Sportpesa making Kenya proud right thurr.
Jesus said, ''Man shall not live on bread alone''.Ndiyo sababu nikasema kule kuna wanafunzi wa vyuo zaidi, wanafunzi ndiyo wanaoishi maisha ya kufikirika yasiyo na uhalisia, sasa nchi ambayo mamilioni ya watu wanakufa kwa njaa, kipindupindu, insecurity, malnutrition, na wanaishi kwenye mabanda ya nguruwe, vipi kuanza kuzungumzia nuclear badala ya hayo mambo ya msingi?
Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app
Jaribu wewe week tuuu ka hatujakuzika ...idiot usiejua hata maana ya maneno kwenye bible hujawai somaga religion or divinity ?????maana hujui hata kuelewa mistari ya bibliaJesus said, ''Man shall not live on bread alone''.
tangu sportpesa ianzishe operation zake tz mwishoni mwa mwaka 2016 au mwanzoni mwa mwaka 2017,hatujawahi ona mtz akiisifia.Sportpesa making Kenya proud right thurr.
.

sawa Tamko La VichaaJaribu wewe week tuuu ka hatujakuzika ...idiot usiejua hata maana ya maneno kwenye bible hujawai somaga religion or divinity ?????maana hujui hata kuelewa mistari ya biblia
Azam ninayojua ni juice pekeyaketangu sportpesa ianzishe operation zake tz mwishoni mwa mwaka 2016 au mwanzoni mwa mwaka 2017,hatujawahi ona mtz akiisifia.
NB:
azam tv kwa wiki mbili tu ilipokuwa kenya wakati wa mashindano cecafa 2017,tumeona wakenya wakiisifia.
mmoja wao ni huyu![]()
![]()
![]()
![]()
.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mbona kule JamiiForums.com hakuna discussion nzito kama hapa JF, inaonekana wengi ni watoto wa vyuo, mazungumzo yao ni mepesi sana, zaidi wanazungumzia sex na matusi, kule ni akili ndogo sana, hakunifai kabisa
Utaijuwaje azam tv wakati unaishi baba ndogoAzam ninayojua ni juice pekeyake
mkenya patrick munene,anajua product zote za azam including azam tv.Azam ninayojua ni juice pekeyake

Nimepitia discusion zao, too childish as I expected, sijawahi kuona serious discussions from Kenyans, labda Dr. Ndii na PLO, the rest hamna kituNilikwambia huko huwezi toboa zaidi ya siku moja utapigwa makonde urudi JF mbio. Huko hawatambui upuzi wako wa Kenya vs Tz hata kidogo.
Waiteni ndugu zenu wa JamiiForums.com tujekujadiliNilikwambia huko huwezi toboa zaidi ya siku moja utapigwa makonde urudi JF mbio. Huko hawatambui upuzi wako wa Kenya vs Tz hata kidogo.
East or West, home is always Best.
Parklands
![]()
![]()
Ichoboy mshezi......sisi kama wakenya tunajua starehe hupatikana..msa....na ...darsum iko nn...... Ama ni....jua na joto kushinda msa
Yes. Huku ni Abroad. Hatuwezi watch vitu vya LdcUtaijuwaje azam tv wakati unaishi baba ndogo
Labda anakaa mpaka ya Kenya na Ldcmkenya patrick munene,anajua product zote za azam including azam tv.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sema hauna uwezo wakulipia king'amuzi loh!Yes. Huku ni Abroad. Hatuwezi watch vitu vya Ldc
