joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
RayvanWe buy all. Tz anayesikilizwa ni Ali K na Diamond pekeyake. Naijo kwa sasa wave yao imeingia Kenya jinsi kuna Lingala ilishika Kenya sana. Soon watu watachoka
Harmonize
RayvanWe buy all. Tz anayesikilizwa ni Ali K na Diamond pekeyake. Naijo kwa sasa wave yao imeingia Kenya jinsi kuna Lingala ilishika Kenya sana. Soon watu watachoka
What's that 90% you said!?? Hueleweki kwa kweli, Dar iko unplanned lakini hakuna the residents called SLUMS.... hata uhangaike vipi Google huko utaishia kung'ang'aa sharubu tuu... Ila nenda Google search *Slums in the world" Nairobi imoo nenda "Slums in Africa" Nairobi imoo maliza kazi "Slums in Nairobi" ndo utaletewa Essay kabisaaaa
Halaf ndo nashindwa kuelewa hvii hawa wazungu wamekosa kabisa Data za "Dar's Slums" ama??
Uzuri ours unplanned areas ziko very guaranteed and so specific hakuna blah blah kiasi kwamba zikajumuishwa as Slums
Hizo data umetoa wapi ???? Soo kibera sanitation ipo high eeehhh...afu hiyo data cjui umetoa wapiConfirm your country
View attachment 661422
FYI KBC borrowed cecafa feed from azam tv.your tv stations have no strength of broadcasting big sport events.Niliangalia kwa channel ya KBC.
Ray Ban?Rayvan
Harmonize
Et diamond na ali k hahahaha umemsahau darasa wa acha maneno weka mziki????? Hakuna mkenya hajui ngoma hiyo ka vp bishaaWe buy all. Tz anayesikilizwa ni Ali K na Diamond pekeyake. Naijo kwa sasa wave yao imeingia Kenya jinsi kuna Lingala ilishika Kenya sana. Soon watu watachoka
Shusha chini achana na aerial views, tunataka kuona barabara na kuta za nyumba na mfumo wa maji taka na usafi wa mazingira.Unless the word slum has acquired a different meaning! Below are the unplanned shanty and slum settlements of Dar es Salaam-Tanzania
Dar es Salaam: the “informal” city
![]()
![]()
![]()
![]()
Stock Photo - Residents of Temeke, a slum in Dar es Salaam, Tanzania, East Africa, collect water from a community tap
![]()
![]()
![]()
![]()
Kcb hahahahahaha walitoa wapi matangazo ya huo mpira ????usiwe mjinga ukachekwa...kwan hao kcb wanauwezo wa kurusha live mechi za cecafa au walionewa huruma wawarushie feed walopewa na azam nyookoo weeeNiliangalia kwa channel ya KBC.
KCB Bank hawafanyj mambo hayoKcb hahahahahaha walitoa wapi matangazo ya huo mpira ????usiwe mjinga ukachekwa...kwan hao kcb wanauwezo wa kurusha live mechi za cecafa au walionewa huruma wawarushie feed walopewa na azam nyookoo weee
Darasa alishasahaulika. Kitambo ndio nyimbo yake moja ili hitEt diamond na ali k hahahaha umemsahau darasa wa acha maneno weka mziki????? Hakuna mkenya hajui ngoma hiyo ka vp bishaa
Kuaga na akil kuna slums na unplanned houses ...slums ni kama kibera au wee umeona kwa picha ulizotuma ka kuna nyumba ka za kibera dar???Unless the word slum has acquired a different meaning! Below are the unplanned shanty and slum settlements of Dar es Salaam-Tanzania
Dar es Salaam: the “informal” city
![]()
![]()
![]()
![]()
Stock Photo - Residents of Temeke, a slum in Dar es Salaam, Tanzania, East Africa, collect water from a community tap
![]()
![]()
![]()
![]()
Na utajitoa sana ufahamu mwaka huu .. Kwa ushauri tafuta wimbo wa yemi alade na hamonize unaitwa 911 afu utajua tz cio mond na kiba pekee yao jinga weeeeRay Ban?
Watever kcb cjui kbc utajua wewe coz hiyo tv haijulikani bongo na hakuna anaeifatilia so usishangae y nachanganya coz hatuvijui vitu vya wakenya hasa tv zenu...may b mkiimprove tutafatilia na kuzijua hahahaaaKCB Bank hawafanyj mambo hayo
Ona sasa et nyimbo moja asee ...hiv anko una hata tv kwel wewe????Darasa alishasahaulika. Kitambo ndio nyimbo yake moja ili hit
East African Giant Citygood morning.
da es salaam.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
picha za dizaini hiyo zinawapa hasira sana...Wakenya wakiona picha hizi, wanajificha hawaonekani tena.
