Hiyo pole imetoka baada ya Kenyans kuanza kulalamika kuwa working visa are not renewed Kasongo analenga remitansi. kumbuka a significant chunk of your remitansi comes from Tanzania.Mmepewa pole ya kimadharau alafu mnakuja kusherekea huku bila kujua maana ya “if” in that sentences. Nyinyi watanzania ni bure kabisa😂😂🤣😂