was theirs.

a7228f39a065b6f0efd36003f7c378d9.jpg

thank you DW science.
 
thank you Olivia...karibu tena..
9320960bc94c02cf4b445685173b93db.jpg
bf73dd4aaaa000ea744893b96adb63cd.jpg


NB:
actually when she says we are not aggressive,she means this
7d5a20fecdc8d5513184540dcee67438.jpg

 
East Upanga,Kuanzia jengo la Vijana pale kule kwenye density ni Kariakoo,Baada ya kariakoo kule mbele kabisa ni Ilala...
46198d3a45a5d729dddb449abbf3b9a4.jpg
 
Ichoboy mshezi......sisi kama wakenya tunajua starehe hupatikana..msa....na ...darsum iko nn...... Ama ni....jua na joto kushinda msa
 
Back
Top Bottom