Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Some people make trying to love Tanzanians really hard. But it's a consolation knowing that they're a representative of themselves, not their country
 
kuna mzungu mmoja huko twitter anawajaza ujinga wakenya.
168c8c64f42395ea2bd2fd4bc76dbd80.jpg
4113f352232a42258bbccf56f64d55d2.jpg
4a11a29bc01569181ad42946a9027c14.jpg
c72fecf48481d1cf8d98ea90a8b2afca.jpg
 
Tatizo lenu ninyi wakenya hamtaki kutafuta information nje ya Kenya, uwezo wenu wa kuelewa mambo ni mdogo sana, huwa mnasoma blogs zenu na magazetu yenu ambayo mengi hayana taarifa zilizofanyiwa utafiti.

Zari anaishi South Africa akisimamia mali za Ivan, Diamond ukitoa nyumba aliyonunua huko South Afrika, maisha yake na vitega uchumi vyake vyote vipo Tanzania, anaenda huko South Afrika kwenda kuiona familia yake tu, sasa unaposema anafaidisha uchumi wa South Africa zaidi kuliko Tanzania umetumia vigezo gani kama sio taarifa zq udaku na wivu?
Hahahaha ata unajua bibi yake, na Mali yasijui Nani wake? Funga leso mamaa tupatie umbea sasa tunakuskiza mama nanii.
 
With addition of
>IMARA DAIMA >PIPELINE
>LAiNI SABA >GATINA

>KARIOBANGI >KAYOLE
>KWARE >KWA REUBEN

>MATOPENI >KANGENI
>MUTHIGA

Sio kila siku mnaleta picha za
Old CBD... Upper hill.... Westlands....
Badilisheni location la sivyo Dar will be equal to Nai forever, sawaa

Just as I said, wengi wenu Nairobi mmetembea kupitia tovuti kwa vipakatilishi na kwarununu

Imara Daima and part of pipeline
imara%252520daima.jpg


Kariobangi
7AY3F.jpg


Kayole
1612883.jpg


Picture%2520010.jpg


Laini saba & matopeni are all part of kibra. Gatina is in Kawangware. Kware is in pipeline and it's a concrete jungle

And here is Laini saba area now
1445889.jpg


Where the hell is Kangeni?
 
Hahahaha ata unajua bibi yake, na Mali yasijui Nani wake? Funga leso mamaa tupatie umbea sasa tunakuskiza mama nanii.
We mbuzi kweli,cha ajabu nini na ni ndugu yetu huyu!!!!.

Ulitaka tutaje bibi yako???
 
Back
Top Bottom