Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmepewa pole ya kimadharau alafu mnakuja kusherekea huku bila kujua maana ya “if” in that sentences. Nyinyi watanzania ni bure kabisa😂😂🤣😂
Hiyo pole imetoka baada ya Kenyans kuanza kulalamika kuwa working visa are not renewed Kasongo analenga remitansi. kumbuka a significant chunk of your remitansi comes from Tanzania.
 
mbona kichwa kigumu wewe. Hapo nyuma kulikuwa na sheria ya kuzuia uwekezaji nje ya nchi lakini sasa sheria imeshafutwa most companies are starting to invest outside the country uliza Mozambique, Malawi, Rwanda, Burundi, Botswana na RDC kampuni kibao za TZ zimewekeza huko infact Ndio tunaanza now. Exim bank Tz Djibout, CRDD bank RDC and Burundi, NMB wanaplan ya EA expansion
Vijamaa vioga kinoma, vinapigananasi while vimefunga nchi yao, halafu vinaulizia uwekezaji wetu huko kwao. 🤣🤣🤣 ujue hawa wakenya wa humu ndani ni mazuzu Sana.
 
Their banks are only available in Burundi😂😂
Acha uongo
Exim Bank Tanzania Djbout

CRDB

Congo

Burundi
 
Zabibu, karanga, Alizeti wanalima wapi?
Zabiba na alizeti sanasana tra ndo wanafaidi maana hakuna usafirishaji unaofanyika kwa wingi.
Uzalishaji wa mazao hayo sio mkubwa na Haina ushuru mkubwa ukilinganisha na mazao kama ufuta,korosho au mazao mengi ya biashara kama kahawa.
Uzalishaji wa chakula kwa mkoa wa dodoma ni kidogo sana ,huwezi linganisha ni mikoa kama mbeya na moro.
Kipindi miradi ya umwagiliaji itakapokamilika ndo tutaweza kuona utofauti
Ni mpwampwa chamwinona kondoa ndo zenye uzalishaji mkubwa
 
Acha uongo
Exim Bank Tanzania Djbout

CRDB

Congo

Burundi

Exim Bank is in Uganda, Comoro n Ethiopia too! CRDB Bank ipo UAE yaani imefungua Branch Dubai pia!


View: https://x.com/CRDBBankPlc/status/1920840399872024638


View: https://x.com/dailynewstz/status/1891357909793059291
 
Acha uongo
Exim Bank Tanzania Djbout

CRDB

Congo

Burundi
Exim Bank Uganda
Exim Bank Comoros
 
Kwani hayo ni mabweni we mapumbu machafu.? Nani kakwambia hizo ni affordable housing.? Au umeumia.?
Bongolala ni mara ngapi mmewahi ita apartments za Nairobi mabweni, na kwamba watanzania hawajozoea kuishi kwenye apartments? Ama nikuletee evidence?
 
Huo mfumo ni nyoko, yaan siku hizi ni self service wewe unajikadilia tu mwenyewe tutalipa saa ngapi.
Ukikusanya ukale hela labda ukafe ila deni litalipwa tu
GEPG ni balaa na unaambiwa watengenezaji ni sisi Watanzania wenyewe.
Nchi nyingi zinakuja kujifunza mnoo lakini hawaendi kufanyia kazi maana mfumo una uwazi kiasi kwamba ukipiga pesa lazima ijulikane.
 
Bongolala ni mara ngapi mmewahi ita apartments za Nairobi mabweni, na kwamba watanzania hawajozoea kuishi kwenye apartments? Ama nikuletee evidence?
Tz apartments zimeanza kujengwa leo we matrako.? Tulioita mabweni ni yale majumba Yenu cheap especially zile mijumba za buruburu, zile ni mabweni Ndio.
 
Acha uongo
Exim Bank Tanzania Djbout

CRDB

Congo

Burundi
All are LDC countries.
 
Zanzibar kwasasa ni construction site 🏗️. Some hotels coming up in Znz Tz. 👇🏾
IMG_8001.jpeg
IMG_8003.jpeg
another one 👇🏾
IMG_8002.jpeg
 

Hizo video ulizopost zote ni za Wakenya wakiwajibu wabunge wa bongolala. That tells you something. Kubali wabunge wenu walichoma.

Anyway, that was not the point of the video I posted bongolala, I posted to show you how level minded Tanzanians feel about what your stupid parliamentarians did. But what do I expect from a bongolala like you?
 
GEPG ni balaa na unaambiwa watengenezaji ni sisi Watanzania wenyewe.
Nchi nyingi zinakuja kujifunza mnoo lakini hawaendi kufanyia kazi maana mfumo una uwazi kiasi kwamba ukipiga pesa lazima ijulikane.
Gepg Haina shida, ila Kuna mifumo ya makusanyo mapato kama tausi portal kwa upande wa manispaa.
Huo ukikata control number tu na usipolipa mpaka waziri anakusoma
 
Back
Top Bottom